Mabango ya GSM yaondolewa Uwanja wa Mkapa

Akikujibu nitag boss
Sana tu, TFF na bodi ya league kama wanaamini kisheria wako sawa na wamekuja kuambiwa na wizara wafunike kombe mwanaharamu apite basi walitakiwa waachie madaraka mara moja sababu ni udhalilishaji mkubwa chombo chochote kikishindwa kusimamia sheria hakina faida maana kesho takuja mwingine kuvunja sheria hamtakuwa na kusema. Watu walipiga chini Juventus sembuse vijitimu vyetu.

Sheria ni lazima zifuatwe na kila team bila kujali ukubwa wako. TFF kama mnaona hamna meno tena basi mresign aibu kubwa kama mnaona mko sawa basi msikubali kuvunja sheria zenu wenyewe.
 
Wizara Ya Michezo Imeoza Muda Wote Ipo Kimya
kama niko sawa hiko hivi
Serikali hairuhusiwi kuingilia maswala ya tff, ikifanya hivyo tutafungiwa na fifa kushiriki mechi za kimataifa. Kama nakumbuka vzr tulishawai fungiwa enzi za fat baada ya serikali kuingilia fat. Naomba kukosolewa
 
kama niko sawa hiko hivi
Serikali hairuhusiwi kuingilia maswala ya tff, ikifanya hivyo tutafungiwa na fifa kushiriki mechi za kimataifa. Kama nakumbuka vzr tulishawai fungiwa enzi za fat baada ya serikali kuingilia fat. Naomba kukosolewa
Hapana, inaweza kuingilia.
 
Kongole chane mkuu,🤝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…