Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ni athari za maamuzi ya watendaji wa Hayati. Uamuzi huu ulichukuliwa muda mrefu kabla mama hajaingia madarakani.Dah tunaanza kumkumbuka hayati. Huyu mama anajua YouTube inavyokula bundle kweli?
Uwez pigia kelele mtandaoni wakakuelewa na ata wakikuelewe itachukua mdaTukipiga kelele wataeleweka tu.
Inatakiwa hata JamiiForums isaidie hiliUwez pigia kelele mtandaoni wakakuelewa na ata wakikuelewe itachukua mda
Lazma tujitokeze mbele yao ili wajue tupo serious.
Kelele zilizopigwa humu toka asubuh zingepigwa barabaaran uwamz ungekuwa umeisha tolewa tayari .Inatakiwa hata JamiiForums isaidie hili
Tangu januari hajaingia tena.Kelele zilizopigwa humu toka asubuh zingepigwa barabaaran uwamz ungekuwa umeisha tolewa tayari .
Mfano angalia ac ya mhusika last seen ilikuwa lin
Line yangu ya airtel,nakula maishahView attachment 1740570
kesho ndio wataanza nawaoLine yangu ya airtel,nakula maishahView attachment 1740570
Mimi natumia voda nimezoea kujiunga GB 1 shil 3000 kwa wiki.Line yangu ya airtel,nakula maishahView attachment 1740570
hongera sana mkuuMimi natumia voda nimezoea kujiunga GB 1 shil 3000 kwa wiki.
Sijui kwanini watu wanalalamika.
Hao halotel hawangeweza kupewa nafasi ya kushusha bei daima.
Nadhani wanapewa ruhusa pale mwanzo wakati kampuni haijajulikana ili wapate wateja baadae wanarudi kwenye rate sawa na wenzao.
Kwa nini... Mimi nilishindwa kuwa na line kibao kwa kweli.hongera sana mkuu
Lakini kwenye menu nyingine 1500 ni gb 1Yani kwenye hili halotel ndio wameniweza...sijui ntaambia nn watu
Jaribu tenaLine yangu ya airtel,nakula maishahView attachment 1740570
Nlichojutana nachoJaribu tena
Usimuamini mwanasiasa. Hata ikitokea kasema ukweli, huo ukweli una walakini ndani yake!mwana siasa akikwambia sasa hv ni saa 1 usiku, toka nje kahakikishe..