min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Kwan wapoje mkuu?Na hawa wakina sawaya au
Kama wakina sawaya nnao wajuwa mimi watarudi tu hewani
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan wapoje mkuu?Na hawa wakina sawaya au
Kama wakina sawaya nnao wajuwa mimi watarudi tu hewani
Ova
MajambaziKwan wapoje mkuu?
Duh sio woteMajambazi
Ndio history ya utajiri wa sawayaDuh sio wote
Hebu na wewe jaribu Ili uwe tajiri kama ni kazi nyepesiNdio history ya utajiri wa sawaya
Ameiba Sana magari na kwenda kuyauza Kenya enzi hizo
Plus kufanya uwindaji haramu mbuga tsavo,enzi hizo
Kwa Moshi hizo ni habari za family ya sawaya inayojulikana toka long
🤣🤣🤣Hili basi linaundwa Entebe?
ZingZong kama ZingZong sio? 🤣🤣Mzee wa kupambania njoo huku utusaidie. Mabasi ya ZingZong yanatengenezwa wapi?
Hiyo ni kawaida.Waliwahi kunifanyia uhuni Karatu-Dar sintowasahau. Unakata tiketi Kilimanjaro Express unasafiri na La Crome? Acha wafungiwe tu
soon kilakitu kitakuwa sawaJipangeni mje upya. Muache kufanya biashara kimazoea
weka ushahidi hapa tuamini usemayoNdio history ya utajiri wa sawaya
Ameiba Sana magari na kwenda kuyauza Kenya enzi hizo
Plus kufanya uwindaji haramu mbuga tsavo,enzi hizo
Kwa Moshi hizo ni habari za family ya sawaya inayojulikana toka long
🤣🤣🤣lakromeee bora ufikeeeeWashenzi sana juzi nimeenda ofisi yao ya Arusha naelekea korogwe wakaniambia nauli ni tsh 50k haijalishi unashukia kituo kipi,ujue niliwashangaa sana nikaenda kupanda Lakrome kwa tsh 25k
Hivi air Msae mmiliki alikua Sawaya?Toka Air Msae, jamaa biashara halali hawezi na serikali kaiweka mfukoni
Wewe unafikiri hio hela kilimanjaro hana?Long break ndo kufilisika maana huwezi kuingiza bus 5 barabarani huna chini ya bil 1
Lakrome ana gari nzuri za kwenda dar mzee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]lakromeee bora ufikeeee
YeahHivi air Msae mmiliki alikua Sawaya?
🤣🤣🤣🤣🤣sijakataa naziju mkuuLakrome ana gari nzuri za kwenda dar mzee