Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Kutokana na ripoti ya CAG kuzilaumu ofisi za kibalozi za Tanzania nchini Brazil na Comoro kwa matumizi ya hovyo ya fedha za umma kwa kukodi magari, huenda mabalozi husika wakaitwa kuhojiwa na chombo maalumu ambacho nakifanya siri.
Baada ya mahojiano busara zitatumika kwa mujibu wa mamlaka za uteuzi.
Source: Chanzo nyeti serikalini.
Baada ya mahojiano busara zitatumika kwa mujibu wa mamlaka za uteuzi.
Source: Chanzo nyeti serikalini.
