Hayati kakata moto naona sasa wanapandisha vifurushi,si eti?Lakn hayati s alisema mambo yatakuwa poa au katangulia na mambo yamebadilika
Hayati angetupigania katika hili s alituita wanyonge wakat tupo uchumi wa dole la....Hayati kakata moto naona sasa wanapandisha vifurushi,si eti?
Ebu kemea hilo pepoHapa nawaza au ndio kuuziwa GB1 kwa elfu 9
Keshasepa mwenda zake,usukani kimeshika chuma kingine cha pua.Hayati angetupigania katika hili s alituita wanyonge wakat tupo uchumi wa dole la....