Mabeberu, Vibaraka wa Mabeberu, Wazalendo wa Hayati Magufuli, na Mradi wa Bandari ya Bagamoyo

Nchi hii inawajinga wengi sana

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
You never let us (great minds) down.
Kongole ndugu yangu Chige .
Mungu Baba wa Mbinguni aendelee kukubariki.
 
Mkuu umelipwa pesa ngapi ili kuupugia chapuo hivi huu mradi?,
Yuko sahihi kupigia chapuo mradi huu. "It is part of the DFI which is a key ingredient to any national economic development". Wanaopinga ni wale hawafahamu umhimu wa DFI kwa uchumi wa nchi.
 
Alichosema Kakoko kina-prove nini?!

Mtu ambae hata mamlaka inamtilia mashaka kwamba ni mwizi, anatoa wapi uhalali wa kuongea bila kuweka mkataba halafu unataka bado ni yeye ndie aaminiwe na sio Moosa wala sie tuliofanya research!

Moosa katamka wazi wazi kwamba habari zilizosemwa ni UONGO, na Kakoko hakushiriki negotitions tangu mwanzo!!

Hivi kuna damaging news kama hiyo?!

Yaani Mkuu wa Taasisi kubwa kabisa anashutumiwa hadharani kwamba muongo... mbona hakutoka mbele kusafisha image yake na ya taasisi yake? Au Kakoko Mkurugenzi mzima hafahamu maana ya PR?

Btw, kuna PR ya kumshutumu mbia hadharani namna hiyo?!

Na tangu Kakoko atandikwe za uso, ushawahi kumsikia tena?!

In short, nyie mnaojificha kwenye mkataba hamna hoja kwa sababu niliyoyaandika wala hayahitaji kuona mkataba kuweza kuyachangia!!!
 
Mkuu nadhani haya mambo ameyafafanua. Wachina watakuja kujenga viwanda kwa ajili ya bidhaa zao hapo Bagamoyo....Sina hakika kama mizigo yetu pia itakuwa inapita hapo!
Sasa si mpaka hapo watakapo jenga hivyo viwanda, kama hakuna viwanda hakuna mzigo wa kutosha , hivyo basi viwanda ndio vianze, ndio hiyo Bandari ifuate
 
Kakoko haaminiki!

Haya na wewe unataka tukuamini kwa kipi?


Weka mkataba tukuamini.
 
Nakupotezea muda kivipi, nimeku tag ?

HUNA MKATABA !
Bwah! Bwah! Bwah!

Umesahau kwamba post yako ya kwanza tu, moja kwa moja ulii-direct kwangu?

Na kama ulii-direct kwangu, wakati hakuna cha maana unachoongea, ni kama umekaririshwa kwamba ukiona mada ya Bandari ya Bagamoyo tu, sema "lete mkataba"!!

Hivi hujui kwamba hapo unapotezea watu muda?!

Ukweli mchungu ni kwamba, hii mada imekuzidi umri, ndo maana umekuwa kama robot.... "Mkataba"! Huna ubavu wa kujenga hoja, na hata huo ubavu wa kusoma kwa mapana na marefu threads za aina hii HUNA!
 
Kakoko haaminiki!

Haya na wewe unataka tukuamini kwa kipi?


Weka mkataba tukuamini.
We nimeshakupuuza bhana manake upo hapa kumtetea Jiwe hata kama hakuna alipotajwa Jiwe! Lakini kwavile unajua ni Jiwe ndie kashindwa kufanyia kazi mradi, basi hapo hapo unaona ndo kama anasemwa Jiwe!!

Pole sana, lakini narudia tena... KAZI UNAYO!!! Na ukweli mchungu ni kwamba, sawa na wenzako, huna ubavu wa kujadili mada za aina hii, NEVER!!!
 
Wewe unaumwa ugonjwa unaitwa jiwe!

Tangu huko juu page kwanza watu wamedai haya uliyoandika ni kwa mujibu wa mkataba uliouona au ni kwa hisia zako tu? Wewe unasema hoo umefanya research!

