Magombe mpaka yaelewe ujuwe mengi yeshapigwa bakora. Wacha mabeberu yaanze kuwakemea ,halafu hawafichi wanakupa makavu.
CCM mnatupeleka kwenye janga hamuoni hata hela ya kulipana posho itaadimika,mwisho mtajitolea mwisho mtaanza kuambizana kafanye mwenyewe.
CCM mnatupeleka kwenye janga hamuoni hata hela ya kulipana posho itaadimika,mwisho mtajitolea mwisho mtaanza kuambizana kafanye mwenyewe.