Mabasi mapya 70 ya Mwendokasi yamehifadhiwa eneo la hatari sana

Mabasi mapya 70 ya Mwendokasi yamehifadhiwa eneo la hatari sana

Hongera kwa Serikali ya awamu ya walio wengi wanapenda kuona rasilimali za serikali zinatunzwa vizuri na kuongeza ajira kwa watu.

Mabasi hayo yasiwe sehemu ya wengine kujinufaisha na baadae kuyaharibu ama kwa makusudi au kutokuyatunza vizuri ili yazalishe mengine mengi maeneo mbalimbali yenye shida ya usafiri.

Cha kuzingatia :-
-Parking zake ziwe sehemu salama mbali na mafuriko ya Maji.
-Service zifanywe kwa wakati.
-Nidhamu ya madereva na abilia iwe juu.
-Usafi kiwe ni kipaombele cha kwanza.
-Mabasi yote yasiyo mazima yaondolewe yard kwa kurudishwa kwa mtrngenezaji ili walau tupate mabasi machache mapya.

Hata hivyo sio vibaya kwa baadhi ya njia /route zikabinafsishwa kwa sekta binafsi ili kuleta tija na ushindani kama ikitokea uendeshaji wake hauna matokeo chanya.
 
Kumbukeni lile eneo kupaki magari mapya pale ni kutafuta hasara, ikipiga mvua kubwa panajaa maji, na ndio maana waziri mkuu alikuta magari pale yamekufa sababu ya kujaa maji na matope hadi ndani, eneo ambalo yamewekwa yake magari mapya ikipiga mvua ya kushtukiza pale mtakuta yanaelea.
Wanalijua sana hilo, ila kumbuka maneno ya Kipanya kwamba ukitaka umaarufu tengeneza tatizo halafu litatue mwenyewe
 
Kama watu binafsi wameweza kufanikisha swala la usafiri wa daladala kwa nini wasipewe kuendesha mradi wa mwendokasi, serikali wakae kusubiri kodi?
 
Serikali kwanin isiachie hio tenda kwa kampuni binafsi mbona wanateseka hivi kwa kukosa maarifa?
Huo mradi unaendeshwa kwa ubia kati ya serikali na mwekezaji mzawa.

Tatizo lipo kwenye majukumu yao ya kimkataba na maamuzi. Hapo ndipo wanavurugana na kumsababishia mradi unalegalega.

Serikali inakaa kulaumu mwekezaji kila siku na mwekezaji inabidi akae kimya sababu Hana namna ya kubishana na serikali .
 
Serikali inaleta gari 70 baada ya kuziingiza kwenye mzunguko watu wapate nafuu ya mateso wanayoyapata kwa sasa matokeo yake gari wameenda kuzimwaga pale Jangwani, hata kama ni swala la usajili na vibali serikali ikiamua lake haiwezi zidi wiki moja lakini mwezi unaenda kukata wameyabwaga pale.

Kumbukeni lile eneo kupaki magari mapya pale ni kutafuta hasara, ikipiga mvua kubwa panajaa maji, na ndio maana waziri mkuu alikuta magari pale yamekufa sababu ya kujaa maji na matope hadi ndani, eneo ambalo yamewekwa yake magari mapya ikipiga mvua ya kushtukiza pale mtakuta yanaelea.

Huwezi uka-risk kuweka gari mpya 70 eneo lile kama sio kutafuta hasara nyingine, ikipiga mvua kubwa ya kushtukiza pale itakuwa ni hasara nyingine, ni suala la muda tu.
Mkuu una hulka ya kuliona jambo na kulichakata akilini hata kabla ya kutokea. Hii ndio siri ya mafanikio ya mataifa yote yaliyoendelea... Watu wake huona mambo yatakayokuja kuleta hasara na kushauri mapema ili jitihada za kuzuia uharibifu zianze mapema!... Kwa bahati mbaya sana hakuna atakayeliona hili kama hatari kwa sasa hadi mkasa utatakapotokea ndio utauona utendaji wa kila mtu hasa wanasiasa.... Yawezekana magari hayo yameegeshwa pale makusudi ili hasara ikitokea haitawahusu kwa kuwa ni mali ya umma.

🤔Hivi aliyeamua kuweka kituo cha mwendokasi Jangwani hakuwahi hata kusoma tathmini ya mazingira ya eneo hilo?.
 
...Aliyeturoga Watanzania aliishafariki na vibuyu na hirizi zake hakuzikwa navyo kaburini maana tungelifukua...bali kabla ya kufa alivitupa katikati ya Bahari![emoji34]
Kwani wakati wanayaagiza hawakujua kama yanahitaji usajili ili kuingia barabarani? Hayahitaji madereva?
Kwa nini hawakuviandaa hivi ili yaakingia tu Bandarini yanakaa wiki tu na kuingia Barabarani???[emoji34]
Aliyeturoga alishaakufa....
 
Serikali inaleta gari 70 baada ya kuziingiza kwenye mzunguko watu wapate nafuu ya mateso wanayoyapata kwa sasa matokeo yake gari wameenda kuzimwaga pale Jangwani, hata kama ni swala la usajili na vibali serikali ikiamua lake haiwezi zidi wiki moja lakini mwezi unaenda kukata wameyabwaga pale.

Kumbukeni lile eneo kupaki magari mapya pale ni kutafuta hasara, ikipiga mvua kubwa panajaa maji, na ndio maana waziri mkuu alikuta magari pale yamekufa sababu ya kujaa maji na matope hadi ndani, eneo ambalo yamewekwa yake magari mapya ikipiga mvua ya kushtukiza pale mtakuta yanaelea.