Tumekwambia hakuna anaekataa kama huo mradi ni mzuri na una manufaa kwa nchi lakini ishu ni mkataba umekaa kinyonyaji ndio kilichofanya huo mradi kushindwa kuanza,!

Tukikwambia hivi hoo tunamtetea jiwe! Basi wewe usiemtetea jiwe weka mkataba basi tuuone ili tuungane wote kumpnda jiwe na kudai bandari kuanza haraka! Hoo kwani Kakoko alikuwekea mkataba.?

Sasa unataka tumwamini nani kati yako na kina Kakoko waliokuwa na mkataba wenyewe?
 
Asante sana kwa article hii. Inafundisho sana. Swali langu ni moja tu, kwanini wazalendo wetu hawakuona hili ulilosema hapa? Walitaka nini hasa?
 
Mpaka siku Mradi unanza, watu makumi Elfu watakuwa wameshakula za mchina wengi Sana!!

Tulianza kutilia mashaka Kwa speeker, na sasa zamu ya Wana JF

Huyu naye ana kila Aina ya dalili za kulishwa uji na kilichobaki ni kuutetea huo uji!!

Mpaka hapa, bado sjafahamu anachotaka tuungane naye, kaponda wote waliojaribu kutuelezea ubaya na uzuri wa mkataba tena wao waliousoma, yeye badala ya kuja na vielelezo vya Mkataba, anakuja hapa na manenomaneno matamu ya Mao, tutajuaje, Je kama Mao kutengenezwa Kutokea Tz...?

Akitaka tuwapuuze aliotaka tuwapuuze, aweke Mkataba hapa
 

Nashukuru tena kwa hadithi yako, hii issue bado ipo dependent na vitu vingi ili iweze kuwa a success
Ndio maana nika shauri kama kuna ulazima ianze in phases, hata hizi Bandari kubwa iwe ya Singapore etc hazikufika hapo overnight , na kwa kuwa hao merchant n.k wakawa wameweka hizo condition za jinsi watakavyo rudisha fedha zao.
Yaani wao wana jikinga na kutengeneza hasara kwa kutuwekea masharti ya hiyo miaka ya kurudisha fedha zao. Inaweza kuwa 30 years kwenda 99 years .
Ndio maana nitarudia tena , inabidi twende in phases.
Ukija issue ya industrial park n.k mbona hivyo viwanda hatuvioni hiyo Bagamoyo au sehemu zingine za Tanzania ikaonyesha hata dalili za kuongezeka kwa mizigo , kwa mfano Tuna mbao, umemuona Mchina yeyote kaweka kiwanda cha furniture , tuna chuma liganga nk, umeona mwekezaji yeyote kawekeza kwenye viwanda vya chuma au magari






#worlds-top-5-ports

World's Top 5 Ports​

Sea freight and port operations form a vital part of the supply chain. In fact, more than 90 percent of the worlds trade is carried by sea, according t...

Freddie Pierce
Aug 27
10 min read



Sea freight and port operations form a vital part of the supply chain. In fact, more than 90 percent of the world’s trade is carried by sea, according to the Maritime and Port Authority of Singapore. Elsewhere in this issue, industry expert Liz Wells takes a closer look at the state of the global shipping industry. In this article though, we identify the world’s five largest ports based on container traffic: Singapore (Singapore), Shanghai (China), Hong Kong (Hong Kong), Shenzhen (China) and Busan (South Korea).

1. Port of Singapore

Established in 1996, the Port of Singapore has since become a global hub port and international maritime center. The Maritime and Port Authority of Singapore is the driving force behind port operations and is responsible for regulating port activities. On average, the Port of Singapore attracts 140,000 vessel calls annually. In terms, of shipping tonnage, it is the busiest port in the world.

Vital statistics

2. Port of Shanghai

The Port of Shanghai is one of China’s most vital gateways for foreign trade, as its location suggests. Situated in the center of the country’s coastline, it sits where the Yangtse River meets the sea. According to the Shanghai International Port Group (SIPG), which operates all public terminals at the port, annual import and export trade through Shanghai accounts for a quarter of China’s total foreign trade.

