Na hata mkataba wa sport pesa yanga wamechukua hela nyingi kuliko simba ndo maana simba wamesema ukiisha hawataendelea nao labda waweke dau nono zaidi ya mpinzani wao.Ukiona hivyo, ujue zile takwimu nizaMchongo.
Usiseme hivo, vilabu kama Mbeya City vitaishi vipi.Sijawa disappointed...
Mikataba ya TFF/Bodi ya ligi imekuwa ina pindishwa pindishwa na vilabu, mara sijui logo ina rangi hii mara vile...
Hii inatoa picha hapo TFF hakuna watu makini, sasa hawa dawa yao ni wafadhili kuwatosa tu...
Usiseme hivo, vilabu kama Mbeya City vitaishi vipi.
CAF ndiyo wanaoandika 'tanzania'??Mambo yameumana hapa. Aibu kubwa kwa tff. View attachment 2039534
Mzee CAF wametoa onyo la ban kwa tifua tifua njaa michongoNaskia PM alipiga simu ndo TFF ikaufyata
Hakuna wizara pale wote blah blah tuWizara Ya Michezo Imeoza Muda Wote Ipo Kimya
Mkuu, nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Tanganyika.CAF ndiyo wanaoandika 'tanzania'??
Na hamna Waziri, pale.Hakuna wizara pale wote blah blah tu
Kazi iendeleee.Mkuu, nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Tanganyika.
Imekula kwake hyoDaaah kwenye mgao karia alikuwa amechukua mil 600 zake akamalizie ghorofa lake sasa sijuwi itakuwaje.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Mkuu, liko wapi hilo ghorofa ?!Daaah kwenye mgao karia alikuwa amechukua mil 600 zake akamalizie ghorofa lake sasa sijuwi itakuwaje.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo CAF huwa inajishughulisha na masuala ya wadhamini wa members wake?! Huu Mwandiko wa Makolo Pro Max kabisa huu halafu unataka kuwasingizia CAF?!Mambo yameumana hapa. Aibu kubwa kwa tff. View attachment 2039534
Lipo upande wa magharibiMkuu, liko wapi hilo ghorofa ?!
Hata tunajua ndg yang, sie tunachojua mabango yametolewa. OverKwahiyo CAF huwa inajishughulisha na masuala ya wadhamini wa members wake?! Huu Mwandiko wa Makolo Pro Max kabisa huu halafu unataka kuwasingizia CAF?!
Magharibi mwa Dar, Afrika au Dunia ?!
Nikiweka ushabiki maandazi pembeni ambao hauna manufaa yoyote zaidi ya kutambiana, ukweli wa moyo wangu mi naona poa GSM wasipodhamini ligi na hata wasipodhamini vilabu vingine kwa sababu ingawaje mnadhani mnaikomoa Yanga, kimsingi mtakuwa mnaifaidisha Yanga kwa sababu GSM watalazimika kujikita zaidi na mikataba yake na Yanga!! Atalazimika kuwekeza zaidi matangazo yake kwa Yanga!!! Kwahiyo ππππππππππππππHata tunajua ndg yang, sie tunachojua mabango yametolewa. Over
Wewe ni mbulukenge kweli sijui unafikilia kwa kutumia tumbo au makalio, yanga unayoitaja apo ndo imesaini mkataba na tff? Iyo bangi umeivutia wapi?Kisaikolojia yanga wameshatolewa mchezoni