Mabasi ya Kilimanjaro yafungiwa kutoa huduma

Mabasi ya Kilimanjaro yafungiwa kutoa huduma

Waliwahi kunifanyia uhuni Karatu-Dar sintowasahau. Unakata tiketi Kilimanjaro Express unasafiri na La Crome? Acha wafungiwe tu
Hiyo ni kawaida.

Tiketi ya Lufthasa wanaweza kukufaulisha kwenye Ethiopia Airlines. KLM walikuwa wanakufaulisha kwenye pipa la Wakikuyu, tena safari safari nzima kuanzia mitaa ya Amsterdam wanakuja wanakumwaga Jet Lumo Kiwalani huko.
 
Ndio history ya utajiri wa sawaya
Ameiba Sana magari na kwenda kuyauza Kenya enzi hizo
Plus kufanya uwindaji haramu mbuga tsavo,enzi hizo
Kwa Moshi hizo ni habari za family ya sawaya inayojulikana toka long
weka ushahidi hapa tuamini usemayo
 
Washenzi sana juzi nimeenda ofisi yao ya Arusha naelekea korogwe wakaniambia nauli ni tsh 50k haijalishi unashukia kituo kipi,ujue niliwashangaa sana nikaenda kupanda Lakrome kwa tsh 25k
 
Nilipanda basi lao toka Dar - Arusha nikalipishwa 45000 saa kumi na moja asubuhi kurudi nikapanda hilo hilo wafanyakazi wale wale nikadaiwa 35000 saa tisa usiku..
Kituko ukifika hotel yao Korogwe una dakika kumi kwenda haja na kumaliza chakula cha shs 8000 ambapo wengi tuliviacha mezani😡
 
Back
Top Bottom