katika gari kumi bora duniani scannia haipo volvo ipo, sasa basi huyo mchina na hizo screpa zake hata hamsini bora unazitafuta kwa tochi, bora hata gari la NYUMBU mkuu.Miaka ya nyuma Scania ndio alikuwa mfalme wa kusafirisha abiria na mizigo hapa nchini. Wamiliki wa mabasi waliziamini sana Scania kwa uimara wake na mwendo barabarani.
Miaka ya katikati Mchina akaleta mabasi ya YUTONG na Zongtong. Matajiri wengi wakazimbilia basi hizi kwasababu ya ulaji mdogo wa mafuta, bodi nzuri, interior design, na unafuu wa vipuri...
Mkuu Mercedes sio hivyo unavyowazungumzia wasomali wanatushangaa sisi tupo busy na Scania na kumuacha Mercedes mimi nipo na man diesel na Scania nazitumia kusafirisha mzigo miaka nenda rudi ila naona mziki wa Mercedes harafu iliyotumika tuu hapo borgsbug bei ya Mercedes moja unapata Scania mbili ukitembea unaweza ukapata hata tatu...Myth!
Kwenye real world Mercedes haina uimara huo, Yap zamani walitamba Sana kwa kuwa walikuwa wa kwanza kutengeneza magari , lakini Kuna watu wapo serious kwenye hiyo baishara, huoni basi nyingi za Mercedes kwa sababu Ni sumbufu! Hata south Africa ambao walijatibu basi za Mercedes translux na city to city wengi waliangukia pua, sababu they are serious underpowered and they don't last long!!
Mercedes nyingi zinafanya vizuri zikiwa mpya 0km to 700000 huko baada ya hapo tegemea majanga , swedish zipo vizuri Hadi second life zikija africa unazungumzia km Hadi milioni kadhaa..
Kweli kabisa kumbe na wewe unajua hiloTatizo la mchina ujeuri mwingi alijiamini sana na hizi golden deer zake. Akiamini ndiyo kiboki ya scania ko akawa hataki hata kidogo kuenda sawa na wenzake mfano....
... nimetumia neno "probability".Nani kakudangaya klm ana namba A lakini hakosi abiria huduma zako ziwe nzuri mkuu
Nitumie namba inbox Bujibuji nikutumie Scania na original body lake utaelewa...nikitaka kutuma humu inagoma sijui kwa niniZile ni ready made sio za kuchongwa
Kweli kabisa kumbe na wewe unajua hilo
Unajua kwamba scania wao hawatengenezi bodyNitumie namba inbox Bujibuji nikutumie Scania na original body lake utaelewa...nikitaka kutuma humu inagoma sijui kwa nini
PoaNitumie namba inbox Bujibuji nikutumie Scania na original body lake utaelewa...nikitaka kutuma humu inagoma sijui kwa nini
Zile ni ready made sio za kuchongwa
Scania hawatengezi body ila engine zao zimekua recomended ziwe kwenye iriza na ipo kampuni ingine pia zote za Brazil na agent wao Mkuu yupo Johannesburg...haya magari mnayaona kuingia SA wanakataa maana linakua halina chasis namba ambayo itasoma kulingana na hilo gari Taqwa walikosa kupata kibali kufanya usafirishaji mpaka JHB waliambiwa hii ni Nissan ila chassis ya Nissan sio namba hizi kwa gari la abiria....Unajua kwamba scania wao hawatengenezi body
Speed pia mkuu. Engines zao zina nguv sana. Mabasi ya Scania, Marcopolo na Benz huwez kufananisha speed zao na haya majiko ya mchinaNi bei na kudumu. Scania zinadumu sana, majiko ya mchina ni miaka miwili tu, choka kongoroka
Mkuu SA mbali, hapo Rwanda tu huwezi kuponda Actross wakakuelewa!Mkuu kuhusu benzi south huwambii kitu wanapenda sana benz hao watu nikuwambie tu na kudumu benz usiseme
Hapo Kenya tu ukiiongelea vibaya benz lazima wakuchunguze akili yako!Mkuu Mercedes sio hivyo unavyowazungumzia wasomali wanatushangaa sisi tupo busy na Scania na kumuacha Mercedes mimi nipo na man diesel na Scania nazitumia kusafirisha mzigo miaka nenda rudi ila naona mziki wa Mercedes harafu iliyotumika tuu hapo borgsbug bei ya Mercedes moja unapata Scania mbili ukitembea unaweza ukapata hata tatu...hizi R420 na 124 wasomali wanaofanya kazi za usafirishaji Msumbiji,Zambia na Congo DRC wao minada wanaenda ya Mercedes tuu Wanasema scania hamna kitu na huyo mtu ana truck zaidi ya 300 za mafuta na mizigo ukimpigia simu umeiona sehemu anashukuru kweli wakati mascania yapo ya kumwaga tuu na wana namba zao...Long nose Mercedes mpaka kesho ipo road gari ya mwaka 1980...
They are learning the hard way songea , Wana fleet ya gari ambazo hazina hata miaka miwili njia hiyo , na tayari zina break down za kutosha,, kule kwao wanabeba mizigo mizito kwa kuwa hakuna mizani,Mkuu SA mbali, hapo Rwanda tu huwezi kuponda Actross wakakuelewa!
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Miaka michache tu iliyopita Main busses za Kenya zilikuwa ni isuzu na Nissan diesel, unakumbuka?,Hapo Kenya tu ukiiongelea vibaya benz lazima wakuchunguze akili yako!
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Isanga !Mkuu Mercedes sio hivyo unavyowazungumzia wasomali wanatushangaa sisi tupo busy na Scania na kumuacha Mercedes mimi nipo na man diesel na Scania nazitumia kusafirisha mzigo miaka nenda rudi ila naona mziki wa Mercedes harafu iliyotumika tuu hapo borgsbug bei ya Mercedes moja unapata Scania mbili ukitembea unaweza ukapata hata tatu...hizi R420 na 124 wasomali wanaofanya kazi za usafirishaji Msumbiji,Zambia na Congo DRC wao minada wanaenda ya Mercedes tuu Wanasema scania hamna kitu na huyo mtu ana truck zaidi ya 300 za mafuta na mizigo ukimpigia simu umeiona sehemu anashukuru kweli wakati mascania yapo ya kumwaga tuu na wana namba zao...Long nose Mercedes mpaka kesho ipo road gari ya mwaka 1980...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We jamaa weweScania ndio CHADEMA, Yoitong ndio CCM.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Wakazimbilia ndio nini.
Tatizo mnaandika mkiwa mmepiga faru john.
Sauli hana route ya Kyela mkuuBujibuji hivi Sauli anaenda Kyela ?