Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Pia yule mwanachadema aliyejimilikisha gari la Chadema!Tunasubiri kuona viongozi wa Jeshi la Polisi nao wakiwajibika/kuwajibishwa.
Basi kama ni huyu kada nguli wa chama hakuna shida.
Yani kipindi hiki sijui nani wa kumgusa mwenzie, maana ukimgusa tu anakuambia ofisi yako pia imetajwa, Hivyo wasiwaguse kina Emmanuel Nchimbi maana kitanuka nchi hii.Tunasubiri kuona viongozi wa Jeshi la Polisi nao wakiwajibika/kuwajibishwa.
Mussa of the House Assad, the First of His Name, Controller and Auditor General, and Protector of the Check and Balance#ForTheThrone
Usitembee kwanini wasikupe gari? Endelea kukodi ila kwa matumizi ya ofisi tu na sio starehe. Tutakuhoji ziweke hoja zako vizuri.sasa mlitaka mie balozi mzima nitembee kwa mguu huku ugenini?
Bila kuwaacha WANACCM walioshindwa kuwasilisha nyaraka NSSFPia yule mwanachadema aliyejimilikisha gari la Chadema!
Hayo magari wanayakodi wakienda wapi?Kutokana na ripoti ya CAG kuzilaumu ofisi za kibalozi za Tanzania nchini Brazil na Comoro kwa matumizi ya hovyo ya fedha za umma kwa kukodi magari, huenda mabalozi husika wakaitwa kuhojiwa na chombo maalumu ambacho nakifanya siri.
Baada ya mahojiano busara zitatumika kwa mujibu wa mamlaka za uteuzi.
Source: Chanzo nyeti serikalini.
Mbona kakonda gafla?,halafu usawa wa shingo kama kachomekea,editing ya kifala kweliTunasubiri kuona viongozi wa Jeshi la Polisi nao wakiwajibika/kuwajibishwa.
Mussa of the House Assad, the First of His Name, Controller and Auditor General, and Protector of the Check and Balance#ForTheThrone
Dr. Bushiri yupo. Atoe maelezoooooBila kuwaacha WANACCM walioshindwa kuwasilisha nyaraka NSSF
MiM
Hata sielewi, ngoja warudi nchini watupe majawabu mijarabu.
Wanahojiwa soonWameshindwa kupanga namna nzuri ya Matumizi pamoja na Kununua magari ya Ofisi ya Balozi kwa kweli waitwe, wahojiwe tu!
Yule navyomjua atayaweka mambo hadharani hivi punde.
Kaka Emmanuel ni shemeji yetu wa kunyumba
[emoji3][emoji3][emoji3] Wasije kumrudisha tuKaka Emmanuel ni shemeji yetu wa kunyumba
asad ni sawa na madokta wote na maprofesa wa CCMTunasubiri kuona viongozi wa Jeshi la Polisi nao wakiwajibika/kuwajibishwa.
Mussa of the House Assad, the First of His Name, Controller and Auditor General, and Protector of the Check and Balance#ForTheThrone