Mabasi aina ya Scania na Mercedes Benz vs Yutong na Zongtong: Mchina ameuza ramani ya vita kwa adui

Mabasi aina ya Scania na Mercedes Benz vs Yutong na Zongtong: Mchina ameuza ramani ya vita kwa adui

Unajibisha we mwenyewe, hiyo hausung nayo ni scania,vp ilivyokuwa inaharibika njiani?
Haya naomba unisaidie ni bus gani la mchina lenye umri huo wa hiyo Lupelo ambalo hadi leo linapiga kazi! Watu tukiwaambia msweden atabaki kuwa juu wanapinga. Sisi tumeitembeza hiyo gari km 714 kila siku kwa mwaka na miezi 8 tena mwendo hasa.. Kipindi kile ukiwa speed ya kawaida ni 100 muda wote speed meter imelala na rpm inagonga 25
 
F330 hata ukiuliza Saab scania ilikuwa ni basi ya dharula tu , hata ulaya hazikuuzwa ! hapa kwenyewe Tanzania wachache sana walimiliki hiyo basi, na wali feli miserably moja ya sababu ni kuwa specification zake zilikuwa ni za lory so nightmares kwa bus owners, zilikuwa very heavy kwenye diesel japo pia nguvu ilikuwepo ya kutosha .kama unakumbuka Allys bus service ,Leina Tours , ndo ilikuwa habari ya F330!

kuhusu scania kuwa na lori zenye overhang ndefu ,ukiacha gari za kubeba takataka ulaya sio kitu cha kawaida , nafahamu L series , ilikuwa ni series 4 , series 4 lori zote zina share chassis parts , except T series ambayo ni bonnetted version na ilishakuwa discontinued
Hizi nazo zinabeba taka?? Mkuu mbona unajichanganya??
images(88).jpeg
images(85).jpeg
 
F330 hata ukiuliza Saab scania ilikuwa ni basi ya dharula tu , hata ulaya hazikuuzwa ! hapa kwenyewe Tanzania wachache sana walimiliki hiyo basi, na wali feli miserably moja ya sababu ni kuwa specification zake zilikuwa ni za lory so nightmares kwa bus owners, zilikuwa very heavy kwenye diesel japo pia nguvu ilikuwepo ya kutosha .kama unakumbuka Allys bus service ,Leina Tours , ndo ilikuwa habari ya F330!

kuhusu scania kuwa na lori zenye overhang ndefu ,ukiacha gari za kubeba takataka ulaya sio kitu cha kawaida , nafahamu L series , ilikuwa ni series 4 , series 4 lori zote zina share chassis parts , except T series ambayo ni bonnetted version na ilishakuwa discontinued
Maswala ya dharura sisi ya nn mkuu gari zimetoka zikauzwa watu wakatumia ishu ya dharura unamaanisha nn mkuu? Unajichanganya we kubali f330 ni special bus
 
Unachozungumzia hapa ni kwamba f330 ndio iyo iyo 114-340?? Tuzungumzie f330 kama 330 mm nina amini hata engine head haziingiliani mkuu simama kwenye mada.
una uhakika?
piston , rings con na main bearing cylinder head ni sawa kuanzia 114 340 hadi 380 , na hiyo 330, tofauti inakuja kwenye nozzle tu .
ni tricky though, 114 za mwanzo zilitumia mechanical pump kama 113 hizo haziingiliani na F330 ,
 
una uhakika?
piston , rings con na main bearing cylinder head ni sawa kuanzia 114 340 hadi 380 , na hiyo 330, tofauti inakuja kwenye nozzle tu .
ni tricky though, 114 za mwanzo zilitumia mechanical pump kama 113 hizo haziingiliani na F330 ,
Simama kwenye mada niletee f330 ikiwa na cabin
 
naona unakosa point , hadi unatafuta visababu, mie ulaya sijakaa nazungumza kwa ninachokijua tu , ila najua nafahamu hata hizo picha unazozileta we mwenyewe hujawai kuziona katika mazingira yetu , zinabali kuwa special works trucks
Mkuu [emoji16] [emoji16] naona majibu ya kawaida unanipa swala la kutokuwepo tz au ww kutoziona haliingiliani na kutokuwepo hapa tunazungumzia ishu ya dunia nzima maana unaongea ufundi mwingi usio na umuhimu wala ushahidi wala mifano binafsi umeshindwa kuniaminisha ukisemacho na unakataa kitu halisi ninachokupa na mifano juu. Bado ushahidi nakupa bado unabisha.
 
Maswala ya dharura sisi ya nn mkuu gari zimetoka zikauzwa watu wakatumia ishu ya dharura unamaanisha nn mkuu? Unajichanganya we kubali f330 ni special bus
f 330 unafahamu ndio basi pekee ya scania iliyoishi kwa kipindi kifupi sana?
 
f 330 unafahamu ndio basi pekee ya scania iliyoishi kwa kipindi kifupi sana?
Ndio walisitisha production ila bado haiondolei sababu za kutokuwa SPECIAL BUS zilikuwa zinakula wese ila moto wake ni kisanga babaa [emoji1236][emoji1236]
 
Unaendelea kukurupuka, 114 kwa nn isikae kwenye bus?

