"Mabeberu" Marekani waanza mbinyo kwa Tanzania. Washawishi Serikali yao na Jumuiya ya Kimataifa kuanza vikwazo na kukata misaada

"Mabeberu" Marekani waanza mbinyo kwa Tanzania. Washawishi Serikali yao na Jumuiya ya Kimataifa kuanza vikwazo na kukata misaada

Mkuu Bujibuji , asante kwa makaribisho,
kwanza hakuna chama cha Msukuma, wala chama cha mtu, kilichopo ni Chama Cha Mapinduzi, CCM, ila kinaongozwa na Msukuma na sio kinamilikiwa na Msukuma hadi ukiite chama cha Msukuma!. One good thing kuhusu Msukuma huyu, tangu ashike uongozi wa chama, amekifanyia chama some very big transformation sasa chama kinapendwa na kinakubalika na Watanzania na hili wamelionyesha tarehe 28 October.

Tukija kwenye mada ya msingi, Hawa mabeberu wa US na EU tumeisha wazoea, tuliisha toa ushauri siku nyingi kwa Msukuma, on how to go about this.


P
Baada ya Nyerere kukataa tukaizidi Kenya uchumi sio?

Sent from my TECNO CF8 using JamiiForums mobile app
 
Dah! Mi hata sijaelewa unamaanisha nini! Labda unisaidie, yaani mpaka leo Wamarekani "wanashawishiwa" kuamini kuwa Tanzania hakuna Demokrasia? Basi hili ni jambo jema. Professor Kabudi kwa uwezo wake mkubwa alionao atawashinda hao wanaojaribu kushawishi negatively.

Hakuna demokrasia, hilo halina mjadala.
 
NI wakati wa Africa kuondoa mawazo mgando ya kusaidiw kila siku
Dunia ya Sasa sio ile ya wakati wa nyerere
Ndio maana tunaletewa misaada inayodhuru hata afya zetu
Beberu hawez kumpenda Mtu mweusi hata siku moja
Tutaenda sawa tu na mchina kwani mchina nqe anatuhitaji Sana tu
Kupata masoko ya bidhaa zake
Kwani mwafrica anampenda mwafrica mwenzake?

Sent from my TECNO CF8 using JamiiForums mobile app
 
Nachoamini sisi tunashida Kama waliyonayo wao, swala Ni exchange tu, Kama Hakuna Cha maana Sidhani Kama midahalo ya nchi yetu ingekua mingi kwako, Kuna wanachonufaika nacho//Tumia akili ya Nyerere kuelewa, ya mzungu itakusumbua na kuwaza mabalaa pekee
Tatizo wanunuzi wakubwa ndio hao hao walioanza kutununia.
 
Mbona msaada wenyewe ni hela kidogo hivyo? Mi nilijua wanachangia walau usd 1 billion. Kumbe tunaweza kuishi bila misaada kama asemavyo dr Magufuli. Ujenzi wa sgr ni Tanzania imetoa over 1 usd billions kutoka mfukoni. Sisi ni dona kantri.
 
Mkuu Return Of Undertaker , huu ni muendelezo wa ubeberu tuu, tuliisha shauri what to do

P
Tafadhali usijaribu kijificha kwenye kimvuli Chako
Hakuna kitu cha ajabu ki maendeleo Tanzania eti mabeberu wanatuonea Gere
Kilichopo ni ubinyu wa Demokrasia pamoja na uvunjwaji wa haki za binadamu
Ulishawahi kunukuliwa ukimuuliza mtu Kapata wapi mamlaka ya kuzuia shughuli za kusiasa za vyama vya upinzani akajibu Jina lako wewe ni njaa
Unahitaji kwenda hospital kama huamini tangu ******** aingie madarakani Wapinzani wengi wameuawa. Wameumizwa. Wametekwa na wengi wapo jela mpaka sasa
Huku pemba miaka kumi ya jakaya hata paka hatujazika lakini kaingia kafiri katuletea mpaka majeshi ya Burundi
Anyways dhulma haidumu
Gaddafi. Sadam au albashir walikua wababe na makatili kuliko huyu kafiri mwisho wao ona
Haiwezekani ukaua na kudhulumu ummah WOTE huu halafu usipate matata
Magafool is the next victim is just matter of time
 

