Mabaharia karibuni mtoe na nyinyi sifa zenu za marriage application

Muumbe wako hivyo upendavyo
 


Kuna jinamizi la talaka (demu la Kichagga) huku kwetu, lina sifa uzitajazo hapo juu ila kaoza meno, hana cheko nzuri pia. Kama utamuhitaji ni PM nitakupa contacts zake.
 
Unaweza kumuumba wa kwako mwenyewe mkuu ili atosheleze sifa zako

Luckman1
 
Huwa tukiwafunga tai au kifungo cha juu tunapanda kwenye stool au kitanda kuwafikia[emoji56][emoji56].
Short chasis inaendana na Mr big mwanaume anaheight na weight za kutosha.
Hiyo combination balaa

mama wawili
🤣🤣🤣 mm n Mr Big more than 1.5 m
 
Sasa mtaani mnajadili huku mnaonana, wewe hujasikia watu wanakimbiana mnapanga kukutana.pic ulioweka kichwani sio kabisa[emoji125][emoji125][emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa mtaani mnajadili huku mnaonana, wewe hujasikia watu wanakimbiana mnapanga kukutana.pic ulioweka kichwani sio kabisa[emoji125][emoji125][emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂 Hao labda vijana wa fesibuku ndo wanatabia za kuji-edit na ma-filters.
 
Bila shaka na wewe ni muhanga,maana huwezi jua kunguni wa Miranda usichokilalia.
Si wana andika humu, mie sina muda huo wakuanza kutafutana salamu zinaushia hapa hapa sinaga muda huku niliko mpaka kufika mjini lazima nipande bodaboda masaa 5 sasa si nitavunjika kiuno [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ss wafupi tuolewe na nan?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…