Mabadiliko ya Uongozi TANESCO hayana maana kama bado umeme unaendelea kukatika

Mabadiliko ya Uongozi TANESCO hayana maana kama bado umeme unaendelea kukatika

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
1,831
Reaction score
5,489
Baada ya Safu ya viongozi TANESCO kubadilishwa siku chache zilizopita tulitegemea kidogo mabadiliko ya kukatwa kwa umeme, lakini cha kushangaza bado umeme umeendelea kuwa mwiba kwa sisi wafanyakazi tunaotegemea umeme kuendesha shuguli zetu.

Unaamka Jumatatu unasema nijikongoje leo nipige kazi, TANESCO nao hawakuachi nyuma, Umeme unakatika.

Kama kuna mgao kwa nini msitoke official statement na Ratiba kamili ya Umeme ili watu tujipange kwa ratiba. Ratiba zenyewe za umeme hazieleweki alafu mnakata siku za kazi, mnategemea tule wapi au mpaka tuwe majambazi.
 
Uko na ulozi sehem wew sio bure teuzi zmefanywa lin na unahtaj maendleo ln au unazan ile sekta n kama jiko la gesi uklshika hapo hapo wafanya maamuz? Kichwa kibovu kwer wew
 
Ndio mkome, hata mkibadilisha katiba matatizo ya hii nchi yatabaki pale pale

images - 2023-09-05T134350.776.jpeg
 
Uko na ulozi sehem wew sio bure teuzi zmefanywa lin na unahtaj maendleo ln au unazan ile sekta n kama jiko la gesi uklshika hapo hapo wafanya maamuz? Kichwa kibovu kwer wew
Dogo unajua wanasiasa wewe au unawafikia? Au kwa kauli yako unamaanisha tuwape muda, we unahisi tuwape muda kiasi gani
 
Dogo unajua wanasiasa wewe au unawafikia? Au kwa kauli yako unamaanisha tuwape muda, we unahisi tuwape muda kiasi gani
Sekta ilkua na hitilafi kibao mpen mda afanye marekebsho mzee sio kama uongoz wa shule huu kaka kwamba nkuenda stoo kua mchele kilo ziongezeke msosi wa jion hio n sekta kubwa na pana kuliko unavozan
 
Baada ya Safu ya viongozi TANESCO kubadilishwa siku chache zilizopita tulitegemea kidogo mabadiliko ya kukatwa kwa umeme, lakini cha kushangaza bado umeme umeendelea kuwa mwiba kwa sisi wafanyakazi tunaotegemea umeme kuendesha shuguli zetu.

Unaamka Jumatatu unasema nijikongoje leo nipige kazi, TANESCO nao hawakuachi nyuma, Umeme unakatika.

Kama kuna mgao kwa nini msitoke official statement na Ratiba kamili ya Umeme ili watu tujipange kwa ratiba. Ratiba zenyewe za umeme hazieleweki alafu mnakata siku za kazi, mnategemea tule wapi au mpaka tuwe majambazi.

Sasa hao waliobadililishwa si juzi tu ndiyo tumesikia hayo mabadiliko? Kwa hiyo wanatembea na umeme kwenye mifuko wakati hata ofisi hawajakabidhiana! Hoja ya kipuuzi hii!
 
Sekta ilkua na hitilafi kibao mpen mda afanye marekebsho mzee sio kama uongoz wa shule huu kaka kwamba nkuenda stoo kua mchele kilo ziongezeke msosi wa jion hio n sekta kubwa na pana kuliko unavozan
Si tuko hapa... Tutaona
 
Uko na ulozi sehem wew sio bure teuzi zmefanywa lin na unahtaj maendleo ln au unazan ile sekta n kama jiko la gesi uklshika hapo hapo wafanya maamuz? Kichwa kibovu kwer wew
Unakatwa maku wewe
 
Akili za watanzania Wengi kama wewe ...fupi sana...
Kwahiyo Viongozi wapya wanaleta mvua zinyeshe??
 
Upo na avatar ya legend then hueshimu viungo vya mwanamke punguza hasira shoga wew
Unazingua watu wanategemea umeme ili mishe zisonge, wewe unaleta siasa kama za tanesco
 
Unazingua watu wanategemea umeme ili mishe zisonge, wewe unaleta siasa kama za tanesco
Teuz hata mwezi haujafika mnalalamika kaka we ulskia wap? Unajua n mapungufu gani yalkuwepo tanesco?? Umeme n muhim m mwenyew nahtaj umeme kwa shuguli lkn huwez laumu mtu hana hata mwezi kwenye hio sekta et hafanyi kaz asa kaz gan kama kakuta mapungufu yakutosha aforce au nachojua sahz n wanafanya marekebsho ya ndan baadh ya maeneo wanabadlsha nguzo asa wew unalia lia vnn njoo mjn toka kjjn huko mlozi wew kama upo mbeya koma kbsa maaaaanyoko zako😂😂
 
Back
Top Bottom