Kuna ile gari ilikuwa inatoka tanga kwenda singida au shinyanga ilikua na engine ya R420
Unamjua mama Debora wa humu? wewe na yeye mko kama kurwa na doto, pete na kidole.. mnatumia 24hrs kutoa comments zilizojaa , hate, hasira, attacks, povu.. sijui hua mna tatizo gani, popote pale mkitia mguu , lazima mfanye moja wapo ya hiyo niliyotaja

maisha hayapaswi kua hivyo, mtakufa kabla ya wakati wenu, social media haikua na maana hii ambayo mnaonyesha, maisha ni mafupi, enjoy every second of it, kutembea vifua vimejaa hasira chuki , unachowaza tu ni nani ukamwangukie leo.. [emoji23][emoji23].. sio maisha hayo bro, anyway..poleni
 
Mkuu [emoji16] [emoji16] naona majibu ya kawaida unanipa swala la kutokuwepo tz au ww kutoziona haliingiliani na kutokuwepo hapa tunazungumzia ishu ya dunia nzima maana unaongea ufundi mwingi usio na umuhimu wala ushahidi wala mifano binafsi umeshindwa kuniaminisha ukisemacho na unakataa kitu halisi ninachokupa na mifano juu. Bado ushahidi nakupa bado unabisha.
tubishane kwa point sio picha , hizo gari zenye overhang umezileta hapa kishabiki tu na unajua sio.kitu popular
mie sio fundi ila naongea kutokana na specification sheets
 
Ndio walisitisha production ila bado haiondolei sababu za kutokuwa SPECIAL BUS zilikuwa zinakula wese ila moto wake ni kisanga babaa [emoji1236][emoji1236]
Ally's sports bus mwanza saa 12 jioni
Kambas 330
Musoma express musoma unafika mida ya dinner
Dar express AXL ASZ
Sabco ltd ATH sasaivi moja ipo kwa asante rabi
Nganga Express BPV
Leina tory zilikuwa mbili kahama saa 9
Mtl BNQ siko sure
Abood AZE,AZG,BEQ
Otawa songea
Budget njombe

Kukawa na Akamba dar kampala via nairobi.

Acha kabisa 330 ni heshima
 
Ally's sports bus mwanza saa 12 jioni
Kambas 330
Musoma express musoma unafika mida ya dinner
Dar express AXL ASZ
Sabco ltd ATH sasaivi moja ipo kwa asante rabi
Nganga Express BPV
Leina tory zilikuwa mbili kahama saa 9
Mtl BNQ siko sure
Abood AZE,AZG,BEQ
Otawa songea
Budget njombe

Kukawa na Akamba dar kampala via nairobi.

Acha kabisa 330 ni heshima
We kweli ulikuwa fan kindaki ndaki wa hizo F330, mie nilikuwa nazikubali kwa nguvu tu milimani pamoja na sauti yake ilikwa loaded

kwa mbio list yangu ipo kwa scania 113 380 Addidas ya tawfiq na volvo b7 ya chiku songea hii ilikuwa inaingia mnazi mmoja saa 9 ikitokea songea
 
Tatito huwezi nunua Scania ambayo iko Bus tayari, ambazo ziko tayari ni Engine nyuma. Engine nyuma kwa kwetu si nzuri, kumbuka Sumry alivyoteseka.

Njia ya kupata bus la Scania ni kununua Chasis halafu unachonga body, kama Kisbo, City boy n.k

Mchina bus zake zipo tayari lakini engine, diff na gearbox ni nzito tofauti na Scania.
Ili kuifanya Yutong kuwa nyepesi Princes Muro alikuwa ananunua Yutong Mpya halafu anavua Engine, Diff na Gearbox anafunga za Scania. Huo moto si wa mchezo.
Acha kuongea kwa kusikia stori za mtaani! Jaribu uendeshe kwanza hizo gari, endesha bus scania walau wiki 1 kisha njoo kwa mchina iwe yutong, zhongtong, dragon au higer mlimani hakuna wa kumsogelea msweden! Hilo nakupinga nikiwa nimeendesha hizo zote tena kwa kipindi kirefu sana...

Bus la mchina tangu likiwa na 0km linaweza kutembea miezi 8 bila hitilafu lakini baada ya hapo mara mashine imezingua, au turbo sijui imekufa, gearbox sijui gear hazipatikani..

Tena hapo ni bahati sana uende kipindi hicho bila kusumbua! Maana unaweza kutembea wiki tu na ikaua mashine! Ndo maana hakuna mkataba kama scania unaponunua bus jipya kwao unapewa miaka mitatu likiwa chini yao. Usilete habari za vijiweni kisa uliiona gari inakimbia
Umemaliza mkuu scania ana mkataba yani Hana wasiwasi na kazi yake,mchina mkimalizana tu anafuta na namba yako
 
Back
Top Bottom