Mgiriki MTz
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 330
- 270
- Thread starter
- #61
Nyie mtafute wafupi wenzenu,ndege wafananao huruka pamoja.
Ila avatar yako imenivutia!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie mtafute wafupi wenzenu,ndege wafananao huruka pamoja.
Nyie mtafute wafupi wenzenu,ndege wafananao huruka pamoja.
Ila avatar yako imenivutia!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwa hizo sofa labda upate Mchoro,
Basi Sir God hajakunyima vyote! Natumai hats kamsambwanda kapo au sio?
wewe mwenyewe una sifa gani kati ya hizo ulizoziorodhesha?
Ni aibu mwanaume kuwe mzuriSifa zako please maana unaweza toa sifa unazotaka kumbe wewe mwenyewe ukikatiza watoto wanajificha hata kama alikuwa analia ananyamaza wanafikiri mnyama kapotea njia yakwenda hifadhi ya gombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kabisa wewe ni poyoyo kwanza yaweza kuwa hazikutoshi na wewe ni wale watu wapenda sifa*Mzuri wa sura sio unakuwa na demu sura kama ngiri.
*Mweupe au rangi ya chocolate au maji ya kunde na sio mweusi.
*Shepu lazima awe na msambwanda medium size,Sio shape kama Sanchoka maana ile ni kero.
*Awe mrefu kiasi sivutiwi kabisa na short chassis.
*Miguu isiwe na gaga,vidole vya miguu viwe na kucha safi tena asilia pia vidole viwe vimenyooka. Sio mwanamke vidole utafikiri meno ya mamba having ushirikiano.
*Asiwe anatumia bidhaa za bandia za urembo kama kucha, kope, lipstick+lipshine, make up na mawigi.
*Awe na kucha nzuri za mikononi tena itapendeza kama asipopaka ranging, sio demu ana vikucha vyeusi na vifupi kama simbilisi/Guinea pigs.
*Asiwe na hela kunizidi Mimi, maana sitaki dharau.
*Tabia sio muhimu tutarekebishana.
Mabaharia karibuni mtoe na nyinyi sifa zenu za marriage application.
Kwa maneno haya inaonesha kabisa uwezo wako wa kujenga hoja ulivyo mfupi kama kibamia.umama na uanamke na uboya.