Mabeberu, Vibaraka wa Mabeberu, Wazalendo wa Hayati Magufuli, na Mradi wa Bandari ya Bagamoyo

Kakoko kasema kwa kuwa kaona mkataba maana yeye yuko selikalini na ndio ilikuwa sehemu ya majukumu yake hayo...

Wewe unapinga kwa kusema Kakoko ni muongo,.. Na umesapoti hoja yako kwamba Kakoko ni muongo kwa kuwa umefanya sijui utafiti wapi na wapi!

Tukakuuliza umeuona mkataba wenyewe mpaka unasema Kakoko na selilakali ni waongo? Huna jibu!

Ndio maana tunasema hii mada yako imeegemea upande mmoja wa wachina hivyo haina maana.
 
Na ndio hicho wanataka watu mkuu! MKATABA basii..
Wewe huna hoja, na ni kawaida yako kutojadili hoja!!! Nimekuuliza, unahitaji kuona mkataba kufahamu Sheria ya Kodi inatoa mwanya wa msamaha wa kodi on imported capital goods?!

Unahitaji kuona mkataba kufahamu bandarini kuna aina nyingi za kodi, and always, kodi on imported goods ni mali ya serikali?!

Unahitaji kuona mkataba kufahamu sheria ya ardhi inatoa mwanya kwa mwekezaji kupata hatimiliki ya miaka 33 (renewable), au miaka 66 (renewable), au miaka 99?!

Unahitaji mkataba kufahamu kwamba mradi utatoa ajira za kutosha?!

Narudia, huna hoja na ndo maana unajificha kwenye mkataba!!!

Na unachosema ni kwamba, hata Wabunge wasijadili suala la bandari kwa sababu hata wao, katu hawataweza kuona huo mkataba!!!
 
Upende usipende bandari lazima itajengwa tu: Haya unayoleta wewe ni kelele za mbwa asiye na meno.
Hivyo nimeamua kukupuuza kwasababu nimepima na kuona uko na uelewa finyu mno....
Itajengwa lakini mashariti ya kinyonyaji hayatakuwepo.
 
Kafanya utafiti wapi huyu bwege, anajifagilia ili aonekane yupo juu.
 
Kasemaje?

Hata huyo Moosa Mao nae anao mkataba, sasa hoja yako hapo ni ipi?!

Btw, kwanini nimuamini mtu ambae tayari mamlaka ina mashaka nae, kiasi cha kufikia kumsimamisha kazi?
 
Wewe naweee...!
Hata kama huna, jifanye basi kama unazo jamani..! Sasa ulichojadili hapo ndio kitu gani sasa mkuu!

Umepooonda...! Cha maana ni
kuleta Mkataba hapa tuone ndipo itawapa credit ya nyinyi kuonekana mnazo nyingi kuliko mnawaponda!!

Mada nzuri kama Hizi za kimaendeleo, ni mhimu kuweka viambatanisho Vyote, hasahasa Mkataba na masharti yake!!

Sasa sijui moob Mao, kasemaji sjui, Kwa Dunia hii ya technologia kubwa, Kwani mbongo anashindwa kujipachika majukumu ya mchina na akatumia picha na Jina la kichina kufikisha anachotaka Kwa manufaa yake?

Mkataba, Mkataba, Mkataba ndio kila kitu
 
Aghrrrrr!

Wewe bwana! Wote sio wajinga humu! Tunajua misimamo yako na wewe ni kumkosoa Magufuli basii.

Sasa ni hivi, kwa kuwa Kakoko hakuweka mkataba kusapoti hoja yake, na wewe pia hujaweka mkataba kusapoti hoja yako nyie wote ni wa kupuuzwa.
 
Aghrrrrr!

Wewe bwana! Wote sio wajinga humu! Tunajua misimamo yako na wewe ni kumkosoa Magufuli basii.

Sasa ni hivi, kwa kuwa Kakoko hakuweka mkataba kusapoti hoja yake, na wewe pia hujaweka mkataba kusapoti hoja yako nyie wote ni wa kupuuzwa.
Pole sana!!!
 
Kwanini maneno mengi yote ya nini?

Hao wachina wamekupa kitu gani?

Ukiweka mkataba hapa hutapoteza muda kuandika maneno yote haya,
 
Wewe naweee...!
Hata kama huna, jifanye basi kama unazo jamani..! Sasa ulichojadili hapo ndio kitu gani sasa mkuu!

