DidYouKnow
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,229
- 1,950
anajipenyeza kwenye vilabu kupitia mgogo wa tff bila kushirikisha wadau husika wakakubaliana.Naomba kufahamishwa kosa la GSM ni nini katika hili sakata
Unamaanisha NBC alizifuata club akajadiliana nao kuhusu sponsorship ndipo akapewa green light na kila klabu?anajipenyeza kwenye vilabu kupitia mgogo wa tff bila kushirikisha wadau husika wakakubaliana.
Akikujibu nitag bossUnamaanisha NBC alizifuata club akajadiliana nao kuhusu sponsorship ndipo akapewa green light na kila klabu?
Tukiingia kwa Mkapa na kuyaona hayo mabango ndipo tutajua ni Nani zuzu wa ukwelisi kosa lako, Kuna zuzu mwenye akili?
Sana tu, TFF na bodi ya league kama wanaamini kisheria wako sawa na wamekuja kuambiwa na wizara wafunike kombe mwanaharamu apite basi walitakiwa waachie madaraka mara moja sababu ni udhalilishaji mkubwa chombo chochote kikishindwa kusimamia sheria hakina faida maana kesho takuja mwingine kuvunja sheria hamtakuwa na kusema. Watu walipiga chini Juventus sembuse vijitimu vyetu.Akikujibu nitag boss
Tukiingia kwa Mkapa na kuyaona hayo mabango ndipo tutajua ni Nani alikuwa anaotaMkuu umeanza kuota.,,,🤣
Taarifa iliyopo mabango yametolewa kwenye vibanda vya mabenchi ya ufundi peke yake ila kwenye mzunguko wa uwanja yapo kama kawa.
Tukiingia kwa Mkapa na kuyaona hayo mabango ndipo tutajua ni Nani alikuwa anaota
Unamaanisha NBC alizifuata club akajadiliana nao kuhusu sponsorship ndipo akapewa green light na kila klabu?
Akikujibu nitag boss
TAKUKURU wawafanyie kazi hawa wakwepa kodi na matapeli ya kutupwa.Matatizo ya jiesem Ni makubwa Sana,tangu pale alipowaibia Watz pesa Yao ya Kodi miaka ya nyuma,hivi Sasa anatakasisha pesa yake kupitia UtOPoLo.
Acha ushamba we mtopox... Wizara haihusiku.Wizara Ya Michezo Imeoza Muda Wote Ipo Kimya
kama niko sawa hiko hiviWizara Ya Michezo Imeoza Muda Wote Ipo Kimya
Bilashaka.Unamaanisha NBC alizifuata club akajadiliana nao kuhusu sponsorship ndipo akapewa green light na kila klabu?
Hapana, inaweza kuingilia.kama niko sawa hiko hivi
Serikali hairuhusiwi kuingilia maswala ya tff, ikifanya hivyo tutafungiwa na fifa kushiriki mechi za kimataifa. Kama nakumbuka vzr tulishawai fungiwa enzi za fat baada ya serikali kuingilia fat. Naomba kukosolewa
Ikiwezekana waifutilie mbali hii Kampuni.TAKUKURU wawafanyie kazi hawa wakwepa kodi na matapeli ya kutupwa.
Umeiva, mkuuUnayajua majukumu ya Board ya Ligi? If yes basi hupaswi kushangaa kwanini mkataba wa NBC haujapigiwa kelele na Clubs zote zinazoshiriki ligi
Kongole chane mkuu,🤝Unadhani ni wateja wangapi mashabiki wa Simba kawapoteza kupitia hili seke seke la kulazimisha Simba wavae logo yake kwa mgongo wa TFF?
Tunapoongelea hili ujue kushabikia Simba au Yanga ni kama Imani ya Dini, kama ni magodoro, wapo wengi tu wanauza na hata ukitaka ya quality ya Juu kabisa wapo supplier kibao wanaleta kutoka nnje ya Nchi, upande wa nguo za watoto ndiyo kabisaa, zimejaa tele hadi viduka vya mtaani, kama ni nguo za michezo napo wapo wanaoingiza mzigo wa kutosha.
Tukija kwenye vyombo vya ndani hapo ndiyo usiseme.GSM analetaj ujuaji wakati huo huo anawahitaji hao hao mashabiki wa Simba wanunue bidhaa zake.