Mabalozi wa nchi za Magharibi waliopo nchini watoa tamko kuhusu uzingatiwaji wa Uwazi, Haki na Usawa kwenye Uchaguzi Mkuu 2020

Mabalozi wa nchi za Magharibi waliopo nchini watoa tamko kuhusu uzingatiwaji wa Uwazi, Haki na Usawa kwenye Uchaguzi Mkuu 2020

M-mbabe

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2009
Posts
13,203
Reaction score
23,027
Ni dhahiri tupo kwenye usawa wa microscope ya tunaowaita "mabeberu". Figisu zote zinaonekana na zitaendelea kuonekana dhahiri kabisa dunia nzima.

Muhimu ni kwa vyombo vilivyopewa dhamana kusimamia uchaguzi vizingatie uwazi, haki na usawa kwa vyama vyote na wagombea wote.

Hakuna jiwe litalosalia juu ya jiwe.

1599043985737.png
 
Kutokana na hii kauli, NEC wajitizame mara mbili. Kuna sehemu ni kama wamegusiwa.

Pia hili suala la upinzani kuacha kuonyeshwa kwenye Tv kutokana na woga wa vyombo vya habari. Ila TBC tunawalipa lakini ni wa hovyo hovyo.
 
If your immediate response to this uber diplomatic, neutral statement is knee jerk militancy, what are you telling us exactly?
 
Hata aje Trump mwenyewe na jeshi lake Lisi hashindi jamani mbona ni wagumu kuelewa?

Hao watatoa matamko hayo ambayo ni wajibu wao na mwishowe watasanda.

Kama leo chadema mnaleta licha za mapokezi ya Lowasa 2015 na kusema ni ya Lisu, basi hata aje Amsterdam beberi wa Lisu aje atangaze matokeo hamtashinda.
 
Chadema wanaamini kuwa wazungu watawaweka Madarakani,

Chadema is a branch of colonial masters that seeks to resume colonial operations in Tanzania!

Bora kuwahujumu kwa namna yoyote wasipate madaraka makubwa.
 
Hizi stament za aina hii ndio zinaimaliza CHADEMA inaonyesha wao wantaka CHADEMA ipie watutawale tena
 
Kila uchaguzi wanatoaga tu matamko hakuna kitu
 
Chadema wanaamini kuwa wazungu watawaweka Madarakani,

Chadema is a branch of colonial masters that seeks to resume colonial operations in Tanzania!

Bora kuwahujumu kwa namna yoyote wasipate madaraka makubwa.
Na visiwani Zanzibar, Seif Sharif Hamad seeks to return sultanate and slaverly
 
Hizi stament za aina hii ndio zinaimaliza CHADEMA inaonyesha wao wantaka CHADEMA ipie watutawale tena
bora watatuwale wao kuliko wakoloni weusi.
Mwalimu Nyerere hakupigwa hata kofi na wakoloni weupe lakini hawa weusi hata risasi wanatwanga tu utafikiri wanawinda nyati!!
 
Back
Top Bottom