Mabasi ya Arusha, Moshi na Tanga kupita Madale?

Mabasi ya Arusha, Moshi na Tanga kupita Madale?

20 December, 2020.
Hayo Ni maneno hata kwenye khanga yapo.
Reli tu ya hapo Moro ilikua iishe nov. 2019 Leo hii Ni Dec. 2020 hata dalili hamna kumbuka mjerumani alijenga reli Dar to Kgm within seven years over a hundred years ago na kipindi hicho hakukua na makatapila Wala teknolojia ya sasa.

Flyover ya Tazara. Foleni iko pale pale Kama haijaongezeka.
Barabara ya Kimara Kibaha bado.
Sitaki kuongelea stiglaz goji.
 
Mambo ni mengi muda ni mchache
Hayo Ni maneno hata kwenye khanga yapo.
Reli tu ya hapo Moro ilikua iishe nov. 2019 Leo hii Ni Dec. 2020 hata dalili hamna kumbuka mjerumani alijenga reli Dar to Kgm within seven years over a hundred years ago na kipindi hicho hakukua na makatapila Wala teknolojia ya sasa.

Flyover ya Tazara. Foleni iko pale pale Kama haijaongezeka.
Barabara ya Kimara Kibaha bado.
Sitaki kuongelea stiglaz goji.
 
Hayo Ni maneno hata kwenye khanga yapo.
Reli tu ya hapo Moro ilikua iishe nov. 2019 Leo hii Ni Dec. 2020 hata dalili hamna kumbuka mjerumani alijenga reli Dar to Kgm within seven years over a hundred years ago na kipindi hicho hakukua na makatapila Wala teknolojia ya sasa.

Flyover ya Tazara. Foleni iko pale pale Kama haijaongezeka.
Barabara ya Kimara Kibaha bado.
Sitaki kuongelea stiglaz goji.
Mbona kama una jambo lako mkuu
 
Nimesikia baada ya stendi ya Mbezi kuanza kutumika mabasi ya mikoa tajwa hapo juu yatapitia Goba, Madale, Tegeta, Bagamoyo kuelekea mikoa husika.

Lisemwalo lipo kama halipo basi linakuja.

Karibuni kwa yeyote mwenye taarifa.

Njia ipanuliwe
 
Itakua mwake kile kipande cha Tegeta(kiwanda cha cement) mpaka madale kipigwe rami maana vumbi sana

Inawekwa lami Sasa hivi. Kuanzia November walianza kuweka lami kuanzia kiwanda Cha cement kuekelekea Madale
 
Itakuwa vyema sana. Niepuke usumbufu wa kupandia gari Kibo-Tegeta
 
Inawekwa lami Sasa hivi. Kuanzia November walianza kuweka lami kuanzia kiwanda Cha cement kuekelekea Madale

Acha Hizo wewe....
Hakuna Lami hapo!
Huo ujenzi upo Muda Mrefu wanaweka Moram na Ujenzi wa Mitaro na Madaraja lami Mpaka Mwakani!
 
Hayo Ni maneno hata kwenye khanga yapo.
Reli tu ya hapo Moro ilikua iishe nov. 2019 Leo hii Ni Dec. 2020 hata dalili hamna kumbuka mjerumani alijenga reli Dar to Kgm within seven years over a hundred years ago na kipindi hicho hakukua na makatapila Wala teknolojia ya sasa.

Flyover ya Tazara. Foleni iko pale pale Kama haijaongezeka.
Barabara ya Kimara Kibaha bado.
Sitaki kuongelea stiglaz goji.
Hongera mkuu!
Inaonesha kwa Hakika kabisa wewe ni mpinzani uliyebobea.

Unaitendea haki dhana ya upinzani.
PINGA kila kitu mpaka akili ziwakae sawa😅
 
Hongera mkuu!
Inaonesha kwa Hakika kabisa wewe ni mpinzani uliyebobea.

Unaitendea haki dhana ya upinzani.
PINGA kila kitu mpaka akili ziwakae sawa😅
Tena Seif Sharif Hammad ameapishwa leo. Wewe baki unapiga filimbi, wenzio wacheza mpira yakhe!! Wenzio twala, Baki wasinzia yakhe!!
 
Mbona kama una jambo lako mkuu
Niwaulize nyie wadogo zangu ma engineer wa siku hizi (paper engineers) mabingwa wa kuandika na kusema site hamuendi. Mkija site mmevalia Kama watalii. Pama kubwa, maji ya kunywa dkk kumi nyingi.
Kuna Hawa wanaojenga sehemu ya daladala kushushia abiria pale Picha ya ndege Kibaha. Mwezi wa tatu huu unaisha. Sehemu ndogo tu 100 meters nyingi, Wana vifaa vyote lkn mpaka leo bado wanachimba udongo.
Nikiwaita paper engineers mnakuja juu....
Ndio Nina langu Jambo kuhusu ma engineer wakitanzania
 
Back
Top Bottom