KumbukaZimbabwe ilikuwa nchi tajiri kusini mwaBahati nzuri Rais wetu alishatuandaa kuwa Sasa tunaingia kwenye vita ya uchumi.
Walizoea nchi yetu kuwa shamba la Bibi Sasa baasi!
Magufuli endelea kukaza wananchi wako tupo pamoja na wewe kama tukivyokuchagua kwa kishindo kikubwa.
Tunataka watoto wetu warithi nchi yenye maziwa na asali. Tumechoka kuwa ombaomba
Kama baba alichukua mkopo halafu hela akawa anavinjari ni vidanga na wanae wanaungaunga tu bora iuzwe Sisi watoto tutaenda kwa wajomba zetuMtu na akili zake timamu anarudi nyumbani anakuta nyumba yao inapigwa mnada na bank
kwasababu baba alikopa kashndwa rudsha mkopo,jitu linafurahia linachekelea meno nnje nnje
jitu la namna hii unafkiri kuna haja yakupima akili zake? ni direct unamuandikia dose ya kichaa
and immediately unaita ambulance ije ibebe mtu wao ikimbize dodoma MIREMBE HOSPITAL.
Duh! Mpaka nimecheka kama huu ndio uchambuzi wa msomi. Watanzania tuna matatizo makubwa ya akili. Endeleeni kumdanganya jiweWengi wanaochangia hapa hawajui global politics! Wanachangia kushabikia Tanzania kuwekewa vikwazo bila kuwa wanaangalia kuwa Tanzania Taifa ambalo global powers wanataka wawe na influence nalo sana; na sasa hivi wanamchukia Magufuli kwa sababu hnaonekana hawawezi kuwa na influence juu yake.
Mark my word kama kweli marekani itaiwekea vikwazo Tanzania ili uje tuzungumze tena. Hawawezi kurudia makosa waliyofanya Zimbabwe na kuwaacha wachina wakajizolea madini yote yale kwa bwelele ambayo wanatengezea vitu vya bei nafuu sana kwa sababu ya cheap raw materials na kuvitumia kuvuruga soko la ndani ya marekani.
Have you then questioned your brain why such investment directed and happened in China but not Cameron, Togo or Guatemala? Yes, all are equal but SOME are more equal.
Ulivyoandika unadhihirisha chuki na uwezo mdogo wa kutafsiri Mambo.X Ray mtatumia tv asilia POA
MRA mtatumia Nini?
CT Scan je?
ECG mtafanyia Nini?
Msijifananishe na wachina wakati nyie hamna hata kiwanda Cha tooth pick
Usiifananishe Tanzania ya sasa na China, bado hatujawafikia wale watu.
Hao investors ndio wanakuwa frustrated everyday, wanasema tu midomoni wanavutia wawekezaji lakini matendo yao yana suggest tofauti, mfano Dangote.
Akikua atapata akili. Muache tu.Sasa mbona kama umefurahia badala ya kusikitika. Unafikiri nani atakomoka?
Najua kwel kweli kuliko unavyodhania wakitunyima fedha za misaada tutakopa katika mabenki ya duniani kwa riba nafuu ya 3%-4% narudia tena wakitunyima kuuza nje na kununua nje hapo tutadhurika kwa kwasi ya ajabu sana BUT WHY THATS ALL?Hahahhahaa. Hivi wewe unajuwa hata kinachoendelea ulimwenguni kweli zaidi ya kufahamu kuwa Magufuli Ni Rais😀😀😀😀😀
WOTE tutakua matatani lakini wazee wa Mavi 8 wataathirika zaidiSasa mbona kama umefurahia badala ya kusikitika. Unafikiri nani atakomoka?
Hata jiwei hajui kinachoendelea.... matamko yote yanatolewa kwa ung'eng'e wapambe wanaogopa kumtafsiriaHahahhahaa. Hivi wewe unajuwa hata kinachoendelea ulimwenguni kweli zaidi ya kufahamu kuwa Magufuli Ni Rais😀😀😀😀😀
Matakaga sijui watakuelewa?Asiesikia la mkuu huvunjika guu, wasiojielewa watakuja hapa waanze kusema hawajali sisi ni matajiri, sasa kama tungekuwa matajiri hiyo misaada tusingekuwa tunapewa, wacheni kujidanganya.
Hapa mwananchi wa kawaida ndie atakaeumia, hivyo vikwazo vya kuinyima nchi misaada vitasababisha kodi za bidhaa zipande ili wajaribu kufidia hilo gap la kupoteza misaada, na mpaka hapa "serikali ya wanyonge" itakuwa imeshafeli.
Bahati nzuri hapa tutaumia wote, wezi wa kura na walioibiwa kura, sasa wale "praise team" nao wajiandae mapema kisaikolojia, kama ameanza mmarekani.
Kuna uwezekano mkubwa na marafiki zake wa jumuia ya ulaya nao watafuata, wacha kina Ndugai waendelee kushangilia wasilolijua kule bungeni, lakini kwa haya yajayo watapata akili tu.
Huko tunapoelekea watatuzuia hata kufanya nao biashara, sijui hizo dola za kuwekea akiba yetu ya fedha za kigeni zitatoka wapi.
Naona kila dalili tunaenda kuwa kama marafiki zetu wapendwa wa Zimbabwe.
Mku kwa hiyo hapo Zimbabwe ilipo kwa sasa ni miaka ni miaka ya Tisini sio.Ulivyoandika unadhihirisha chuki na uwezo mdogo wa kutafsiri Mambo.
Hivyo vitu marekani tu ndo mtengenezaji?