Attachments

  • IMG_20201114_064330.jpg
    IMG_20201114_064330.jpg
    12.8 KB · Views: 1
  • IMG_20201015_054818.jpg
    IMG_20201015_054818.jpg
    100.9 KB · Views: 1
Wengi wanaochangia hapa hawajui global politics! Wanachangia kushabikia Tanzania kuwekewa vikwazo bila kuwa wanaangalia kuwa Tanzania Taifa ambalo global powers wanataka wawe na influence nalo sana; na sasa hivi wanamchukia Magufuli kwa sababu hnaonekana hawawezi kuwa na influence juu yake. Mark my word kama kweli marekani itaiwekea vikwazo Tanzania ili uje tuzungumze tena. Hawawezi kurudia makosa waliyofanya Zimbabwe na kuwaacha wachina wakajizolea madini yote yale kwa bwelele ambayo wanatengezea vitu vya bei nafuu sana kwa sababu ya cheap raw materials na kuvitumia kuvuruga soko la ndani ya marekani.
Sasa hapa unapinga nini na kutetea nini? kumbe kwako bora tuibiwe na mchina lakini sio mmarekani?!

Hoja zenu bado sana, hiyo ndio "global politics" unayojisifu kuijua!.
 
Wewe ndiyo mbumbumbu kabisa! Umeelewa maana ya hiyo sentensi. Hivi wewe unafurahia utaifishaji wa maendeleo ya watu?

Kama hujui, sentensi hiyo ina maana Magufuli na CCM wanatupeleka kwenye Tanzania ya Mwalimu ya mwaka 1967 ya kutaifisha mali/maendeleo ya watu na kuyaweka chini umma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uelewa wako ni pungufu kupita kiasi kama unadhani kuwa marekani bado wanaogopa sera za Nyerere leo kwani hata USSR haipo tena. Soma hiyo sentensei uilewe vizuri kama una uwezo huo. Siwezi kukusaidia kuelewa zaidi ya hapo.
 
Usihofu Mkuu,Mwaka 1978 na 1979 watu walikula pumba

Sasa wewe mtoto mayai mayai ndio shida inaanza hapa kwanza wewe ni chadema hivyo huu mbinyo utawafanya ccm kula bata zaidi maana tumezoea kupambana

Hata wakisema tusiende chooni mwaka mzima watu hawaogopi

Hata wakisema wanataka uhuru wa mashoga kila kona ya nchi bado watu watawakimbia tu

Beberu anataka tuanza kuwa na maisha ya hovyo hovyo
Mmezoea kupambana vipi wakati kila siku tunamuona Mambosasa akiwabeba mgongoni.
 
Sasa hapa unapinga nini na kutetea nini? kumbe kwako bora tuibiwe na mchina lakini sio mmarekani?!

Hoja zenu bado sana, hiyo ndio "global politics" unayojisufu kuijua!.
Pale argument.

Hatutaki kuibiwa, ila ni jambo la kifilosofia kuwa adui wa wadui wako ni rafiki yako Mtashirikiana kupambana na adui huyo kwanza, baada ya hapo ndipo mnashughulikia uadui wenu wenyewe .
 
According to the State Department, overall U.S. bilateral assistance to Tanzania, not including food aid, totaled an estimated $426 million in FY2019 and $548 million in FY2020. The Trump Administration requested $329 million for such assistance in FY2021.

Kwa ufupi ripoti ya hali ya kisiasa nchini Tanzania toka Magufuli kuingia madarakani imewashitua wafadhili wa demokrasia na uwazi na hasa katika maswala ya ushiriki wa jamii na asasi zisizo za kiserikali.

Na utungwaji wa sheria mbalimbali kandamizi na kuhakikisha nchi inakuwa ya chama kimoja na upinzani unatoweka.

