Mabaharia karibuni mtoe na nyinyi sifa zenu za marriage application

Mabaharia karibuni mtoe na nyinyi sifa zenu za marriage application

😂 😂 😂 😂 😂 😂 KUNA UBAHARIA MWINGINE NI UJINGA
 
*Mzuri wa sura sio unakuwa na demu sura kama ngiri.

*Mweupe au rangi ya chocolate au maji ya kunde na sio mweusi.

*Shepu lazima awe na msambwanda medium size,Sio shape kama Sanchoka maana ile ni kero.

*Awe mrefu kiasi sivutiwi kabisa na short chassis.

*Miguu isiwe na gaga,vidole vya miguu viwe na kucha safi tena asilia pia vidole viwe vimenyooka. Sio mwanamke vidole utafikiri meno ya mamba having ushirikiano.

*Asiwe anatumia bidhaa za bandia za urembo kama kucha, kope, lipstick+lipshine, make up na mawigi.

*Awe na kucha nzuri za mikononi tena itapendeza kama asipopaka ranging, sio demu ana vikucha vyeusi na vifupi kama simbilisi/Guinea pigs.

*Asiwe na hela kunizidi Mimi, maana sitaki dharau.

*Tabia sio muhimu tutarekebishana.


Mabaharia karibuni mtoe na nyinyi sifa zenu za marriage application.
Kwanza kabisa wewe ni poyoyo kwanza yaweza kuwa hazikutoshi na wewe ni wale watu wapenda sifa

Huwezi ukatukana uumbaji wa Mungu kwani hao unaowatukana hivo walipenda kuumbwa hivo,

Acha umama na uanamke na uboya.

Kibaya kwako kwangu kinathamani, acha kufanya mambo kwa kutaka sifa kwa watu.

Boya mmoja wewe.
Fikiri kabla ya kuongea.
 
Back
Top Bottom