da irritant boy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2013
- 402
- 444
nimejiunga kwa kutumia halotel app kifuruch kile cha night kipo chini kabisaUmejiunga kwa menu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimejiunga kwa kutumia halotel app kifuruch kile cha night kipo chini kabisaUmejiunga kwa menu gani?
kupitia my halotel appMenu gan mkuu?
Kwangu kifurush cha mwisho n hcho kwe ye upande wa internet,kwako hcho kifurish cha night kipo wap mkuu kwenye hyo app?nimejiunga kwa kutumia halotel app kifuruch kile cha night kipo chini kabisa
hapo kwako inaonesha umechagua internet ya mweziKwangu kifurush cha mwisho n hcho kwe ye upande wa internet,kwako hcho kifurish cha night kipo wap mkuu kwenye hyo app?View attachment 1744601
Asante kwa maelekezo,ndo nmejiunga hapa ngoja nshushe vituhapo kwako inaonesha umechagua internet ya mwezi
rudi kwenye home interface kabla ujachagua kifurushi
bonyeza neno vifurush
kisha shuka mpaka chini utanaona usiku pack
umenisave sana. 🙏Asante kwa maelekezo,ndo nmejiunga hapa ngoja nshushe vitu
nimejiunga kwa kutumia halotel app kifuruch kile cha night kipo chini kabisa
Usipoingia kwa muda flan wanakulog out automaticaly kwa usalama wa pesa zako. Login tenaMbona halotel app kila nikiingia wananambia "session expired"?
nimejiunga kwa kutumia halotel app kifuruch kile cha night kipo chini kabisa
Hapahapo kwako inaonesha umechagua internet ya mwezi
rudi kwenye home interface kabla ujachagua kifurushi
bonyeza neno vifurush
kisha shuka mpaka chini utanaona usiku pack
Aisee. Nikajua ni mie binafsi.Jamani mbona hamna hicho kifurushi
Mkuu hii usiku pack kwa mitandao yote wamegoma kurudisha. Ila ttcl kipo lakini mtandao unashindwa kabisa kuconnect internet yaani mtandao uko chali mlalo wa kifo cha mendeAisee. Nikajua ni mie binafsi.
kimeondolewa kwa halotela kwa sasa hakipoHumu watu wanazingua.
Dah! naona waliweka kwa bahati mbaya.kimeondolewa kwa halotela kwa sasa hakipo