Asee wewe ni bingwa wa kuraramika.....kwani ulisafili mala ngapi?
Tatizo hujui hata unasema nini...familia yangu inahusika moja kwa moja na hiyo kampuni..Filisika?? Unacheza kweli....Wana JF,
Napennda kufukisha Duku duku lang ambalo linanipelekea kuwa na wasiwasi mkubwa sana kuwa kampuni ya mambasi arimaarufu hapa nchini DAR EXPRESS kuwa mbioni kufirisika.
Sababu zifutazo
Uongozi mbovu
Huduma mbovu
Vitendea kazi vibovu.
Nitazama kwa tukio kubwa siku chahce nikadhani ni kuwa ndio utaratibu bali nimekuja gundua ni kufirisika ndiko kumeanza
Mnamo tarehe 29/12/2011 nilipata safari ya ghafla kwenda Dar na ikanigalimu kuondoka 30/12/2011 cha kushangaza nilikata tiketi na haikuwa na Bus namba na wakaniambia haina neno ukija the same day utapata basi la kuondoka saa moja asubuhi na muda ulipo fika kweli basi likawasili kituoni hapo Arusha kalibu na seliani Hospital turekebishiwa ticketi zetu na utaratibu ulikuwa ni wakiholela kwani nili notes mtu (abiria mmoja) kapewa bus tofauti na lakwangu na tulipaswa kuwa nae kwa bus moja yeye akaondoka na la sa moja mimi nikaondoka na la saa moja na nusu nilijiuliza kama ndio utaratibu huo umeanza basi Dar express na Management yake yote ni mbovu hwajui jinsi ya ku run business tena au wanafirisika.
Mbaya zaidi leo narudi zangu Moshi mambo yakwa ni yale yale basi tulilopangiwa this time ticketi zetu zilikuwa na namba kabisa na basi halikuja tukapewa basi jingine na kufika chalinze kumbe pale kulikuwa na wasafiri wengine wanaelekea Arusha tukawaacha pale ila kwa mtu nae mjua akanijuza walipakizwa bus la mwisho la Dar expres kwa msaada wa Police pale Chalinze.
Sasa kwa hali hii nadhani Viongozi wa Dar Express sasa ni muda muafaka kujipanga na kutambua kuwa usafiri wao unachoka na unapoteza wateja na kama muna mabus machache kwanini msiyatumia hayo machache na kuboresha huduma kuliko kuwa waongo na matapeli wa kuwabadilisha wasafiri mabus bila kuwajuza ????
mh,mtoa mada hujui hata kujieleza,
Wana JF,
Napennda kufukisha Duku duku lang ambalo linanipelekea kuwa na wasiwasi mkubwa sana kuwa kampuni ya mambasi arimaarufu hapa nchini DAR EXPRESS kuwa mbioni kufirisika.
Sababu zifutazo
Uongozi mbovu
Huduma mbovu
Vitendea kazi vibovu.
Nitazama kwa tukio kubwa siku chahce nikadhani ni kuwa ndio utaratibu bali nimekuja gundua ni kufirisika ndiko kumeanza
Mnamo tarehe 29/12/2011 nilipata safari ya ghafla kwenda Dar na ikanigalimu kuondoka 30/12/2011 cha kushangaza nilikata tiketi na haikuwa na Bus namba na wakaniambia haina neno ukija the same day utapata basi la kuondoka saa moja asubuhi na muda ulipo fika kweli basi likawasili kituoni hapo Arusha kalibu na seliani Hospital turekebishiwa ticketi zetu na utaratibu ulikuwa ni wakiholela kwani nili notes mtu (abiria mmoja) kapewa bus tofauti na lakwangu na tulipaswa kuwa nae kwa bus moja yeye akaondoka na la sa moja mimi nikaondoka na la saa moja na nusu nilijiuliza kama ndio utaratibu huo umeanza basi Dar express na Management yake yote ni mbovu hwajui jinsi ya ku run business tena au wanafirisika.
Mbaya zaidi leo narudi zangu Moshi mambo yakwa ni yale yale basi tulilopangiwa this time ticketi zetu zilikuwa na namba kabisa na basi halikuja tukapewa basi jingine na kufika chalinze kumbe pale kulikuwa na wasafiri wengine wanaelekea Arusha tukawaacha pale ila kwa mtu nae mjua akanijuza walipakizwa bus la mwisho la Dar expres kwa msaada wa Police pale Chalinze.
Sasa kwa hali hii nadhani Viongozi wa Dar Express sasa ni muda muafaka kujipanga na kutambua kuwa usafiri wao unachoka na unapoteza wateja na kama muna mabus machache kwanini msiyatumia hayo machache na kuboresha huduma kuliko kuwa waongo na matapeli wa kuwabadilisha wasafiri mabus bila kuwajuza ????
hahahahaha
umeona eee hajui wkt wa skukuu za x mass usafri unasumbua
af kwani kutopanda bus lenye namba unayoitaka ndo kampn imefilisika?
Au umeagizwa na
jamaa wa lux!
Asee wewe ni bingwa wa kuraramika.....kwani ulisafili mala ngapi?
Tatizo hujui hata unasema nini...familia yangu inahusika moja kwa moja na hiyo kampuni..Filisika?? Unacheza kweli....
hili tatzo la heruf 'l' badala ya 'r' litaisha lini?
humu ndani naöna kwa wingi 'maRASAmiko', kufiRIsika, kusaFIli.......OMG ndugu zangu lugha hiyo!
On a serious note biashara ya mabasi is really crazy. It's capital intensive and need dog style management among other strategies. Kampuni nyingi zimeibuka na kujifia vilevile, mfano mzuri ni scandinavia
No wonder then dar express is facing the music, I mean the reality of business
Tunaiombea mafanikio kampuni hii ambayo kwa hakika huduma zake bora na za kuaminika siyo tu imeimarisha usafiri wa uhakika kwenye northern circuit bali pia imekuwa pride kubwa kwetu
Asee wewe ni bingwa wa kuraramika.....kwani ulisafili mala ngapi?
Mkuu RR sijaelewa umeandika nini "kuraramika" kiswahili cha wapi unashindwa kuandika kulalamika ? kama hiyo haitoshi umerudia tena makosa yale yale "mala ngapi" unashindwa kuandika mara ngapi ?.Tafadhali usituharibie lugha yetu adhimu.
humu ndani naöna kwa wingi 'maRASAmiko', kufiRIsika, kusaFIli.......OMG ndugu zangu lugha hiyo!
On a serious note biashara ya mabasi is really crazy. It's capital intensive and need dog style management among other strategies. Kampuni nyingi zimeibuka na kujifia vilevile, mfano mzuri ni scandinavia
No wonder then dar express is facing the music, I mean the reality of business
Tunaiombea mafanikio kampuni hii ambayo kwa hakika huduma zake bora na za kuaminika siyo tu imeimarisha usafiri wa uhakika kwenye northern circuit bali pia imekuwa pride kubwa kwetu
Sijaelewa malalamiko yako,maana hujui kujieleza