Katika kutubinya wataacha misaada inayogusa chakula tu na wanashawishi na jumuiya za kimataifa nao kutufanyia kama wao.
In summary

There are few signs that the governance trajectory in Tanzania discussed in this report is likely to change. One analyst of Tanzania sees President Magufuli and the CCM as pursuing “restorationist developmental nationalism”—a return to the sociopolitical development agenda and dominance of the CCM during the one-party state era, in which opposition parties play a limited role, if any.69 There are arguably a paucity of strong levers through which the United States and other aid donors might be able to press for a reversal of recent trends. Targeted restrictions on aid could potentially spur constructive responses from Tanzanian authorities in some instances, but the bulk of U.S. and other foreign aid supports development goals or other U.S. policy interests that such changes might hinder. Targeted sanctions, which the United States has used in one instance, 70 also are another possible pressure tool and vehicle for signaling U.S. concerns in selected instances, but are complex to administer and may have limited effect if sanctioned officials do not have personal or financial interests within U.S. jurisdictions. The governance trends discussed in this report also could potentially warrant a change in Tanzania’s eligibility for U.S. trade

Kwa ripoti kamili https://t.co/uTUEIj29Vg?amp=1
Wao wana bunduki & mabomu sisi tunao US & EU. Chuma kwa chuma dadeki!
 
Dah! Mi hata sijaelewa unamaanisha nini! Labda unisaidie, yaani mpaka leo Wamarekani "wanashawishiwa" kuamini kuwa Tanzania hakuna Demokrasia? Basi hili ni jambo jema. Professor Kabudi kwa uwezo wake mkubwa alionao atawashinda hao wanaojaribu kushawishi negatively.
Kaka kusoma hujui hata picha huoni au unaelewa nini kuhusu TZ ya Kijani?
 
Pale argument.

Hatutaki kuibiwa, ila ni jambo la kifilosofia kuwa adui wa wadui wako ni rafiki yako Mtashirikiana kupambana na adui huyo kwanza, baada ya hapo ndipo mnashughulikia uadui wenu wenyewe .
Huyo "adui wa adui wako ni rafiki yako" akishajua udhaifu wako unadhani atakuacha salama?

Atakunyonya tu, usijidanganye.
 
Asiesikia la mkuu huvunjika guu, wasiojielewa watakuja hapa waanze kusema hawajali sisi ni matajiri, sasa kama tungekuwa matajiri hiyo misaada tusingekuwa tunapewa, wacheni kujidanganya.

Hapa mwananchi wa kawaida ndie atakaeumia, hivyo vikwazo vya kuinyima nchi misaada vitasababisha kodi za bidhaa zipande ili wajaribu kufidia hilo gap la kupoteza misaada, na mpaka hapa "serikali ya wanyonge" itakuwa imeshafeli.

Bahati nzuri hapa tutaumia wote, wezi wa kura na walioibiwa kura, sasa wale "praise team" nao wajiandae mapema kisaikolojia, kama ameanza mmarekani.

Kuna uwezekano mkubwa na marafiki zake wa jumuia ya ulaya nao watafuata, wacha kina Ndugai waendelee kushangilia wasilolijua kule bungeni, kwa haya yajayo watapata akili tu.

Huko tunapoelekea watatuzuia hata kufanya nao biashara, sijui hizo dola za kuwekea akiba ya fedha za kigeni zitatoka wapi.

Naona kila dalili tunaenda kuwa kama marafiki zetu wapendwa wa Zimbabwe.

CCM ni janga la Taifa.
 
Tafadhali usijaribu kijificha kwenye kimvuli Chako
Hakuna kitu cha ajabu ki maendeleo Tanzania eti mabeberu wanatuonea Gere
Kilichopo ni ubinyu wa Demokrasia pamoja na uvunjwaji wa haki za binadamu
Ulishawahi kunukuliwa ukimuuliza mtu Kapata wapi mamlaka ya kuzuia shughuli za kusiasa za vyama vya upinzani akajibu Jina lako wewe ni njaa
Unahitaji kwenda hospital kama huamini tangu ******** aingie madarakani Wapinzani wengi wameuawa. Wameumizwa. Wametekwa na wengi wapo jela mpaka sasa
Huku pemba miaka kumi ya jakaya hata paka hatujazika lakini kaingia kafiri katuletea mpaka majeshi ya Burundi
Anyways dhulma haidumu
Gaddafi. Sadam au albashir walikua wababe na makatili kuliko huyu kafiri mwisho wao ona
Haiwezekani ukaua na kudhulumu ummah WOTE huu halafu usipate matata
Magafool is the next victim is just matter of tine
( albaqarah : 8-20 ) Nifaq Mungu ndie mjuzi wa yaliyo mioyoni mwa watu. Usitumie dini kutukana watu, wewe jenga hoja tu bila kuihusisha dini yetu. Usichanganye siasa zako na dini yetu. Uislamu ni dini iliyokamilka na ni dini ya washindi, sio dini ya wanafiki wanaoitumia kwa ajili ya kushinda hoja. Kaa mbali na uislamu kama una jazba za kisiasa.
 