Huwezi uka-risk kuweka gari mpya 70 eneo lile kama sio kutafuta hasara nyingine, ikipiga mvua kubwa ya kushtukiza pale itakuwa ni hasara nyingine, ni suala la muda tu.
Wanasema eti pamezibuliwa ule mtaro hivyo hapawezi kuleta mafuriko tena
 
Akina nani wanapata shida?

Kwani si yanasubiri route zile za Mbagala wacha iishe kwanza ile project then watayaruhusu kufanya kazi kutoka Gerezani kwenda Mbagala.

Nyie wa Mbezi/ Kimara/ Morocco mtaendelea kutumia yale yanayofanya kazi kwa sasa.
Waliyaleta kutatua shida kwenye route zinazofanya kazi...

Huo mradi wa Mbagala hata 50% haujafika, mabasi yake hayawezi kuletwa wakati huu...
 
Serikali inaleta gari 70 baada ya kuziingiza kwenye mzunguko watu wapate nafuu ya mateso wanayoyapata kwa sasa matokeo yake gari wameenda kuzimwaga pale Jangwani, hata kama ni swala la usajili na vibali serikali ikiamua lake haiwezi zidi wiki moja lakini mwezi unaenda kukata wameyabwaga pale.

Kumbukeni lile eneo kupaki magari mapya pale ni kutafuta hasara, ikipiga mvua kubwa panajaa maji, na ndio maana waziri mkuu alikuta magari pale yamekufa sababu ya kujaa maji na matope hadi ndani, eneo ambalo yamewekwa yake magari mapya ikipiga mvua ya kushtukiza pale mtakuta yanaelea.

Huwezi uka-risk kuweka gari mpya 70 eneo lile kama sio kutafuta hasara nyingine, ikipiga mvua kubwa ya kushtukiza pale itakuwa ni hasara nyingine, ni suala la muda tu.
Yard yao kubwa pale ilipokuwa stand ya mabus ubungo naona soon itakamilika watayahamishia pale nadhani

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Funza wanamalizia karamu
Hata kama ulikuwa humpendi huwezi kukomenti namna hii mkuu. Kwenu hakuna ambao funza walishafanya karamu? Tujifunze Kusamehe au kusahau mambo ambayo hatuwezi kuyabadili tena!
 
Hata kama ulikuwa humpendi huwezi kukomenti namna hii mkuu. Kwenu hakuna ambao funza walishafanya karamu? Tujifunze Kusamehe au kusahau mambo ambayo hatuwezi kuyabadili tena!
Mkuu Wang Yi umeelewa kweli nilichoandika? Mzee mpili unamfahamu kweli? Huyu ni yule mzee wa Yanga anayetrend mitandaoni na yuko hai hajafa...!!
 
Gari zikiwa chache abiria wengi faida inaongezeka,

Hapo wanatupa matumaini tu ila hawataziweka barabarani ili wapate faida kiduchu,

Wala hawatarudisha huduma za kadi,

Nadhani unawafahamu watanzania wanavyopenda kuishi Kwa shida.
 
...Aliyeturoga Watanzania aliishafariki na vibuyu na hirizi zake hakuzikwa navyo kaburini maana tungelifukua...bali kabla ya kufa alivitupa katikati ya Bahari![emoji34]
Kwani wakati wanayaagiza hawakujua kama yanahitaji usajili ili kuingia barabarani? Hayahitaji madereva?
Kwa nini hawakuviandaa hivi ili yaakingia tu Bandarini yanakaa wiki tu na kuingia Barabarani???[emoji34]
Aliyeturoga alishaakufa....
Yaani
 
Serikali inaleta gari 70 baada ya kuziingiza kwenye mzunguko watu wapate nafuu ya mateso wanayoyapata kwa sasa matokeo yake gari wameenda kuzimwaga pale Jangwani, hata kama ni swala la usajili na vibali serikali ikiamua lake haiwezi zidi wiki moja lakini mwezi unaenda kukata wameyabwaga pale.

Kumbukeni lile eneo kupaki magari mapya pale ni kutafuta hasara, ikipiga mvua kubwa panajaa maji, na ndio maana waziri mkuu alikuta magari pale yamekufa sababu ya kujaa maji na matope hadi ndani, eneo ambalo yamewekwa yake magari mapya ikipiga mvua ya kushtukiza pale mtakuta yanaelea.

Huwezi uka-risk kuweka gari mpya 70 eneo lile kama sio kutafuta hasara nyingine, ikipiga mvua kubwa ya kushtukiza pale itakuwa ni hasara nyingine, ni suala la muda tu.
Ngoja tumalize kituo kipya cha mabasi pale Ubungo, mambo yatakaa sawa. Ila pia wanajaribu kuokoa gharama maana wakiongeza gari kwenye route watalazimika kuajiri madereva na kujaza mafuta hivyo kuwaongezea gharama
 
Akina nani wanapata shida?

Kwani si yanasubiri route zile za Mbagala wacha iishe kwanza ile project then watayaruhusu kufanya kazi kutoka Gerezani kwenda Mbagala.

Nyie wa Mbezi/ Kimara/ Morocco mtaendelea kutumia yale yanayofanya kazi kwa sasa.
Kwanini wasiagize mangine kwa ajili ya Mbagala? Haya yaliletwa zamani kwa ajili ya phase1
 
Back
Top Bottom