Mabeberu kazi kwisha, Rais Magufuli ni kiboko yenu

Mabeberu kazi kwisha, Rais Magufuli ni kiboko yenu

Mabeberu wenyewe ni wakina Vladimir Putin, Malikia Elizabeth, Donald Trump, Justin Trudeau au mabeberu gani unaowazumgumzia apa
 
Mie JPM namfananisha sana na Trump, tofauti yao ni rangi na mmoja ana kipara mwengine ana nywele za bandia. Lakini style zao za uongozi na mihemko ya kukurupuka ni sawa sawa.
 
Mabeberu wenyewe ni wakina Vladimir Putin, Malikia Elizabeth, Donald Trump, Justin Trudeau au mabeberu gani unaowazumgumzia apa
Anaowaimba jiwe kila siku kwenye maelezo yake maana zile sio hotuba
 
Ni upumbau kuomna msaada kwa mtu ambaye yeye misiba kwake ni mingi kuliko wewe mwenyewe,
Mtu kafiwa watotot kumi wewe unefiwa mtiti mmoja kisha unaenda kyomba msaada kwa mwenye misiba mingi sasa nani hana akili hapo?
 
Mabeberu!!! Hapa nyumbani ninao 7. Wanatusumbua sana hawa. The 60 yrs old man beberu anaksuumbua. Nakuja kuwafundisha namna ya kuwafunga.
JamiiForums1319767358.jpg
 
Ni upumbau kuomna msaada kwa mtu ambaye yeye misiba kwake ni mingi kuliko wewe mwenyewe,
Mtu kafiwa watotot kumi wewe unefiwa mtiti mmoja kisha unaenda kyomba msaada kwa mwenye misiba mingi sasa nani hana akiri hapo?
Wakati huo hupimi, hutoi takwimu na unaendelea kujigamba hakuna ugonjwa wala Vifo nchini mwako? Yaani huo ni zaidi ya ukichaa
 
Ni sawa na kusema mabeberu wamepata kiboko yako, sasa na mimi leo ninaomba kuwalaumu na kuwalaani sana hawa mabeberu, kwanza nijuacho mimi ni kwamba mifumo mbalimbali ya serikali za kiafrika hasa tanzania ni matokeo ya hawa mabeberu yaani mfumo wa elimu, sheria, mipaka ya nchi zetu,mifumo ya siasa, demokrasia, dini zetu hasa ukristo,makomandoo wetu wanafundishwa mbinu za kivita na hawahawa mabeberu, sayansi na teknolojia n.k.
Huu uwanja unaotumia kuwaponda mabeberu umetengenezwa na wao
Kumbuka wako advanced kuliko ujuavyo, siyo kwamba wanashindwa wakiamua wanakushughulikia as an individual
 
Umejuaje tatizo la korona ni dogo kulinganisha na mataifa mengine wakati hupimi wala kutoa takwimu za ugonjwa halafu pia umeona ripoti /Twitter ya juzi ya world bank tanzania?
Serikali ikikupa data wewe zitakusaidia nini? hizo data zinahitajika kwa makampuni yale yale yajue Tz wanahitaji dawa kiasi gani,chanjo kiasi gani ,duniani hii wako busy kufanya biashara, corona ni ugonjwa pia ni fursa kwa mataifa hayo makubwa, kasome waraka wa balozi wa USA anataka data kwa sababu zipi? yeye anataka akuuzie chanjo tu hana muda na wewe, ndio maana hata WHO haina muda wa kulaumu na kukemea chimbuko la ugonjwa wa corona, kwa kuwa nae anatumika kufanya biashara anahamasisha kila nchi zitoe data ili makampuni makubwa yauze chanjo, ni hii issue ni serious, hapo trillions za pesa zinatafutwa zitaondoa watu.
 
Wakati huo hupimi, hutoi takwimu na unaendelea kujigamba hakuna ugonjwa wala Vifo nchini mwako? Yaani huo ni zaidi ya ukichaa
Ukipima hutaambukizwa au ukipewa takwimu hutaugua hiyo corona?

Kabla ya corona hakukuwa na vifo tanzania?

Je baada ya corona hakutakuwa na vifo?

Mbona hamzuii watu kula vitu vyenye mafuta na sukari ili wasiugue kisukari na pressure?

Binadam unatakiwa kuilinda afya yako na sio kusubili watu wa nje wakulindie kwa mbwebwe zao.

Kama hao wanadhani chanjo ni salama kwa nini wanachanja kisha wanaogopa tena hiyo corona
 
Usinikumbushe ule Wizi wa Maboksi ya Kura zetu halafu kutupiga na vitako vya Bunduki mpaka tunapoteza fahamu sio Utanzania ila furahini kwa sasa
Sasa mikwara yote ile ilikuwa ya nini?
 
Ufipa bana...yaani hawa ndo wanaharakati wenu wanaotegemea beberu lao ndo lije kuisaidia Tanzania...ndo changamoto ya kua na mwenyekiti mla bapa hadi watoto wanazaliwa na akili za bange tu
heee kumbe mw kiti cdm ana Vuta bangi,basi wako wengi uliza vizuri.
 
Kupima na kutoa takwimu kunasaidia kujua hali ya ugonjwa hivyo kuchukua hatua sahihi
 
Serikali ikikupa data wewe zitakusaidia nini? hizo data zinahitajika kwa makampuni yale yale yajue Tz wanahitaji dawa kiasi gani,chanjo kiasi gani ,duniani hii wako busy kufanya biashara, corona ni ugonjwa pia ni fursa kwa mataifa hayo makubwa, kasome waraka wa balozi wa USA anataka data kwa sababu zipi? yeye anataka akuuzie chanjo tu hana muda na wewe, ndio maana hata WHO haina muda wa kulaumu na kukemea chimbuko la ugonjwa wa corona, kwa kuwa nae anatumika kufanya biashara anahamasisha kila nchi zitoe data ili makampuni makubwa yauze chanjo, ni hii issue ni serious, hapo trillions za pesa zinatafutwa zitaondoa watu.
Data au takwimu zinasaidia kujua ukubwa wa tatizo na kuchukua tahadhari stahiki
 
Sijaelewa huu uzi, yani una ng'ata na kupuliza kama panya. Nyoosha maneno eroo
 
H
Kupima na kutoa takwimu kunasaidia kujua hali ya ugonjwa hivyo kuchukua hatua sahihi
HUko marekani walipima na wanapata taarifa kila siku lakini walikataa kukaa lockdown na wengine hawavai barakoa mpaka wanalazimishwa sasa hapo huwa wamepungukiwa nini?
Je unaeeza kunambia huko watu wameacha kufa kwa kuwa wanapewa taarifa?

Je wewe hujui kama corona ipo na inaua?
Je unashindia nyumbani kwako au unazurura mtaani huku unalazimisha taarifa?
 
Nchi kubwa nduniani huwa zinaanza kwa kuwatenga na baadae vikwazo, taratibu tutafika mapema sn mbona!
 
Huu uwanja unaotumia kuwaponda mabeberu umetengenezwa na wao
Kumbuka wako advanced kuliko ujuavyo, siyo kwamba wanashindwa wakiamua wanakushughulikia as an individual
Soma vizuri uelewe
 
Back
Top Bottom