Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na SimbA bana, ni hatari mpaka CAF inatoa tamko.hoja ni GSM. Na tumefanikiwa.
Hakuna janja janja hapa.
Uliona wapi Nike na Adidas ktk jezi moja.
Mwafrika ni tatizo kweli. Yaani taasisi kama CAF wanaandika kama layman! Angalia jina Tanzania herufi ya kwanza ya jina imeandikwa kwa herufi ndogo. Hakuna alama ya full stop baada ya neno chaos. Sentensi inayoanza na legal,neno legal halijaanza kwa herufi kubwa. N.k
Hili linaweza kuonekana dogo lakini kwa Nchi au taasisi makini hili ni kosa kubwa. Najaribu kufikiri ingekuwa statement hiyo ingeandikwa na UEFA, kesho ingekuwa story kubwa kwenye vyombo vya habari Ulaya.
By the way sina tatizo na maamuzi hayo
Hii English ya kuchomea viazi mbonaMambo yameumana hapa. Aibu kubwa kwa tff. View attachment 2039534
Yanga bhna, kwahiyo mmehamia kwenye uandishi [emoji23][emoji23]Mwafrika ni tatizo kweli. Yaani taasisi kama CAF wanaandika kama layman! Angalia jina Tanzania herufi ya kwanza ya jina imeandikwa kwa herufi ndogo. Hakuna alama ya full stop baada ya neno chaos. Sentensi inayoanza na legal,neno legal halijaanza kwa herufi kubwa. N.k
Hili linaweza kuonekana dogo lakini kwa Nchi au taasisi makini hili ni kosa kubwa. Najaribu kufikiri ingekuwa statement hiyo ingeandikwa na UEFA, kesho ingekuwa story kubwa kwenye vyombo vya habari Ulaya.
By the way sina tatizo na maamuzi hayo
Sure, ndo maana mm binafsi huwa siwaamn TFF. Hata kipindi kile mwez wa sita,TFF, TLB, GSM wana siri zao ambazo hawataki tujue
Ndo yenyewe, ingekuwa yakuchomea mihogo ndio mbaya.,😁Hii English ya kuchomea viazi mbona
Andika wewe tulinganishe.Hii English ya kuchomea viazi mbona
Hao sio CAF ni barua ya michongo. Upuuzi wa mpira tu unaendeleaMwafrika ni tatizo kweli. Yaani taasisi kama CAF wanaandika kama layman! Angalia jina Tanzania herufi ya kwanza ya jina imeandikwa kwa herufi ndogo. Hakuna alama ya full stop baada ya neno chaos. Sentensi inayoanza na legal,neno legal halijaanza kwa herufi kubwa. N.k
Hili linaweza kuonekana dogo lakini kwa Nchi au taasisi makini hili ni kosa kubwa. Najaribu kufikiri ingekuwa statement hiyo ingeandikwa na UEFA, kesho ingekuwa story kubwa kwenye vyombo vya habari Ulaya.
By the way sina tatizo na maamuzi hayo
Huu mchanganyiko wa fonts and font sizes za huo waraka, unanipa mashaka ya uhalali wake. Ila kusoma tumesoma japo kiinglish chake si cha kiprofesheno kiviile!Mambo yameumana hapa. Aibu kubwa kwa tff. View attachment 2039534
Pole mkuu,Ni muda sasa wa GSM kuvunja mkataba wake na TFF...
Maana inaonesha TFF si watiifu wa mikataba inayoingia na wadhamini...
Pole mkuu,
TFF wametudissapoint Sana, tulio wengi.Pole ya nini?
Ila Hii Iko Wazi, Serikali Ifuatilie Huyu Home Shopping CentreMatatizo ya jiesem Ni makubwa Sana,tangu pale alipowaibia Watz pesa Yao ya Kodi miaka ya nyuma,hivi Sasa anatakasisha pesa yake kupitia UtOPoLo.
Mbaya zaidi walipewa muda wa saa moja takataka zote ziondolewe Mkapa Stadium.Wao wanadhani mpaka sasa bado tuko kwenye zile enzi za team kuangukia TFF na kufanya kila takwa lao? Hayo mambo wakayafanye kwa team changa ambazo hazina mdomo.
Ukiona hivyo, ujue zile takwimu nizaMchongo.Yanga ndo team yenye mashabiki wengi Tanzania
Yanga ndo team iliyoingiza hela nyingi msimu uliopita kwa mujibu wa azam,
Chakushangaza wadhamini wake wanahangaika na team wanayosema ina faida ndogo ajabu kweli hii.
TFF wametudissapoint Sana, tulio wengi.
Tafadhali pokea pole yangu.