"Mabeberu" Marekani waanza mbinyo kwa Tanzania. Washawishi Serikali yao na Jumuiya ya Kimataifa kuanza vikwazo na kukata misaada

"Mabeberu" Marekani waanza mbinyo kwa Tanzania. Washawishi Serikali yao na Jumuiya ya Kimataifa kuanza vikwazo na kukata misaada

Mtu na akili zake timamu anarudi nyumbani anakuta nyumba yao inapigwa mnada na bank

kwasababu baba alikopa kashndwa rudsha mkopo,jitu linafurahia linachekelea meno nnje nnje

jitu la namna hii unafkiri kuna haja yakupima akili zake? ni direct unamuandikia dose ya kichaa

and immediately unaita ambulance ije ibebe mtu wao ikimbize dodoma MIREMBE HOSPITAL.
 
Wa kuitoa CCM ikulu alikuwa ni Lowassa 2015 baada ya kushindwa itaendelea kupeta.

Lowassa alikuwa ni mwanasiasa aliyepikwa akaiva, anayo personality ambayo Lissu hana hata robo.

Wazungu watakuwa wanahitaji msaada wa kisaikolojia kama wanadhani Lissu ni presidential material labda huko Twitter na instagram.
 
Bahati nzuri Rais wetu alishatuandaa kuwa Sasa tunaingia kwenye vita ya uchumi.
Walizoea nchi yetu kuwa shamba la Bibi Sasa baasi!
Magufuli endelea kukaza wananchi wako tupo pamoja na wewe kama tukivyokuchagua kwa kishindo kikubwa.
Tunataka watoto wetu warithi nchi yenye maziwa na asali. Tumechoka kuwa ombaomba
KumbukaZimbabwe ilikuwa nchi tajiri kusini mwa
Mtu na akili zake timamu anarudi nyumbani anakuta nyumba yao inapigwa mnada na bank

kwasababu baba alikopa kashndwa rudsha mkopo,jitu linafurahia linachekelea meno nnje nnje

jitu la namna hii unafkiri kuna haja yakupima akili zake? ni direct unamuandikia dose ya kichaa

and immediately unaita ambulance ije ibebe mtu wao ikimbize dodoma MIREMBE HOSPITAL.
Kama baba alichukua mkopo halafu hela akawa anavinjari ni vidanga na wanae wanaungaunga tu bora iuzwe Sisi watoto tutaenda kwa wajomba zetu
Yaani yakitokea Mambo lazima wazee wa Mavi 8 waisome namba
 
Wengi wanaochangia hapa hawajui global politics! Wanachangia kushabikia Tanzania kuwekewa vikwazo bila kuwa wanaangalia kuwa Tanzania Taifa ambalo global powers wanataka wawe na influence nalo sana; na sasa hivi wanamchukia Magufuli kwa sababu hnaonekana hawawezi kuwa na influence juu yake.

Mark my word kama kweli marekani itaiwekea vikwazo Tanzania ili uje tuzungumze tena. Hawawezi kurudia makosa waliyofanya Zimbabwe na kuwaacha wachina wakajizolea madini yote yale kwa bwelele ambayo wanatengezea vitu vya bei nafuu sana kwa sababu ya cheap raw materials na kuvitumia kuvuruga soko la ndani ya marekani.
Duh! Mpaka nimecheka kama huu ndio uchambuzi wa msomi. Watanzania tuna matatizo makubwa ya akili. Endeleeni kumdanganya jiwe
 
Have you then questioned your brain why such investment directed and happened in China but not Cameron, Togo or Guatemala? Yes, all are equal but SOME are more equal.

Because Chinese themselves have made it possible to attract the investments. Tusidanganyane hapa kwamba walisaidiwa na awaye yoyote. Chinese have paid the ultimate sacrifice for their country to be where it is. Hakuna mjomba wala shangazi wa kumsikilizia.
 
X Ray mtatumia tv asilia POA
MRA mtatumia Nini?
CT Scan je?
ECG mtafanyia Nini?
Msijifananishe na wachina wakati nyie hamna hata kiwanda Cha tooth pick
Ulivyoandika unadhihirisha chuki na uwezo mdogo wa kutafsiri Mambo.
Hivyo vitu marekani tu ndo mtengenezaji?

Dunia ya Sasa hakuna kikwazo marekani ataweka kikafanya kazi,Ni enzi za miaka ya tisini huko walikua wanaringia wataalamu.

Dunia imejitosheleza Sana kwa Sasa,unataka mtu afate natakiwa yake kisa visaada vyake ambavyo anatoa mkono wa kulia na kurudisha mkono wa kushoto?kumtegemea marekani kwenu ipo siku atawakata makende na kuwataka wake zenu
 
Usiifananishe Tanzania ya sasa na China, bado hatujawafikia wale watu.

