bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Uking'ngania sufuria za scania TU lazima zikufieKwa ujumla bus za Kilimanjaro zimechoka mno Ni mabovu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uking'ngania sufuria za scania TU lazima zikufieKwa ujumla bus za Kilimanjaro zimechoka mno Ni mabovu
Mimi nilijua zimesimamishwa sababu ya ubovuLATRA swala la Kilimanjaro kuwa na Bus nyingi mbovu hamjaliona ninyi mmeangalia Tiketi tu ila usalama kwa abiria sio Jukumu lenu...
Tanzania watu wanabebana sana Mabasi mabovu mara utasikia engine imezima katikati ya daraja la mto Wami na picha zipo LATRA wao wanaona hilo sio tatizo kabisaa...
Ni kitu cha ajabu sanaTanzania watu wanabebana sana Mabasi mabovu mara utasikia engine imezima katikati ya daraja la mto Wami na picha zipo LATRA wao wanaona hilo sio tatizo kabisaa...
Mbona mkuu unaongea kwa makasirikooWahuni hao sina hamu nao. Majuzi stendi yao ya Moshi almanusura nizichape nao baada ya kunikatisha ticket ya basi daraja la juu lakini basi lililokuja ni mkweche kabisa namba "A"
Nikajuta kwanini sikukata ESTHER au TILISHO, baadae nikaamua kukata BM baada ya kurejesha nauli.
Labda wanachoweza kwa sasa ni kusafirisha vifurushi tu ila biashara ya kusafirisha watu imeshawashinda.
Hao ikiwezekana wafungiwe tu moja kwa moja waanze upya
Na ninyi bado mpaka leo hamyajui ma bus mazuri aisee na kila siku yanaonekana Road wacha wawapandishe kwenye Punda mshazoea kukariri..Wahuni hao sina hamu nao. Majuzi stendi yao ya Moshi almanusura nizichape nao baada ya kunikatisha ticket ya basi daraja la juu lakini basi lililokuja ni mkweche kabisa namba "A"
Nikajuta kwanini sikukata ESTHER au TILISHO, baadae nikaamua kukata BM baada ya kurejesha nauli.
Labda wanachoweza kwa sasa ni kusafirisha vifurushi tu ila biashara ya kusafirisha watu imeshawashinda.
Hao ikiwezekana wafungiwe tu moja kwa moja waanze upya
Bus zinanuka uvundo aiseeKazi nzuri,miongoni mwa mabasi yenye huduma za hivyo ni Kilimanjaro.Wafanyakazi wake wanaona kama wapo kwenye ndege vile wanadharau sana.
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), imeyasimamisha magari yote ya Kampuni ya Kilimanjaro Express kutoa huduma ya usafirishaji kuanzia jumatatu kutokana na kukiuka masharti ya leseni ikiwamo kutotoa tiketi ya kielektroniki na kuzidisha nauli kwa abiria.
Agizo hilo limetolewa leo na Mkurugenzi Mkuu wa LATRA, Habibu Suluo baada ya kufanya ukaguzi wa kushtukiza katika stendi ya mabasi ya Magufuli pamoja na ofisi za mabasi ya kampuni hiyo ya Kilimanjaro Shekilango Dar es Salaam.
Akizungumza baada ya kufanya ukaguzi huo, Suluo amesema mabasi hayo pekee ndio bado yanatoa tiketi zisizo za kielektroniki na kwamba yamebainika kukiuka masharti mengi ya leseni licha ya kuonywa mara kwa mara na kutozwa faini.
"Na leo tumelikamata gari jingine la kampuni hii ya Kilimanjaro inayofanya safari zake Dar es Salaam kwenda Moshi na Arusha likiwa limezidisha nauli kwa abiria, kila abiria alilipishwa nauli tofauti, tukawataka wawarejeshee nauli zao, wakakubali, lakini muda mfupi tumetoka kwenye ofisi zao wakakataa tena kurejesha eti mpaka bosi wao aseme,"amesema Suluo.
"Na hii siyo mara moja, wamekuwa wakifanya hivi mara nyingi na tumewaonya mara kwa mara na anaona kulipa faini ni kawaida kwake. Sasa sisi lengo letu ni kutaka wafuate sheria na masharti ya leseni, watoe huduma bora na siyo kutoa faini. Na kama anaona kulipa faini ni kawaida kwake sisi hatuwezi kuvumilia, tumetoa maagizo asitoe huduma kuanzia jumatatu mpaka atakapofanya maboresho na kufuata masharti ya leseni yake."
Sema nini ...tuache unafiki Bus za Kilimanjaro zimechoka....mimi Binafsi nimeacha kuzipanda.. ...Sasa ni mwendo wa BM, TilishoMnamwonea tu, ushindani tu wa biashara
Ni bovu usije jichanganya... Aisee hamna safari niliichukia kama Ile.... Last year wakati natoka Nairobi nikafika Arusha saa 9 usiku nikapanda Lile la usiku .... Yaani mende unakaa nao siti mojaHapo sijajua, nina muda mrefu sijapanda hilo bus.
Anatakiwa achukue a very long break ajipange.... Kuna wamba kama kina tilishoNa hawa wakina sawaya au
Kama wakina sawaya nnao wajuwa mimi watarudi tu hewani
Ova
Sema nini ...tuache unafiki Bus za Kilimanjaro zimechoka....mimi Binafsi nimeacha kuzipanda.. ...Sasa ni mwendo wa BM, Tilisho
Mi pia nina familia na kuhusu kodi ya tra nadhani hawalipi ndo maana hawataki kutoa e-ticketHalafu familiar Yao,Kodi ya tra utalipa wewe
Imeachamishwa kama imemeza ulimi
Kuna moja Namba A, nililiona Kigamboni nusu nipande nikijua gari la Kimbiji!Kwa ujumla bus za Kilimanjaro zimechoka mno Ni mabovu