Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Kuna basi ilikuwa inaitwa Mndeme ilichongwa body walitumia chassis ya Scania Mende. Ilikuwa inapiga Dar kwenda Turiani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saizi kuna wengine huku Tanzania kwenye semi trailer za flat bed wanaongeza tela ndogo ya single axle.Nimeona pia Ila inaondoa maana halisi ya interlink inakuwa pambo tu, Namibia gvm ya interlink ni Tani 70 huku kwetu nafikiri wame Zi limit kwenye Tani 56
Sent
Kwanini hakuna?Basi za ghorofa hakuna huku kwetu.
Ukienda Zambia utazikuta za Shalom,Inter city na Juldan.
Ndio maana hawaendelei lazma ukubari mabadiriko ya technology na sheria zako ziendane na wakat. Hizi sheria zinatuumiza had abiria maana utakuta na wamiliki wa mabas nao wanabana viti kwenye magari yao ili wapate faidaSheria nyingi za Tanroad zinaumiza , interlink ya south Africa hadi leo inabidi iishie Tunduma .
Sent
Kwanini hakuna?
Nadhan umeleta Tangazo la Biashara Ila hakuna asiyejua shughul ya new force pale mpaka scania za majinja zinalala mbaya zaid jamaa wamechukua root ndefu dar swax chunyaChasis ya Scania Bus engine nyuma![]()
Miaka ya nyuma Scania ndio alikuwa mfalme wa kusafirisha abiria na mizigo hapa nchini. Wamiliki wa mabasi waliziamini sana Scania kwa uimara wake na mwendo barabarani.
Miaka ya katikati Mchina akaleta mabasi ya YUTONG na Zongtong. Matajiri wengi wakazimbilia basi hizi kwasababu ya ulaji mdogo wa mafuta, bodi nzuri, interior design, na unafuu wa vipuri...
We jamaa!!Nadhan umeleta Tangazo la Biashara Ila hakuna asiyejua shughul ya new force pale mpaka scania za majinja zinalala mbaya zaid jamaa wamechukua root ndefu dar swax chunya
Labda uendeshe bobtail! Ukivuta trela labda tipper fupi or else Tanroad unaoNapenda sana nije nimiliki hizi ngoma lakin kwa sheria hizo sizan kama ipo siku tanzania tutazimiliki. View attachment 1495781View attachment 1495782View attachment 1495783View attachment 1495784
Wala swala sio kuwa Ni sheria za kale ,Tanroad wana sheria mpya tu za miaka Hadi ya 2017 na bado ni TatizoSheria zetu za barabara bado ni za kale wanakuambia eti itakua abnormal lazima ulikatie vibali
Kabla ya mndeme Upendo ya iringa naye alijarubu mende ikamshindaKuna basi ilikuwa inaitwa Mndeme ilichongwa body walitumia chassis ya Scania Mende. Ilikuwa inapiga Dar kwenda Turiani.
Labda uendeshe bobtail! Ukivuta trela labda tipper fupi or else Tanroad unao
Sent
Upendo yake haikuingia barabarani kabisa.Kabla ya mndeme Upendo ya iringa naye alijarubu mende ikamshinda
Sent
Wanalizombe wana R500 inavuta 30t!Sasa hapo sini hasara yan gari ya 565hp alafu ikavute ki tela chenye tan 40 au 50 ? Wakat inaweza kuvionganisha hvyo vitela ata vinne na ikatembea
Nchi zetu hizi maskini yani kila kitu kimekaa hivyo hivyo , huwez tembeza mzigo zaid ya tani hizo, huwez vuta tela 3, shida tupuWanalizombe wana R500 inavuta 30t!
Azam volvo FH hp 610 tani 30..
Sofi motors volvo FH 610 hp nao wanavuta hizo hizo tani 30!
Bongo sheria zimebana sana.Sasa hapo sini hasara yan gari ya 565hp alafu ikavute ki tela chenye tan 40 au 50 ? Wakat inaweza kuvionganisha hvyo vitela ata vinne na ikatembea
Kwa kuwa mifumo ni ya kijanja janja na wewe, ishi nao hivyo hivyo mkuu..Nchi zetu hizi maskini yani kila kitu kimekaa hivyo hivyo , huwez tembeza mzigo zaid ya tani hizo, huwez vuta tela 3, shida tupu