Hao investors ndio wanakuwa frustrated everyday, wanasema tu midomoni wanavutia wawekezaji lakini matendo yao yana suggest tofauti, mfano Dangote.

Ninaangalia path ya China
Chinese waliwakataa hata USSR wakati wote walikuwa ni wakomunist. Ninaposema tuangalie kwanini China inapata investment, namaanisha tuweke mazingira mazuri ya kuvutia uwekezaji. Lazima watakuja
 
Hahahhahaa. Hivi wewe unajuwa hata kinachoendelea ulimwenguni kweli zaidi ya kufahamu kuwa Magufuli Ni Rais😀😀😀😀😀
Najua kwel kweli kuliko unavyodhania wakitunyima fedha za misaada tutakopa katika mabenki ya duniani kwa riba nafuu ya 3%-4% narudia tena wakitunyima kuuza nje na kununua nje hapo tutadhurika kwa kwasi ya ajabu sana BUT WHY THATS ALL?
 
Hahahhahaa. Hivi wewe unajuwa hata kinachoendelea ulimwenguni kweli zaidi ya kufahamu kuwa Magufuli Ni Rais😀😀😀😀😀
Hata jiwei hajui kinachoendelea.... matamko yote yanatolewa kwa ung'eng'e wapambe wanaogopa kumtafsiria
Kwanza jiwe ukimwambia diplomasia hata hajui ni nini
 
Asiesikia la mkuu huvunjika guu, wasiojielewa watakuja hapa waanze kusema hawajali sisi ni matajiri, sasa kama tungekuwa matajiri hiyo misaada tusingekuwa tunapewa, wacheni kujidanganya.

Hapa mwananchi wa kawaida ndie atakaeumia, hivyo vikwazo vya kuinyima nchi misaada vitasababisha kodi za bidhaa zipande ili wajaribu kufidia hilo gap la kupoteza misaada, na mpaka hapa "serikali ya wanyonge" itakuwa imeshafeli.

Bahati nzuri hapa tutaumia wote, wezi wa kura na walioibiwa kura, sasa wale "praise team" nao wajiandae mapema kisaikolojia, kama ameanza mmarekani.

Kuna uwezekano mkubwa na marafiki zake wa jumuia ya ulaya nao watafuata, wacha kina Ndugai waendelee kushangilia wasilolijua kule bungeni, lakini kwa haya yajayo watapata akili tu.

Huko tunapoelekea watatuzuia hata kufanya nao biashara, sijui hizo dola za kuwekea akiba yetu ya fedha za kigeni zitatoka wapi.

Naona kila dalili tunaenda kuwa kama marafiki zetu wapendwa wa Zimbabwe.
Matakaga sijui watakuelewa?
Zimbabwe mkate na kilo moja ta sukari ulipanda bei hadi milioni 2
 
Ulivyoandika unadhihirisha chuki na uwezo mdogo wa kutafsiri Mambo.
Hivyo vitu marekani tu ndo mtengenezaji?

Dunia ya Sasa hakuna kikwazo marekani ataweka kikafanya kazi,Ni enzi za miaka ya tisini huko walikua wanaringia wataalamu.

Dunia imejitosheleza Sana kwa Sasa,unataka mtu afate natakiwa yake kisa visaada vyake ambavyo anatoa mkono wa kulia na kurudisha mkono wa kushoto?kumtegemea marekani kwenu ipo siku atawakata makende na kuwataka wake zenu
Mku kwa hiyo hapo Zimbabwe ilipo kwa sasa ni miaka ni miaka ya Tisini sio.
Vikwazo ni vikwazo haijalishi inawekwa lini.
Kenya waliliona hili wakaja hand shaking ambayo imewapelekea kuwa hapo walipo kwa sasa.
Watanzania kuombana msamaha ni kawaida yetu sio kejeli au jeuri itakayotuvusha tukiwa wamoja kama taifa.
Tukumbuke Itikadi zimesha wagawa watu ukitaka kujua hilo wangalie viongozi wetu wa kitaifa wanapopata muda wakuongea mara nyingini ni maneo ya kufikirisha na hayo yote ni sababu za kiitikadi wanazoishi nazo rohoni mwao yaani wafuasi na viongozi wao
 
According to the State Department, overall U.S. bilateral assistance to Tanzania, not including food aid, totaled an estimated $426 million in FY2019 and $548 million in FY2020. The Trump Administration requested $329 million for such assistance in FY2021.

Kwa ufupi ripoti ya hali ya kisiasa nchini Tanzania toka Magufuli kuingia madarakani imewashitua wafadhili wa demokrasia na uwazi na hasa katika maswala ya ushiriki wa jamii na asasi zisizo za kiserikali.

Na utungwaji wa sheria mbalimbali kandamizi na kuhakikisha nchi inakuwa ya chama kimoja na upinzani unatoweka.

