Mabeberu kazi kwisha, Rais Magufuli ni kiboko yenu

Mabeberu kazi kwisha, Rais Magufuli ni kiboko yenu

na itawacost soon endeleeni kutoa mada za kifala kama hizi tunaendelea kurekodi .................
Kama itatukosti kwa haki sawa lakini kama ni kwa ujinga na uonevu kwa kujifanya nyi miungu watu cha moto mtakiona tu fala ww
 
Habari wana jf katika miaka yangu yote ya uhai hapa duniani na uzoefu nilio nao kuhusu awamu mbalimbali za serikali hapa tz yaani kuanzia awamu ya kwanza hadi hii awamu ya ajabu kabisa ya tano, awamu hii ndio imeongoza kwa kuwapuuza, kuwataja sana na hata kuwatukana sana mabeberu kuliko awamu nyingine zote zilizopita na pengine awamu zijazo.

Ni sawa na kusema mabeberu wamepata kiboko yako, sasa na mimi leo ninaomba kuwalaumu na kuwalaani sana hawa mabeberu, kwanza nijuacho mimi ni kwamba mifumo mbalimbali ya serikali za kiafrika hasa tanzania ni matokeo ya hawa mabeberu yaani mfumo wa elimu, sheria, mipaka ya nchi zetu,mifumo ya siasa, demokrasia, dini zetu hasa ukristo,makomandoo wetu wanafundishwa mbinu za kivita na hawahawa mabeberu, sayansi na teknolojia n.k.

Pili wanaendelea kutoa misaada mbalimbali kwa nchi yetu kama vile vidonge vya kupunguza makali ya ukimwi, neti kwa ajili ya kupambana na malaria, chanjo mbalimbali n.k kama nilivyotangulia kusema hii ni mada ya kuwalaumu sana mabeberu kwamba RAISI wetu amekuwa mtu mwenye jeuri asiyependa kushauriwa amevuruga mahusiano yetu, anakanyaga katiba yetu anatupiga ,kutuua na kutupa vilema apendavyo juzi kaharibu chaguzi zetu na kujibakiza madarakani kwa nguvu, nyie mabeberu ni kweli hamna cha kumfanya huyu mtu au na nyie mpo upande wake?

Nchi zenu ,nyie mabeberu ni waathirika wakubwa wa hawa watu aina ya magufuli yaani kina Hitler, Mussolini na wengine kwamba madhara Huwa sio kwa nchi zao tu Bali dunia nzima huathirika pale matokeo ya udikteta yanapojitokeza, kiukweli kabisa simlaumu magufuli kwa haya anayoyafanya bali ninawalaumu nyie mabeberu kwa kuwa mfumo yetu inadharauliwa, inakanyangwa, na inaharibiwa, huku mnachekelea na kuendelea kumsapoti ili aendelee kutunyoosha.

MABEBERU MUNGU ANAWAONA haya yalikuwa mawazo ya kichaa mmoja hivi kutokea ikhanoda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] AU NASEMA UONGO NDUGU ZANGU mi5tena

NB. Mabeberu msipoingilia kati tz kuhusu janga hili la korona basi tanzania itaangamia hivihivi mbele ya Macho yenu na dunia kwa ujumla
From Mumbai to JNIAView attachment 1724227
Screenshot_2021-03-13-09-01-54-444_com.android.chrome.jpg
 
Nmeonesha kuwa ndege ya Airtanzania ipo njia kutoka Mumbay na soon itatua JNIA. Jiwe anaingiaje hapo?
Airtanzania kutoka Mumbai to JNIA inahusiana kipi na mada yangu mkuu
 
Hawa mabeberu ndo mnawaitaga watalii au? Ndo mnategemeaga waje ili secta ya utalii ukue? Hawa mabeberu ndo mnanunuaga ndege, magari, madawa ya hospitali na vifaa vya jeshi toka kwao? Iyo simu unayotumia imetoka kwa mabeberu nguo na vitu mbali mbali ulivyovyo nyumbani. Basi hawa mabeberu ni watu makini sana maana hata wanao uko shuleni wanafundishwa na lugha ya kibeberu
 
Ufipa bana...yaani hawa ndo wanaharakati wenu wanaotegemea beberu lao ndo lije kuisaidia Tanzania...ndo changamoto ya kua na mwenyekiti mla bapa hadi watoto wanazaliwa na akili za bange tu
Irudie tena. Nimeipenda hiyo
 
Back
Top Bottom