Umepooonda...! Cha maana ni
kuleta Mkataba hapa tuone ndipo itawapa credit ya nyinyi kuonekana mnazo nyingi kuliko mnawaponda!!
Basiii..

Na mada itakuwa imefungwa na wote tutaungana kutaka bandari ijengwe.
 
Kasemaje?

Hata huyo Moosa Mao nae anao mkataba, sasa hoja yako hapo ni ipi?!

Btw, kwanini nimuamini mtu ambae tayari mamlaka ina mashaka nae, kiasi cha kufikia kumsimamisha kazi?
Sasa unataka na sisi tusimuamini kwa blaa blaa zako hizi?

Leta mkataba hapa ili tuungane na wewe kumbeza Kakoko na utakuwa umetukata ngebe kabisa.
 
Sasa unataka na sisi tusimuamini kwa blaa blaa zako hizi?

Leta mkataba hapa ili tuungane na wewe kumbeza Kakoko na utakuwa umetukata ngebe kabisa.
Kwavile umeshindwa kujadili hoja zilizotolewa, wacha niendelee kujibu hoja zinazojadili hoja!! That being said, stay blessed!!!
 
Sasa unataka na sisi tusimuamini kwa blaa blaa zako hizi?

Leta mkataba hapa ili tuungane na wewe kumbeza Kakoko na utakuwa umetukata ngebe kabisa.
Huu mradi Mkataba wake utakapokuwa wazi bila udanganyifu kabisa, tutataka uchunguzi wa Hizi kelele nyingi kutoka Kwa Watanzania hawa,

Watu wako tayari kutuonyesha uzuri wa mradi na manufaa yake, lakini hawako tayari kabisa kuzungumzia Mkataba na masharti yake, unajiuliza ni Kwa nini?

Spika naye, badala ya kuanza na Mkataba mle bungeni, anaanza kutuonyesha utamu wa mf wa Bandari iliyoko China yenye mfano kama hii itayojengwa Bagamoyo na jinsi itakavyoinufaisha nchi, ni Jambo jema, lakini Kwa nini asianze na kiini??

Maana mradi haujijengi wenyewe, na kama ni hivyo, tunataka sasa Mkataba utakoingiwa Kwa makubaliano basi!!!

Uzuri na manufaa ya mradi yananafasi ya pili baada ya Jambo mhimu ambalo ni Mkataba na masharti yake,
 
Umeongea ukweli kabisa mkuu!
 
Kwahiyo unaamini kabisa kwamba kuna siku watakuonesha huo mkataba?!

Btw, how come unasema "Watu wako tayari kutuonyesha uzuri wa mradi na manufaa yake, lakini hawako tayari kabisa kuzungumzia Mkataba na masharti yake, unajiuliza ni Kwa nini?" wakati nimesema wazi ni mambo gani LAZIMA China wata-demand, na yapi yanapaswa kuwapa na yapi hayapaswi kuwapa?

The problem wengi wenu ni wavivu wa kusoma, na kwahiyo wala hamjasoma kilichoandikwa!!! Hata mngewekewa huo mkataba, wala msingesoma!!!

Na hili la kutosoma linawafanya Wabongo wawe victims wa urongo wa viongozi kwa sababu wanajua wanaweza kudanganya, na watu hawatahangaika kuuafuta ukweli... ukweli ambao mara nyingi tu unakuwa kwenye public domain!!
 
Kwavile umeshindwa kujadili hoja zilizotolewa, wacha niendelee kujibu hoja zinazojadili hoja!! That being said, stay blessed!!!
Mkuu Chige, labda niseme hivi, hayupo Mtanzania yeyote anayeweza kupinga mradi mradi mzuri kama huo, Ila kuna Mtanzania anayepinga uwepo wa mradi huo Kwa sababu ya fununu za masharti yaliyopo kwenye Mkataba,

Na hata wewe mkuu, Kwa nini haukuwa tayari kuambatanisha na vipengere Vya Mkataba wa mradi unaousifia Sana?

Bila kukufahamu Mkataba na masharti yake, ni kupigia Kampeni shetani ili awe mlinzi wa familia yako
 
Bandiko lako limekaa kisomi sana sijui kama hapa akina Wakudadavua, NdegeJohn na kifupikirefu kama watachomoka.
 
NAOMBA MSAADA WA KUNITAJIA BEBERU MMOJA TU AMBAYE TANZANIA TUNAPASWA KUTOSHIRIKIANA NAYE KWA LOLOTE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…