Mabaharia! Umeona manzi umeizimia! Kimwonekano unaona kuimudu ni mziki mnene! Kuweka heshima ya baharia unafanyaje?

Mabaharia! Umeona manzi umeizimia! Kimwonekano unaona kuimudu ni mziki mnene! Kuweka heshima ya baharia unafanyaje?

Kuna manzi fulani anaposti picha zake instagram na Facebook! Picha zake ziko public na mimi nimekuwa nikimfollow muda mrefu sana! Yeye hakuwahi kuaccept my request ya follow back! Nimemtumia private meseji hajibu! Status yake ni single na post za picha zake kwakweli anaonekana wife material! Naweza kufanya nini kuattract may attention angalau akaongea na mimi? Najua mabaharia walishawahi kukutana na changamoto hii wakapita! Mlifanyaje?
Mfuatilie anafanya kazi wapi na kamlie mingo huko huko. Niliwahi kupata namba ya mtu kwa style hiyo and the rest is history.
By the way mimi nafanya kazi za masoko, naweza kumchezesha mtu akanipa namba hata za boss aliyesema usimpe mtu namba zangu seuze na demu.
 
Kuna manzi fulani anaposti picha zake instagram na Facebook! Picha zake ziko public na mimi nimekuwa nikimfollow muda mrefu sana! Yeye hakuwahi kuaccept my request ya follow back! Nimemtumia private meseji hajibu! Status yake ni single na post za picha zake kwakweli anaonekana wife material! Naweza kufanya nini kuattract may attention angalau akaongea na mimi? Najua mabaharia walishawahi kukutana na changamoto hii wakapita! Mlifanyaje?
Huyo unatakiwa ufahamu anapoishi na harakati zake,vitu anavyopenda,marafiki zake wa kike uwe nao jirani,wa follow marafiki zake unaona anawajibu comments kwa fb alaf unaweza fanya mpango wa namba yake ya simu ili uweze kumpanga vizuri aingie kwenye line yako..
Lakin pesa inabid ziwepo ili kurahisisha mambo
 
Mfuatilie anafanya kazi wapi na kamlie mingo huko huko. Niliwahi kupata namba ya mtu kwa style hiyo and the rest is history.
By the way mimi nafanya kazi za masoko, naweza kumchezesha mtu akanipa namba hata za boss aliyesema usimpe mtu namba zangu seuze na demu.
Kama hajibu dm zangu ntampataje sasa! Personal details zake kaziweka private!
 
Mzamishe kwny kina kirefu cha bahari lazima akulilie ..wewe si baharia bwana...
 
Mpe mipango ya mda mrefu
Hao ukiwataka usikurupuke, mpe mipango ya mda mrefu akijaa kabla hujaanza kukolea kwenye Penzi m dump
Ntatoa notice

Britanicca
 
1721250966056.png
 
Chapa tembea.

Shida sio investment cost, shida Iko kwenye kumaintain running cost ili upate good return.
 
Back
Top Bottom