Mabeberu kazi kwisha, Rais Magufuli ni kiboko yenu

Mabeberu kazi kwisha, Rais Magufuli ni kiboko yenu

Hao unaowaita mabeberu ndio kila kukicha tunawapigia magoti kuwaomba misaada ebu tuwe na lugha ya staha kidogo
 
Kiongozi fulani ana msafara wa silaha zilizotengenezwa na beberu...

Convoy jammer za Chevrolet ya mabeberu...


Mtoa mada kapostia Simu ya beberu....

Suti vazi la mabeberu kwanini asivae ngozi au vazi la asili liliisha wapi...?
 
Tuko vizuri ! Sisi ni Tanzania mpya! Au nasema uongo ndugu zangu?
download.jpg
 
Sasa hivi CCM uso kwa uso na Kanisa Katoliki
Hio vita CCM wanaangukia pua asubuhi tu
Haijawahi kutokea Waumini wa Ibilisi kuwashinda Waumini wa Mungu
Haya iliyo andika, ni rushwa! Rushwa siyo lazima iwe ni ya hela au ya ngono. Haya mawazo yako ni rushwa.
 
H
HUko marekani walipima na wanapata taarifa kila siku lakini walikataa kukaa lockdown na wengine hawavai barakoa mpaka wanalazimishwa sasa hapo huwa wamepungukiwa nini?
Je unaeeza kunambia huko watu wameacha kufa kwa kuwa wanapewa taarifa?

Je wewe hujui kama corona ipo na inaua?
Je unashindia nyumbani kwako au unazurura mtaani huku unalazimisha taarifa?
Huna jipya endelea kukariri maelezo ya wajinga
 
Ninamuombea raisi wangu atupitishe salama katika kipindi hiki.
Ninamuombea raisi wangu atupitishe salama katika kipindi hiki.
Wakati yeye mwenyewe hajui kama atavuka salama halafu utamwombea mpaka lini mtu asiyekujali,kukupenda wala kukuheshimu mwananchi, maombi mengine ni kujiletea mikosi tu ni sawa na kumuombea shetani aende peponi.
 
Wakati yeye mwenyewe hajui kama atavuka salama halafu utamwombea mpaka lini mtu asiyekujali,kukupenda wala kukuheshimu mwananchi, maombi mengine ni kujiletea mikosi tu ni sawa na kumuombea shetani aende peponi.
Naamini hujamuelewa alicho maanisha!
 
Mie JPM namfananisha sana na Trump, tofauti yao ni rangi na mmoja ana kipara mwengine ana nywele za bandia. Lakini style zao za uongozi na mihemko ya kukurupuka ni sawa sawa.
Trump ni bogus kama ni mzuri kwenye biashara na sio kwenye leadership
 
Wakati yeye mwenyewe hajui kama atavuka salama halafu utamwombea mpaka lini mtu asiyekujali,kukupenda wala kukuheshimu mwananchi, maombi mengine ni kujiletea mikosi tu ni sawa na kumuombea shetani aende peponi.
Unataka Rais anayekujali afanye nini? Mbona Rais aliyeachilia madawa ya kulevya yakasambazwa nchi nzima na kuathiri vijana leo mnamsifia? Wamachinga waligeuzwa kuwa takataka na kufukuzwa kama vibaka, leo tunaye Rais anayesema wamachinga ni ndugu zetu tusiwanyanyapae, alafu mnasema hana upendo ni upendo gani zaidi ya huo?
 
Ni upumbau kuomna msaada kwa mtu ambaye yeye misiba kwake ni mingi kuliko wewe mwenyewe,
Mtu kafiwa watotot kumi wewe unefiwa mtiti mmoja kisha unaenda kyomba msaada kwa mwenye misiba mingi sasa nani hana akiri hapo?
Wewe umejuaje kama huku kuna misiba michache,je unajua population ya kule na huku?
 
Stone malonji yupo bize kupambana na watu kuliko maendeleo.Siku za mwanadamu za kuishi si nyingi at the end atarealize amekimbiza upepo na kusomwa kwenye history kama kina sokoine.
 
Unawajali wamachinga kwa kuwalipisha 20 elfu halafu Hawatambui unakozipelekezea hizo pesa? Mpaka SASA mmekusanya sh. Ngap ziko wapi? Au zimefanya kazi gani? Mkuu pia inshu ya madawa mpaka sasa amefungwa kambale gani zaidi ya kusingizia na kuwachafua watu
 
Njaa hupofusha fikra na kuwa fedheha kwa anayeiendkeza. Huna hoja ila unatafuta audience
 
Njaa hupofusha fikra na kuwa fedheha kwa anayeiendkeza.Huna hoja ila unatafuta audience
Poa mkuu ila sidhani kama umeielewa mada samahani kwa heshima na tahadhima naomba urudie kusoma utaielewa vizuri
 
Unawajali wamachinga kwa kuwalipisha 20 elfu halafu Hawatambui unakozipelekezea hizo pesa? Mpaka SASA mmekusanya sh. Ngap ziko wapi? Au zimefanya kazi gani? Mkuu pia inshu ya madawa mpaka sasa amefungwa kambale gani zaidi ya kusingizia na kuwachafua watu
Si bora kuwalipisha 20 elfu kuliko kuwafukuza kama mbwa.
 
Si bora kuwalipisha 20 elfu kuliko kuwafukuza kama mbwa.
Sawa ni mawazo yako lkn ukweli ni kwamba usumbuFU wanaopata wamachinga ni zaidi ya maneno ya majukwaani ya stone ukiwauliza kipi bora kulipa 20 elfu na kukimbiza na kitambo wangechagua njia no. 2😄😄😄😄😄
Si bora kuwalipisha 20 elfu kuliko kuwafukuza kama mbwa.
 
Trump ni bogus kama ni mzuri kwenye biashara na sio kwenye leadership
Wote wana staili za kukurupuka, mara kaamka leo anawambia wananchi wachome sindano za jiki. Ni sawa na JPM anataka kutibu maradhi ya kisayansi kwa miti shamba.

Wachina nao ni wazuri kwa miti shamba kuliko bongo, kama covid-19 inatibika kwa miti shamba isingesumbua kule. Mara chanjo zitavunja watu uzazi, sasa madaktari si tunao kwanini wasijiridhishe kama chanjo hizo zinatibu au zinatoa uzazi ?

Maasalaam
 
Back
Top Bottom