Vital statistics

3. Port of Hong Kong

One of the busiest international container ports in the world, Hong Kong is the location for major cargo handling facilities. It is more commonly known as the “fragrant harbor” and is situated in close proximity to the Pearl River Delta Region. The Hong Kong Port Development Council (PDC) was started in 2003 and is focused on port planning and promotion. The port is vital to the economic growth of both Hong Kong and southern China, and handles 89 percent of Hong Kong’s total cargo throughput.

Vital statistics

4. Port of Shenzhen

Shenzhen Port is adjacent to Hong Kong and south of the Pearl River Delta. Over 30 billion Yuan was invested in the port between 1979 and 2004 in order to construct port infrastructure facilities. By 2004, cargo throughput reached 135 million tons, an increase of 20.33 percent on 2003. While the port serves the Shenzhen area and makes an important economic contribution, it is also a vital hub for Guangdong Province, South China, Hong Kong and international container transhipment.

Vital statistics
Annual handling capacity is 83.764 million tons, including 6.2 million TEUs.
The total length of the port’s coastline amounts to 22,149.7 meters.
On a monthly basis, 560 ships call at the port.

5. Port of Busan

The largest transhipment port in northeast Asia, Busan Port has been developed by Busan Port Authority (BPA) since 2004. It is located on the main trunk route and has a feeder network connecting to ports in China, Japan and Russia. The BPA has overseen the implementation of technologies such as the U-Port system and speedy screening system at the port. It is also investing heavily in overseas projects, including Russia’s Nakhodka Port and logistics projects in Hunchun and Zarubino in China.

Vital statistics
Busan Port handles over 13 million TEUs annually.
The port is deep enough to accommodate more than 10,000 TEU container vessels.
It is also in active echange with 500 ports in 100 countries.
 
Wewe unaumwa ugonjwa unaitwa jiwe!

Tangu huko juu page kwanza watu wamedai haya uliyoandika ni kwa mujibu wa mkataba uliouona au ni kwa hisia zako tu? Wewe unasema hoo umefanya research!
Kwahiyo research inawakilishwa na hisia?
Tumekwambia hakuna anaekataa kama huo mradi ni mzuri na una manufaa kwa nchi lakini ishu ni mkataba umekaa kinyonyaji ndio kilichofanya huo mradi kushindwa kuanza,!
Mimi hata ukikataa, sioni tatizo hata kidogo lakini ukatae kwa hoja kuzipinga hoja nilizoweka!!

Kung'ang'ania eti nikuoneshe mkataba ni ushahidi tosha kwamba huna hoja, kwa sababu hoja nilizoweka kuhalalisha madai yangu, zinapingika vizuri sana kwa kutumia hoja tu bila ya kutumia mkataba!!!

Kwa mfano, nimesema wazi kwamba utafiti umebaini Mchina ana kawaida ya kutaka income tax exemption! Na nimesema wazi kwamba, VAT inaweza kuwa exempted kwenye capital goods au kwenye bidhaa ambazo sheria imeshazitaja!!

Uhitaji kuona mkataba kuzipinga hizo hoja!!!!

Simple like that!
Tukikwambia hivi hoo tunamtetea jiwe! Basi wewe usiemtetea jiwe weka mkataba basi tuuone ili tuungane wote kumpnda jiwe na kudai bandari kuanza haraka! Hoo kwani Kakoko alikuwekea mkataba.?
Labda umeshasahau kwamba kuna posts angalau mbili umenituhumu kwamba kila siku mimi kazi yangu ni kumpinga Jiwe! Ukafikia hadi kusema nimeleta hii mada ili kumchafua Jiwe!!

Sasa kama lengo sio kumtetea Jiwe ni nini?! Kwenye core issue ya Bandari ya Bagamoyo hakuna popote niliopomshutumu Jiwe... sana sana nimemshutumua Kakoko na Wazalendo wa Jiwe!!

Sasa hizo habari za mara kazi yangu ni kumpinga Jiwe, mara nimeleta mada kumkashifu Jiwe... umeyatoa wapi hayo?
Sasa unataka tumwamini nani kati yako na kina Kakoko waliokuwa na mkataba wenyewe?
Sijakuambia umuamini yeyote, nimekuambia jadili hoja!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…