Mabasi aina ya Scania na Mercedes Benz vs Yutong na Zongtong: Mchina ameuza ramani ya vita kwa adui

Acha uongo bhana unakumbuka newforce alikuwa na yutong injini nyuma? Na kuna kampuni iliitwa Tonda unaifahamu?? Zote zilikuwa Yutong hebu niambie zile gari zipo wapi kwasasa japo mabaki tu
Tonda ilikuwa inatoka Mbeya kwenda Songea mchina alikuwa anaendesha mwenyewe, kwenye milima zilikuwa zinasinzia sana.
 
Technology wanayotumia ulaya kujenga mabody ya mabasi Ni ghali mno sisi hatuwezi , wao wanatumia carbon composite na fibres kujenga kuta za body zao , sisi bado tunatumia mabati,
Hatutawaweza kamwe

Sent
Mchina anatumia teknolojia gani?
 
Mchana haepukiki ndugu. Unaweza kujikuta umevaa Mchina toka soksi mpaka kapelo. Kuangalia exports za China kwenda US za kuanzia computer hadi vifaa vya ujenzi utachoka.
Kuna mchina Original na Mchina feki.

Sisi bongo tunaletewa mchina feki.

Ndo maana mtu akikuambia Mchina anamaanisha feki.
 
Majibu ya kitaalamu. Safi sana.
 
Hivi kwanini huku Tanzania hakuna mabasi yenye ghorofa?
Basi za ghotofa au hiyo moja hapo juu mdau aliyopost haziwezi kutembea Tanzania kwa sheria za Tanroad, Ni ndefu kwa sheria za Tanroad itabidi zitembee na vipeperushi vya abnormal.
Ilasi bus wa vwawa ilibidi akate kupunguza urefu marcopolo 2010 yake mpya kabisa kuepuka faini za Tanroad.

Sent
 
Hii Ni gemilang body original, Botwana Kuna wababe wanazo hizo , sio hizi huku za Ava tunazodanganyana za akina sauli . moja ya sifa za gemilang Ni kioo kimoja Cha mbele na wiper zinazotazamana

Sent
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka sana kaka mbona unatupa chai ya moto alafu haina sukari??

Iyo gari ni SCANIA HIGER TOURING na sio gemilang kaka iyo body imeundwa na HIGER CHINA under scania license,

Hapa bingo hatuna sababu hizi..

Bei
Kodi
Kikubwa Zaidi ni vipimo vya izo bus ni mita 12 na mita 13.8/14 tz mwisho wetu ni mita 12.5 ukinunua ilo shart litembee na escot ya abdomal au ulikate kama ilasi
 
Sheria tz kwenda juu ni mita 5.5 double deck ina mita 4.2 tatizo sio kwenda juu tatizo ni meter long...
 
Na mimi nipost kapicha ka scaniaView attachment 1494387
Hii labda ujifurahishe tuu , kwa sheria za Tanroad itabidi itembee na vipeperushi vya abnormal.
CR coach ya Zambia walishawahi kuwa na basi ya aina hii 8x2 marcopolo paradisso 00 ilinkuw miaka ya 2005 Kama sikosei

Sent
 
Hii Ni gemilang body original, Botwana Kuna wababe wanazo hizo , sio hizi huku za Ava tunazodanganyana za akina sauli . moja ya sifa za gemilang Ni kioo kimoja Cha mbele na wiper zinazotazamana

Sent
Unaziona gemilang zikiwa huko Malaysia? Hizi ni injini nyuma haya nitofautishie hizi na izo sauli tuone.
 
Mkuu anazo 10 tuu usidanganyike
Kwa jinsi biashara ya basi ilivyomzingua hawezi kutamani Tena kuwa na magari, kwanza biashara ya Lori za kichina labda ubebe mafuta , sio hard work. ndio hazidumu kabisa huko utasema Bora hata mabasi yao .

Sent
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…