Mabeberu kazi kwisha, Rais Magufuli ni kiboko yenu

Baba yako jiwe Hawajui hata mabeberu anaowaimba kila siku sembuse wewe zezeta wa lumumba
Beberu ni kitu cha kufikirika, sio maada ndo maana hakuna anayeweza kumnyoshea huyo beberu kidole. Ndo maana balozi zao ziko kimya. Ni kama mtu anayelalamikia wachawi, ni wa kuhurumiwa tu.
 
Yule dogo alikua anatoa vitisho kwako hapa jukwaani afanye kurudi basi mbhudogo aendelee na mikwara yake ya kuleta karandinga.
UmenikoshaπŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
 
Beberu ni kitu cha kufikirika, sio maada ndo maana hakuna anayeweza kumnyoshea huyo beberu kidole. Ndo maana balozi zao ziko kimya. Ni kama mtu anayelalamikia wachawi, ni wa kuhurumiwa tu.
Endelea kujimwambafai πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…kama alivyokuwa hayati
 
Taratibu jamani, kuna watu wameumia kweli kweli...!


Kuna watu wanaweza kujinyonga...kubwa lao (godfather) hafi peke yake!​
 
Nendeni kwa wake zenu mabeberu sisi hatuangamii Kama mnavyoota tupo imara Kama jpm alivuotuacha hayo machanjo yenu ya mabeberu nendeni Kenya kwa wenzenu mnaofanana nao akili mkachanjwe shwain Nyie[emoji3590][emoji1241]
 
Nendeni kwa wake zenu mabeberu sisi hatuangamii Kama mnavyoota tupo imara Kama jpm alivuotuacha hayo machanjo yenu ya mabeberu nendeni Kenya kwa wenzenu mnaofanana nao akili mkachanjwe shwain Nyie[emoji3590][emoji1241]
Chanjo mtachanjwa na hakuna mbabe kwenye Hilo we endelea kula Maharage uje kujamba humu jf ng'ombe wa kisukuma wwπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Chanjo mtachanjwa na hakuna mbabe kwenye Hilo we endelea kula Maharage uje kujamba humu jf ng'ombe wa kisukuma wwπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
kachanjwe wewe na ukoo wako ......................
 
Bi-shosti bado una upupu huu ulioandika hapo juu? au umebadili msimamo?
 
Unamkumbuka.
Saddam?
Ghadadaf?
Mugabe je?
Sembuse huyu asojua kiswahili. Wala kingereza?
Soma vizuri kuhusu globalization wewe. Tanzania ni sawa na unnywele mmoja tu duniani? Waulize waliomdanganya kambarage
ulimjibu siku moja kabla ya God kumchukua JPM
 
Usitukane hovyo kwamba mwandishi ni tahira kumbe wewe ndio kilaza kwa kushindwa kumwelewa mwandishi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
aisee jiwe yu wapi?
jiwe ni nani?
 
Deal done
 
Ufipa bana...yaani hawa ndo wanaharakati wenu wanaotegemea beberu lao ndo lije kuisaidia Tanzania...ndo changamoto ya kua na mwenyekiti mla bapa hadi watoto wanazaliwa na akili za bange tu
Sukuma gang
 
... unaanzisha hii post yuko ICU!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…