Katika kutubinya wataacha misaada inayogusa chakula tu na wanashawishi na jumuiya za kimataifa nao kutufanyia kama wao.
In summary

There are few signs that the governance trajectory in Tanzania discussed in this report is likely to change. One analyst of Tanzania sees President Magufuli and the CCM as pursuing “restorationist developmental nationalism”—a return to the sociopolitical development agenda and dominance of the CCM during the one-party state era, in which opposition parties play a limited role, if any.69 There are arguably a paucity of strong levers through which the United States and other aid donors might be able to press for a reversal of recent trends. Targeted restrictions on aid could potentially spur constructive responses from Tanzanian authorities in some instances, but the bulk of U.S. and other foreign aid supports development goals or other U.S. policy interests that such changes might hinder. Targeted sanctions, which the United States has used in one instance, 70 also are another possible pressure tool and vehicle for signaling U.S. concerns in selected instances, but are complex to administer and may have limited effect if sanctioned officials do not have personal or financial interests within U.S. jurisdictions. The governance trends discussed in this report also could potentially warrant a change in Tanzania’s eligibility for U.S. trade

Kwa ripoti kamili https://t.co/uTUEIj29Vg?amp=1
According to the State Department, overall U.S. bilateral assistance to Tanzania, not including food aid, totaled an estimated $426 million in FY2019 and $548 million in FY2020. The Trump Administration requested $329 million for such assistance in FY2021.

Kwa ufupi ripoti ya hali ya kisiasa nchini Tanzania toka Magufuli kuingia madarakani imewashitua wafadhili wa demokrasia na uwazi na hasa katika maswala ya ushiriki wa jamii na asasi zisizo za kiserikali.

Na utungwaji wa sheria mbalimbali kandamizi na kuhakikisha nchi inakuwa ya chama kimoja na upinzani unatoweka.

Katika kutubinya wataacha misaada inayogusa chakula tu na wanashawishi na jumuiya za kimataifa nao kutufanyia kama wao.
In summary

There are few signs that the governance trajectory in Tanzania discussed in this report is likely to change. One analyst of Tanzania sees President Magufuli and the CCM as pursuing “restorationist developmental nationalism”—a return to the sociopolitical development agenda and dominance of the CCM during the one-party state era, in which opposition parties play a limited role, if any.69 There are arguably a paucity of strong levers through which the United States and other aid donors might be able to press for a reversal of recent trends. Targeted restrictions on aid could potentially spur constructive responses from Tanzanian authorities in some instances, but the bulk of U.S. and other foreign aid supports development goals or other U.S. policy interests that such changes might hinder. Targeted sanctions, which the United States has used in one instance, 70 also are another possible pressure tool and vehicle for signaling U.S. concerns in selected instances, but are complex to administer and may have limited effect if sanctioned officials do not have personal or financial interests within U.S. jurisdictions. The governance trends discussed in this report also could potentially warrant a change in Tanzania’s eligibility for U.S. trade

Kwa ripoti kamili https://t.co/uTUEIj29Vg?amp=1
mbolea imeingia nyingi sana tutalima chakula cha kutosha na hivi mungu anatusaidia mvua ya kutosha tunauhakika hao mabeberu watakula wenyewe mavyakula yao
 
Dah! Mi hata sijaelewa unamaanisha nini! Labda unisaidie, yaani mpaka leo Wamarekani "wanashawishiwa" kuamini kuwa Tanzania hakuna Demokrasia? Basi hili ni jambo jema. Professor Kabudi kwa uwezo wake mkubwa alionao atawashinda hao wanaojaribu kushawishi negatively.
Uwezo wako mdogo wa kufikiri.
Washawishiwe kwa mabalozi wao hapa nchini wanafanyakazi gani?
 
Mikwara ya mabeberu tu hiyo hakuna lolote Dr. Magufuli songa mbele baba hawa mbwa wanao bwaka bwaka hawawezi kutuzuia kwa lolote kama alivyosema gwajima hatuhitaji mapesa yao sisi bana labda wazuie hakuna kuuza nje au kununua kitu nje hapo nitaogopa sana.
Unapoanza safari yoyote anaanza na hatua kumi ama hatua moja?
 
Matakaga sijui watakuelewa?
Zimbabwe mkate na kilo moja ta sukari ulipanda bei hadi milioni 2
Tatizo jiwe hajui kama kuna kitu kinaendelea.... Wahisani matamko yao ni kilugha na wapambe wanaogopa kumtafsiria...
Kwanza jiwe ukimwambia diplomasia hata hajui ni nini
Tanzanian kazi tunayo

I am just saying,,,,,,,,,,,............. 😎
 
Wazungu hawawezi wala hawasubutu hata dakika moja kuiwekea vikwazo Tanzania,hilo halipo watababaisha sikumbili tatu imetoka.
 
Back
Top Bottom