Mabasi aina ya Scania na Mercedes Benz vs Yutong na Zongtong: Mchina ameuza ramani ya vita kwa adui

Mabasi aina ya Scania na Mercedes Benz vs Yutong na Zongtong: Mchina ameuza ramani ya vita kwa adui

Miaka ya nyuma Scania ndio alikuwa mfalme wa kusafirisha abiria na mizigo hapa nchini. Wamiliki wa mabasi waliziamini sana Scania kwa uimara wake na mwendo barabarani.

Miaka ya katikati Mchina akaleta mabasi ya YUTONG na Zongtong. Matajiri wengi wakazimbilia basi hizi kwasababu ya ulaji mdogo wa mafuta, bodi nzuri, interior design, na unafuu wa vipuri...
katika gari kumi bora duniani scannia haipo volvo ipo, sasa basi huyo mchina na hizo screpa zake hata hamsini bora unazitafuta kwa tochi, bora hata gari la NYUMBU mkuu.
 
Myth!
Kwenye real world Mercedes haina uimara huo, Yap zamani walitamba Sana kwa kuwa walikuwa wa kwanza kutengeneza magari , lakini Kuna watu wapo serious kwenye hiyo baishara, huoni basi nyingi za Mercedes kwa sababu Ni sumbufu! Hata south Africa ambao walijatibu basi za Mercedes translux na city to city wengi waliangukia pua, sababu they are serious underpowered and they don't last long!!

Mercedes nyingi zinafanya vizuri zikiwa mpya 0km to 700000 huko baada ya hapo tegemea majanga , swedish zipo vizuri Hadi second life zikija africa unazungumzia km Hadi milioni kadhaa..
Mkuu Mercedes sio hivyo unavyowazungumzia wasomali wanatushangaa sisi tupo busy na Scania na kumuacha Mercedes mimi nipo na man diesel na Scania nazitumia kusafirisha mzigo miaka nenda rudi ila naona mziki wa Mercedes harafu iliyotumika tuu hapo borgsbug bei ya Mercedes moja unapata Scania mbili ukitembea unaweza ukapata hata tatu...

Hizi R420 na 124 wasomali wanaofanya kazi za usafirishaji Msumbiji,Zambia na Congo DRC wao minada wanaenda ya Mercedes tuu Wanasema scania hamna kitu na huyo mtu ana truck zaidi ya 300 za mafuta na mizigo ukimpigia simu umeiona sehemu anashukuru kweli wakati mascania yapo ya kumwaga tuu na wana namba zao...Long nose Mercedes mpaka kesho ipo road gari ya mwaka 1980...
 
Sasa inakuwaje mtu anazungumzia kuhusu Bus aina ya Scania, Leyland, Volvo, Benz.

Ati azilinganishe na Basi za Youtong, zengton sijui nini tong.

Hapo si ni sawa kuizungumzia Pikipiki Honda na pilipili Fekoni.

Hivyo ni vitu viwili tofauti kabisa.
Kumbuka, Maziwa, sio Tui la nazi, ingawa rangi ni moja, nyeupe.
 
Unajua kwamba scania wao hawatengenezi body
Scania hawatengezi body ila engine zao zimekua recomended ziwe kwenye iriza na ipo kampuni ingine pia zote za Brazil na agent wao Mkuu yupo Johannesburg...haya magari mnayaona kuingia SA wanakataa maana linakua halina chasis namba ambayo itasoma kulingana na hilo gari Taqwa walikosa kupata kibali kufanya usafirishaji mpaka JHB waliambiwa hii ni Nissan ila chassis ya Nissan sio namba hizi kwa gari la abiria....
 
Ni bei na kudumu. Scania zinadumu sana, majiko ya mchina ni miaka miwili tu, choka kongoroka
Speed pia mkuu. Engines zao zina nguv sana. Mabasi ya Scania, Marcopolo na Benz huwez kufananisha speed zao na haya majiko ya mchina
 
Mkuu Mercedes sio hivyo unavyowazungumzia wasomali wanatushangaa sisi tupo busy na Scania na kumuacha Mercedes mimi nipo na man diesel na Scania nazitumia kusafirisha mzigo miaka nenda rudi ila naona mziki wa Mercedes harafu iliyotumika tuu hapo borgsbug bei ya Mercedes moja unapata Scania mbili ukitembea unaweza ukapata hata tatu...hizi R420 na 124 wasomali wanaofanya kazi za usafirishaji Msumbiji,Zambia na Congo DRC wao minada wanaenda ya Mercedes tuu Wanasema scania hamna kitu na huyo mtu ana truck zaidi ya 300 za mafuta na mizigo ukimpigia simu umeiona sehemu anashukuru kweli wakati mascania yapo ya kumwaga tuu na wana namba zao...Long nose Mercedes mpaka kesho ipo road gari ya mwaka 1980...
Hapo Kenya tu ukiiongelea vibaya benz lazima wakuchunguze akili yako!

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Mkuu SA mbali, hapo Rwanda tu huwezi kuponda Actross wakakuelewa!

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
They are learning the hard way songea , Wana fleet ya gari ambazo hazina hata miaka miwili njia hiyo , na tayari zina break down za kutosha,, kule kwao wanabeba mizigo mizito kwa kuwa hakuna mizani,

Sent
 
Hapo Kenya tu ukiiongelea vibaya benz lazima wakuchunguze akili yako!

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Miaka michache tu iliyopita Main busses za Kenya zilikuwa ni isuzu na Nissan diesel, unakumbuka?,
Trend imahamia kwa scania busses unaliewa hilo? Kenyans walikua hawajaonja utamu wa scania sasa wamejua huwambii kitu,

Sent
 
Mkuu Mercedes sio hivyo unavyowazungumzia wasomali wanatushangaa sisi tupo busy na Scania na kumuacha Mercedes mimi nipo na man diesel na Scania nazitumia kusafirisha mzigo miaka nenda rudi ila naona mziki wa Mercedes harafu iliyotumika tuu hapo borgsbug bei ya Mercedes moja unapata Scania mbili ukitembea unaweza ukapata hata tatu...hizi R420 na 124 wasomali wanaofanya kazi za usafirishaji Msumbiji,Zambia na Congo DRC wao minada wanaenda ya Mercedes tuu Wanasema scania hamna kitu na huyo mtu ana truck zaidi ya 300 za mafuta na mizigo ukimpigia simu umeiona sehemu anashukuru kweli wakati mascania yapo ya kumwaga tuu na wana namba zao...Long nose Mercedes mpaka kesho ipo road gari ya mwaka 1980...
Isanga !
Unafatilia mambo lakini haupo makini, zikiwa mpya brand new scania Ni the most expensive European truck, zikianza kuchoka Mercedes benz huwa ni ghali kwenye second hand markets unajua kwa nini?

Scania huwa zinatunza thamani yake Sana , hivyo watu hawaziuzi mapema , unapokuja kuoina scani a kwenye second hand market huwa ni cheap kulinganisha na benz sababu scania inakuwa imetumika Sana kulinganisha na benz

Sent
 
Back
Top Bottom