Mabango ya GSM yaondolewa Uwanja wa Mkapa

Mabango ya GSM yaondolewa Uwanja wa Mkapa

Mwafrika ni tatizo kweli. Yaani taasisi kama CAF wanaandika kama layman! Angalia jina Tanzania herufi ya kwanza ya jina imeandikwa kwa herufi ndogo. Hakuna alama ya full stop baada ya neno chaos. Sentensi inayoanza na legal,neno legal halijaanza kwa herufi kubwa. N.k

Hili linaweza kuonekana dogo lakini kwa Nchi au taasisi makini hili ni kosa kubwa. Najaribu kufikiri ingekuwa statement hiyo ingeandikwa na UEFA, kesho ingekuwa story kubwa kwenye vyombo vya habari Ulaya.

By the way sina tatizo na maamuzi hayo

Hiyo barua ya kubumba...CAF huwa haingilii vitu kama hivyo
 
Mwafrika ni tatizo kweli. Yaani taasisi kama CAF wanaandika kama layman! Angalia jina Tanzania herufi ya kwanza ya jina imeandikwa kwa herufi ndogo. Hakuna alama ya full stop baada ya neno chaos. Sentensi inayoanza na legal,neno legal halijaanza kwa herufi kubwa. N.k

Hili linaweza kuonekana dogo lakini kwa Nchi au taasisi makini hili ni kosa kubwa. Najaribu kufikiri ingekuwa statement hiyo ingeandikwa na UEFA, kesho ingekuwa story kubwa kwenye vyombo vya habari Ulaya.

By the way sina tatizo na maamuzi hayo
Yanga bhna, kwahiyo mmehamia kwenye uandishi [emoji23][emoji23]
 
Mwafrika ni tatizo kweli. Yaani taasisi kama CAF wanaandika kama layman! Angalia jina Tanzania herufi ya kwanza ya jina imeandikwa kwa herufi ndogo. Hakuna alama ya full stop baada ya neno chaos. Sentensi inayoanza na legal,neno legal halijaanza kwa herufi kubwa. N.k

Hili linaweza kuonekana dogo lakini kwa Nchi au taasisi makini hili ni kosa kubwa. Najaribu kufikiri ingekuwa statement hiyo ingeandikwa na UEFA, kesho ingekuwa story kubwa kwenye vyombo vya habari Ulaya.

By the way sina tatizo na maamuzi hayo
Hao sio CAF ni barua ya michongo. Upuuzi wa mpira tu unaendelea
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
E5YkwiGX0AMGxmn.jpg
 
TFF wametudissapoint Sana, tulio wengi.
Tafadhali pokea pole yangu.

Sijawa disappointed...

Mikataba ya TFF/Bodi ya ligi imekuwa ina pindishwa pindishwa na vilabu, mara sijui logo ina rangi hii mara vile...

Hii inatoa picha hapo TFF hakuna watu makini, sasa hawa dawa yao ni wafadhili kuwatosa tu...
 
Back
Top Bottom