According to the State Department, overall U.S. bilateral assistance to Tanzania, not including food aid, totaled an estimated $426 million in FY2019 and $548 million in FY2020. The Trump Administration requested $329 million for such assistance in FY2021.

Kwa ufupi ripoti ya hali ya kisiasa nchini Tanzania toka Magufuli kuingia madarakani imewashitua wafadhili wa demokrasia na uwazi na hasa katika maswala ya ushiriki wa jamii na asasi zisizo za kiserikali.

Na utungwaji wa sheria mbalimbali kandamizi na kuhakikisha nchi inakuwa ya chama kimoja na upinzani unatoweka.

Katika kutubinya wataacha misaada inayogusa chakula tu na wanashawishi na jumuiya za kimataifa nao kutufanyia kama wao.
In summary

There are few signs that the governance trajectory in Tanzania discussed in this report is likely to change. One analyst of Tanzania sees President Magufuli and the CCM as pursuing “restorationist developmental nationalism”—a return to the sociopolitical development agenda and dominance of the CCM during the one-party state era, in which opposition parties play a limited role, if any.69 There are arguably a paucity of strong levers through which the United States and other aid donors might be able to press for a reversal of recent trends. Targeted restrictions on aid could potentially spur constructive responses from Tanzanian authorities in some instances, but the bulk of U.S. and other foreign aid supports development goals or other U.S. policy interests that such changes might hinder. Targeted sanctions, which the United States has used in one instance, 70 also are another possible pressure tool and vehicle for signaling U.S. concerns in selected instances, but are complex to administer and may have limited effect if sanctioned officials do not have personal or financial interests within U.S. jurisdictions. The governance trends discussed in this report also could potentially warrant a change in Tanzania’s eligibility for U.S. trade

Kwa ripoti kamili https://t.co/uTUEIj29Vg?amp=1
Kumbe hadi vyakula tunaletewa misaada??
 
Tunasubiri kwa hamu mvua yenyewe..... Tutawapa kila ushirikiano ili nasisi tupate zimbabwe yetu
 
Asiesikia la mkuu huvunjika guu, wasiojielewa watakuja hapa waanze kusema hawajali sisi ni matajiri, sasa kama tungekuwa matajiri hiyo misaada tusingekuwa tunapewa, wacheni kujidanganya.

Hapa mwananchi wa kawaida ndie atakaeumia, hivyo vikwazo vya kuinyima nchi misaada vitasababisha kodi za bidhaa zipande ili wajaribu kufidia hilo gap la kupoteza misaada, na mpaka hapa "serikali ya wanyonge" itakuwa imeshafeli.

Bahati nzuri hapa tutaumia wote, wezi wa kura na walioibiwa kura, sasa wale "praise team" nao wajiandae mapema kisaikolojia, kama ameanza mmarekani.

Kuna uwezekano mkubwa na marafiki zake wa jumuia ya ulaya nao watafuata, wacha kina Ndugai waendelee kushangilia wasilolijua kule bungeni, kwa haya yajayo watapata akili tu.

Huko tunapoelekea watatuzuia hata kufanya nao biashara, sijui hizo dola za kuwekea akiba ya fedha za kigeni zitatoka wapi.

Naona kila dalili tunaenda kuwa kama marafiki zetu wapendwa wa Zimbabwe.
Kila mtu ajiandae kuumia kutokana na makosa ya watawala. Biashara zitakufa. Bei za bidhaa mhimu zitapaa. Huduma za kifedha na kijamii zitadumaa. Uharifu utaongezeka. Na hatimaye amani itatetereka.
 
Huyo "adui wa adui wako ni rafiki yako" akishajua udhaifu wako unadhani atakuacha salama?

Atakunyonya tu, usijidanganye.
Naona wewe unaongea kwa kutanguliza woga badala ya kutanguliza ushujaa.
 
Back
Top Bottom