Dunia ya Sasa hakuna kikwazo marekani ataweka kikafanya kazi,Ni enzi za miaka ya tisini huko walikua wanaringia wataalamu.
Dunia imejitosheleza Sana kwa Sasa,unataka mtu afate natakiwa yake kisa visaada vyake ambavyo anatoa mkono wa kulia na kurudisha mkono wa kushoto?kumtegemea marekani kwenu ipo siku atawakata makende na kuwataka wake zenu
According to the State Department, overall U.S. bilateral assistance to Tanzania, not including food aid, totaled an estimated $426 million in FY2019 and $548 million in FY2020. The Trump Administration requested $329 million for such assistance in FY2021.
Kwa ufupi ripoti ya hali ya kisiasa nchini Tanzania toka Magufuli kuingia madarakani imewashitua wafadhili wa demokrasia na uwazi na hasa katika maswala ya ushiriki wa jamii na asasi zisizo za kiserikali.
Na utungwaji wa sheria mbalimbali kandamizi na kuhakikisha nchi inakuwa ya chama kimoja na upinzani unatoweka.
Katika kutubinya wataacha misaada inayogusa chakula tu na wanashawishi na jumuiya za kimataifa nao kutufanyia kama wao.
In summary
There are few signs that the governance trajectory in Tanzania discussed in this report is likely to change. One analyst of Tanzania sees President Magufuli and the CCM as pursuing “restorationist developmental nationalism”—a return to the sociopolitical development agenda and dominance of the CCM during the one-party state era, in which opposition parties play a limited role, if any.69 There are arguably a paucity of strong levers through which the United States and other aid donors might be able to press for a reversal of recent trends. Targeted restrictions on aid could potentially spur constructive responses from Tanzanian authorities in some instances, but the bulk of U.S. and other foreign aid supports development goals or other U.S. policy interests that such changes might hinder. Targeted sanctions, which the United States has used in one instance, 70 also are another possible pressure tool and vehicle for signaling U.S. concerns in selected instances, but are complex to administer and may have limited effect if sanctioned officials do not have personal or financial interests within U.S. jurisdictions. The governance trends discussed in this report also could potentially warrant a change in Tanzania’s eligibility for U.S. trade
Kwa ripoti kamili https://t.co/uTUEIj29Vg?amp=1
mbolea imeingia nyingi sana tutalima chakula cha kutosha na hivi mungu anatusaidia mvua ya kutosha tunauhakika hao mabeberu watakula wenyewe mavyakula yaoAccording to the State Department, overall U.S. bilateral assistance to Tanzania, not including food aid, totaled an estimated $426 million in FY2019 and $548 million in FY2020. The Trump Administration requested $329 million for such assistance in FY2021.
Kwa ufupi ripoti ya hali ya kisiasa nchini Tanzania toka Magufuli kuingia madarakani imewashitua wafadhili wa demokrasia na uwazi na hasa katika maswala ya ushiriki wa jamii na asasi zisizo za kiserikali.
Na utungwaji wa sheria mbalimbali kandamizi na kuhakikisha nchi inakuwa ya chama kimoja na upinzani unatoweka.
Katika kutubinya wataacha misaada inayogusa chakula tu na wanashawishi na jumuiya za kimataifa nao kutufanyia kama wao.
In summary
There are few signs that the governance trajectory in Tanzania discussed in this report is likely to change. One analyst of Tanzania sees President Magufuli and the CCM as pursuing “restorationist developmental nationalism”—a return to the sociopolitical development agenda and dominance of the CCM during the one-party state era, in which opposition parties play a limited role, if any.69 There are arguably a paucity of strong levers through which the United States and other aid donors might be able to press for a reversal of recent trends. Targeted restrictions on aid could potentially spur constructive responses from Tanzanian authorities in some instances, but the bulk of U.S. and other foreign aid supports development goals or other U.S. policy interests that such changes might hinder. Targeted sanctions, which the United States has used in one instance, 70 also are another possible pressure tool and vehicle for signaling U.S. concerns in selected instances, but are complex to administer and may have limited effect if sanctioned officials do not have personal or financial interests within U.S. jurisdictions. The governance trends discussed in this report also could potentially warrant a change in Tanzania’s eligibility for U.S. trade
Kwa ripoti kamili https://t.co/uTUEIj29Vg?amp=1
Uwezo wako mdogo wa kufikiri.Dah! Mi hata sijaelewa unamaanisha nini! Labda unisaidie, yaani mpaka leo Wamarekani "wanashawishiwa" kuamini kuwa Tanzania hakuna Demokrasia? Basi hili ni jambo jema. Professor Kabudi kwa uwezo wake mkubwa alionao atawashinda hao wanaojaribu kushawishi negatively.
Bora tuumie woteSasa mbona kama umefurahia badala ya kusikitika. Unafikiri nani atakomoka?
Unapoanza safari yoyote anaanza na hatua kumi ama hatua moja?Mikwara ya mabeberu tu hiyo hakuna lolote Dr. Magufuli songa mbele baba hawa mbwa wanao bwaka bwaka hawawezi kutuzuia kwa lolote kama alivyosema gwajima hatuhitaji mapesa yao sisi bana labda wazuie hakuna kuuza nje au kununua kitu nje hapo nitaogopa sana.
Tatizo jiwe hajui kama kuna kitu kinaendelea.... Wahisani matamko yao ni kilugha na wapambe wanaogopa kumtafsiria...Matakaga sijui watakuelewa?
Zimbabwe mkate na kilo moja ta sukari ulipanda bei hadi milioni 2
Wao sindio Wana hasira? Wafunge wasepe!Kwanini msimfukuze kabisa?