Mabadiliko ya vifurushi kuanza tarehe 02/04/2021

Mabadiliko ya vifurushi kuanza tarehe 02/04/2021

TUSILAUMU MAKAMPUNI KUPANDISHA MB KWANI WANAFATA MWONGOZO MPYA SERIKALI TOKEA MARCH 8[emoji116]🏻
March 8, 2021
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ndugu Ndungulile akizungumza katika kipindi cha Clouds 360 amesema, nanukuu:"Bei elekezi ya Data itaanzia Shs 2-9 kwa MB 1 kuanzia April 2"
Hii inamaanisha nini? Maana yake ni kwamba:
9TSH=1MB
XTSH=1000MB
Ukitafuta thamani ya X hapo juu utagundua kuwa kampuni za simu zimeruhusiwa kucharge hadi TSH 9000 kwa 1GB!
Waziri aliahidi kushughulikia suala la vifurushi vya internet kuwa juu lakini ambacho wengi walikuwa hawajui ni kwamba waziri alikuwa anaenda kupandisha zaidi gharama za vifurushi.
Piga hesabu:-
Gb 1=1000 mb
Bei elekezi ya serikali ya kuuza mb ni 1mb iuzwe shilingi 9
Maana yake gb1 yenye mb 1000 itauzwa 9000tsh
 
Serikali unawahusu nini kukimbilia mfuko wa Makampuni Binafsi? wao Yale ya Serikali walishayaua.
 
Dar es Salaam. Saa chache baada ya kutangazwa kwa bei mpya za vifurushi, Serikali imetangaza kusitisha kutumika kwa gharama hizo hadi hapo itakapotangazwa baadaye.

Uamuzi huo unaweza kuwa habari njema kwa watumiaji wa mitandao ya simu ambao, tangu kutangazwa kwa bei hizo mpya mapema leo Ijumaa ya Aprili 2, 2021, wamekuwa kwenye mjadala mzito kwani, matarajio ya wengi ilikuwa ni kushuka kwa gharama hizo.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Semu Mwakyanjala, amesema matumizi ya bei mpya ya vifurushi yamesitishwa kwa muda.

Hata hivyo, amesema uamuzi huo utahusu vifurushi vya data pekee huku vile vya ujumbe mfupi wa maneno na kupiga zitaendelea kama ilivyotangazwa mapema leo Ijumaa.

“Tumesitisha matumizi ya gharama mpya za vifurushi hadi hapo itakapotangazwa baadaye. Lakini, hili litahusu vifurushi vya data pekee na vile vya sms na kupiga vitaendelea kama kawaida,” amesema Mwakyanjala alipozungumza na Mwananchi kwa njia ya simu dakika chache zilizopita.

Kanuni ndogo za gharama na tozo za vifurushi, utangazaji wa huduma na ofa maalum zilizotungwa na TCRA, zimeanza kutumika leo ambapo, matumaini ya wengi ilikuwa ni bei za vifurushi kupungua lakini ikawa tofauti.
 
Dar es Salaam. Saa chache baada ya kutangazwa kwa bei mpya za vifurushi, Serikali imetangaza kusitisha kutumika kwa gharama hizo hadi hapo itakapotangazwa baadaye.

Uamuzi huo unaweza kuwa habari njema kwa watumiaji wa mitandao ya simu ambao, tangu kutangazwa kwa bei hizo mpya mapema leo Ijumaa ya Aprili 2, 2021, wamekuwa kwenye mjadala mzito kwani, matarajio ya wengi ilikuwa ni kushuka kwa gharama hizo.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Semu Mwakyanjala, amesema matumizi ya bei mpya ya vifurushi yamesitishwa kwa muda.

Hata hivyo, amesema uamuzi huo utahusu vifurushi vya data pekee huku vile vya ujumbe mfupi wa maneno na kupiga zitaendelea kama ilivyotangazwa mapema leo Ijumaa.

“Tumesitisha matumizi ya gharama mpya za vifurushi hadi hapo itakapotangazwa baadaye. Lakini, hili litahusu vifurushi vya data pekee na vile vya sms na kupiga vitaendelea kama kawaida,” amesema Mwakyanjala alipozungumza na Mwananchi kwa njia ya simu dakika chache zilizopita.

Kanuni ndogo za gharama na tozo za vifurushi, utangazaji wa huduma na ofa maalum zilizotungwa na TCRA, zimeanza kutumika leo ambapo, matumaini ya wengi ilikuwa ni bei za vifurushi kupungua lakini ikawa tofauti.
Tunashukuru kwa taarifa hiyo
 
Nilisoma hii bei nikaamua kunyamaza maana ningeshambuliwa mie ngwini, Ila nimekuja kujiuliza hivi kweli kuna wataalamu kabisa walikaa wakaweka hicho kikokotoo cha hiyo bei kwamba MB 1 ise 3-9 Tshs???? I think ilipaswa 1GB ni 1000. Hapo tungeenda sawa. Wasiangalie GB Ila waangalie kwamba pia matumizi yataongezeka , the more the cheap it becomes the more watu wanazidi kutumia mtandao pesa inaongezeka zaidi. Hawa walioshauri hivyo sioni sababu kwa nini wanabakizwa pale TCRA
 
Dar es Salaam. Saa chache baada ya kutangazwa kwa bei mpya za vifurushi, Serikali imetangaza kusitisha kutumika kwa gharama hizo hadi hapo itakapotangazwa baadaye.

Uamuzi huo unaweza kuwa habari njema kwa watumiaji wa mitandao ya simu ambao, tangu kutangazwa kwa bei hizo mpya mapema leo Ijumaa ya Aprili 2, 2021, wamekuwa kwenye mjadala mzito kwani, matarajio ya wengi ilikuwa ni kushuka kwa gharama hizo.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Semu Mwakyanjala, amesema matumizi ya bei mpya ya vifurushi yamesitishwa kwa muda.

Hata hivyo, amesema uamuzi huo utahusu vifurushi vya data pekee huku vile vya ujumbe mfupi wa maneno na kupiga zitaendelea kama ilivyotangazwa mapema leo Ijumaa.

“Tumesitisha matumizi ya gharama mpya za vifurushi hadi hapo itakapotangazwa baadaye. Lakini, hili litahusu vifurushi vya data pekee na vile vya sms na kupiga vitaendelea kama kawaida,” amesema Mwakyanjala alipozungumza na Mwananchi kwa njia ya simu dakika chache zilizopita.

Kanuni ndogo za gharama na tozo za vifurushi, utangazaji wa huduma na ofa maalum zilizotungwa na TCRA, zimeanza kutumika leo ambapo, matumaini ya wengi ilikuwa ni bei za vifurushi kupungua lakini ikawa tofauti.
@kigogo2014 ndiyo amesababisha yote
 
nafanya fujo na internet ya bila kikomo from halo
Screenshot_20210406_011641.jpg
 
Back
Top Bottom