LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,491
- 12,560
Serikali inaleta gari 70 baada ya kuziingiza kwenye mzunguko watu wapate nafuu ya mateso wanayoyapata kwa sasa matokeo yake gari wameenda kuzimwaga pale Jangwani, hata kama ni swala la usajili na vibali serikali ikiamua lake haiwezi zidi wiki moja lakini mwezi unaenda kukata wameyabwaga pale.
Kumbukeni lile eneo kupaki magari mapya pale ni kutafuta hasara, ikipiga mvua kubwa panajaa maji, na ndio maana waziri mkuu alikuta magari pale yamekufa sababu ya kujaa maji na matope hadi ndani, eneo ambalo yamewekwa yake magari mapya ikipiga mvua ya kushtukiza pale mtakuta yanaelea.
Huwezi uka-risk kuweka gari mpya 70 eneo lile kama sio kutafuta hasara nyingine, ikipiga mvua kubwa ya kushtukiza pale itakuwa ni hasara nyingine, ni suala la muda tu.
Kumbukeni lile eneo kupaki magari mapya pale ni kutafuta hasara, ikipiga mvua kubwa panajaa maji, na ndio maana waziri mkuu alikuta magari pale yamekufa sababu ya kujaa maji na matope hadi ndani, eneo ambalo yamewekwa yake magari mapya ikipiga mvua ya kushtukiza pale mtakuta yanaelea.
Huwezi uka-risk kuweka gari mpya 70 eneo lile kama sio kutafuta hasara nyingine, ikipiga mvua kubwa ya kushtukiza pale itakuwa ni hasara nyingine, ni suala la muda tu.