Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #41
Kwa faida ya wengi, tunaomba ufafanue "drive train" ni Nini na inafanyeje kazi?Myth!
Kwenye real world Mercedes haina uimara huo, Yap zamani walitamba Sana kwa kuwa walikuwa wa kwanza kutengeneza magari , lakini Kuna watu wapo serious kwenye hiyo baishara, huoni basi nyingi za Mercedes kwa sababu Ni sumbufu! Hata south Africa ambao walijatibu basi za Mercedes translux na city to city wengi waliangukia pua, sababu they are serious underpowered and they don't last long!!
...kwa watu wenye kuijua hii biashara hawezi kuhangaika na gari ya kichina
Pamoja na hayo lakini kuna hujma kubwa sana kuna kampuni kama Rungwe, New force na Dar Lux wameungana kumpiga vita.Miaka ya nyuma Scania ndio alikuwa mfalme wa kusafirisha abiria na mizigo hapa nchini. Wamiliki wa mabasi waliziamini sana Scania kwa uimara wake na mwendo barabarani.
Miaka ya katikati Mchina akaleta mabasi ya YUTONG na Zongtong. Matajiri wengi wakazimbilia basi hizi kwasababu ya ulaji mdogo wa mafuta, bodi nzuri, interior design, na unafuu wa vipuri..
Wataangukia pua na mdomo wapate CoronavirusPamoja na hayo lakini kuna hujma kubwa sana kuna kampuni kama rungwe new force na dar lux wameungana kumpiga vita
Scania ni hatari sana mkuuMchina yule yule wa tecno,itel na infinix ndiye yule yule wa zhongtong,higher,youtong hajawahi kuwa serious kwenye kazi.
Basi kama lake linauzwa mil 900,yeye anaunda lake anauza ml 250,halafu mtu anakuja kubeza scania/benz/volvo si lolote si chochote,basi unamuangalia halafu unfanya ihiiiiiiiiiiiiiiiiiiii(kwa sauti ya magu).
Abood na shabiby wanabebwa na geographical location walizopo, hizo basi zote ulizoziona hapo hakuna hata moja inayotanya safari ya Zaid ya masaa manne, zinapata muda wa kupumzika na check up ya kutosha same applies to shabiby,Nimeingia stand ya mkoa Ubungo last week nikaona Abood amepanga YUTONG kama nane hivi, mchanganyiko wa single na double axle, sasa sijui Abood nae hajui biashara ya magari ???
Halafu nikisikia mtu mzima anaongelea sifa ya spidi ya gari nakuona bado hujakomaa, bado infantile...
Vyombo vya biashara , basi, treni, ndege, tanker la mafuta, meli, vinaenda na ratiba inayokwambia hii basi inafika mwisho wa njia saa fulani, ndio imepangwa hivyo kibiashara na kiserikali, sio kwa sababu havina mbio. Sasa basi la Dar Bukoba likiwahi kufika leo leo ndio litageuza leo, leo jioni??? Litaondoka na mteja usiku ???
Wakazimbilia ndio nini.Miaka ya nyuma Scania ndio alikuwa mfalme wa kusafirisha abiria na mizigo hapa nchini. Wamiliki wa mabasi waliziamini sana Scania kwa uimara wake na mwendo barabarani.
Miaka ya katikati Mchina akaleta mabasi ya YUTONG na Zongtong. Matajiri wengi wakazimbilia basi hizi kwasababu ya ulaji mdogo wa mafuta, bodi nzuri, interior design, na unafuu wa vipuri...
JF ni patamu sana ukija ukiwa mafutaWakazimbilia ndio nini.
Tatizo mnaandika mkiwa mmepiga faru john.
Ndio yamefungwa vts lakini shughuli inaanzia mikumi ambapo ndio vilima huanza maana gari za kichina kwenye kupanda sio kivileUnataka kusema nn. Mabasi yote yamefungwa speed limit, barabarani Kuna touch, huo mwendo Ni upi? Issue kubwa hapo Ni unafuu wa manunuzi na uendeshaji wa mabasi ya kichina basi
Nani kakudangaya klm ana namba A lakini hakosi abiria huduma zako ziwe nzuri mkuu... uko sahihi. Probability ya gari T 605 DTR kugombaniwa na abiria ni kubwa kuliko T 605 BXY hilo halina ubishi regardless of brand!
Mkuu kuhusu benzi south huwambii kitu wanapenda sana benz hao watu nikuwambie tu na kudumu benz usisemeMyth!
Kwenye real world Mercedes haina uimara huo, Yap zamani walitamba Sana kwa kuwa walikuwa wa kwanza kutengeneza magari , lakini Kuna watu wapo serious kwenye hiyo baishara, huoni basi nyingi za Mercedes kwa sababu Ni sumbufu! Hata south Africa ambao walijatibu basi za Mercedes translux na city to city wengi waliangukia pua, sababu they are serious underpowered and they don't last long!!
Mercedes nyingi zinafanya vizuri zikiwa mpya 0km to 700000 huko baada ya hapo tegemea majanga , swedish zipo vizuri Hadi second life zikija africa unazungumzia km Hadi milioni kadhaa...
Huyu jamaa anakimbiza sana kaua soko la dar luxyWataangukia pua na mdomo wapate Coronavirus
Kilimanjaro anapeleka tunduna ACN, ALQ, AJR, ADJ, AQN BVA na bado anasumbua sanaWateja hawapendi gari linalodumu, T061APN bali wanapenda gari jipya, linalovutia ndani, lenye WI-FI, unaweza kuchaji simu na tablet, TV, nk.
Jana iyo saa 18:36 uyole sauli yule mbele nyuma Kilimanjaro namba A [emoji16][emoji16][emoji16]Ndio yamefungwa vts lakini shughuli inaanzia mikumi ambapo ndio vilima huanza maana gari za kichina kwenye kupanda sio kivile
Ndio maana yakeJana iyo saa 18:36 uyole sauli yule mbele nyuma Kilimanjaro namba A [emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 1481134
Tunduma jana siku ya 6 Kilimanjaro ndio anaongoza kufikaNdio maana yake
Pamoja na hayo lakini kuna hujma kubwa sana kuna kampuni kama rungwe new force na dar lux wameungana kumpiga vita