Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Anajua kuitumia kastoma keya kwa viongozi.Toka Air Msae, jamaa biashara halali hawezi na serikali kaiweka mfukoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajua kuitumia kastoma keya kwa viongozi.Toka Air Msae, jamaa biashara halali hawezi na serikali kaiweka mfukoni
😅😅😅Wakati huo konda wa La crome amevaa shirt/tshirt ya Kimbinyiko!
Wamefungiwa kuanzia jumatatu yaani kesho.Ni Kilimanjaro gani imefungiwa?? Leo nimetoka dar kwenda arusha nimepishana na Kilimanjaro kama zote zinapiga kazi kama kawa
Wote wasaniiiEti mabasi yao semi luxury ni 44,000 yale mabas mabovu namba A
Wakat huo Tilisho yupo na gar jipya jipya bei yake 35,000
Hawako sirias
Wacha ubaguzi sheria za nchi lazma zifuatwe!Wanaibiana wenyewe kwa wenyewe
Wachagga hatari na nusu
Long break ndo kufilisika maana huwezi kuingiza bus 5 barabarani huna chini ya bil 1Anatakiwa achukue a very long break ajipange.... Kuna wamba kama kina tilisho
Sahihi ifike mahali tatizo la mfanyakazi liwe la mfanyakazi sio tajiri na tatizo la dereva liwe la dereva sio Mumiliki au mabasi yakeMazingira ya rushwa yanatengenezwa hapo!
The Doctrine of "vicarious liability"Sahihi ifike mahali tatizo la mfanyakazi liwe la mfanyakazi sio tajiri na tatizo la dereva liwe la dereva sio Mumiliki au mabasi yake
Latra wanatakiwa kufanya analysis hili tatizo la Mumiliki au wafanyakazi? Kama wafanyakazi wawashughulikie waachane na Tajiri na mabasi yake wao ndio walipe faini nk
Magali mawili ya kilimanjaro unanunua abood na tilisho 6,Kilimanjaro ni marcopolo hao wengine zingzong na yutong kiufupi ni mbingu na ardhi ,ndio maana kilimanjaro namba A inapiga kazi ,ukikuta yutong namba A ni maajabuLong break ndo kufilisika maana huwezi kuingiza bus 5 barabarani huna chini ya bil 1
Hili basi linaundwa Entebe?Kilimanjaro ni marcopolo hao wengine zingzong na yutong
Africa wanafanya assemblingHili basi linaundwa Entebe?
Assembling ya Zingzong?Africa wanafanya assembling
Kilimanjaro anatembelea jina na sio gari zake kuwa ni nzuri zile marcopolo zingetakiwa ziwe gari za long safari.....Magali mawili ya kilimanjaro unanunua abood na tilisho 6,Kilimanjaro ni marcopolo hao wengine zingzong na yutong kiufupi ni mbingu na ardhi ,ndio maana kilimanjaro namba A inapiga kazi ,ukikuta yutong namba A ni maajabu
Sio kwamba hana namba E anazoza kutosha marcopolo namba E nafikiri zipo kama nne ,ambazo kihalisia ni yutong 8-10Kilimanjaro anatembelea jina na sio gari zake kuwa ni nzuri zile marcopolo zingetakiwa ziwe gari za long safari.....
Sema sasa kashfa nyingi.Sio kwamba hana namba E anazoza kutosha marcopolo namba E nafikiri zipo kama nne ,ambazo kihalisia ni yutong 8-10
Jipangeni mje upya. Muache kufanya biashara kimazoeasoon tutaendelea kutoa huduma ndugu wateja.
tunamalizia maelekezo tuliyopatiwa.
Heshima kwa Kampuni ya kilimanjaro.
, imedumu kwenye huduma ya usafirishaji zaidi ya miongo mitatu na bado inaendelea kufanya vizuri
hizi changamoto ni ndogo sana kwa kampuni ku manage.
issue ya magari kuwa namba A si issue maana unapolisema gari ni namba A lazima ujue ni aina gani pia lina hali gani?
sasa unakuta mtu ana namba E yutongo au zongtog ila Mwingine ana A ila scania. yan ni vitu viwili tofauti sana
Changamoto wanamudu wachache sana.