Nahisi nashindwa kukuelewa kwa sababu swali lako hufafanui vizuri!! Na kama ni kwa mazingira ya Tanzania, nchi za Magharibi, hususani US wamekuwa wakii-discredit BRI kwa kutumia hoja zifuatazo:-
1. BRI ni Debt Trap... kwamba, Mchina anataka kutumia mipesa yake kuzikopesha nchi mbalimbali duniani ili zikishindwa kulipa, Mchina azi-own hizo nchi; ikiwa ni pamoja na kutaka kuhodhi raslimali za nchi husika ili kufidia deni lao!
Ni kutokana na hilo, ndo maana Sri Lanka waliposhindwa kuiendesha Hambantota Port commercially, na hivyo kulazimika kuuza 70% ya hisa za Hambantota, kilichofuata hapo kutoka kwa nchi za magharibi ilikuwa "...si mnaona! Tuliwaambia"
Sasa kwa mazingira ya Tanzania kama unavyosema, unaweza kuhusisha mfano wa Hambantota Port na Bagamoyo Port endapo Bagamoyo Port itajengwa kwa mkopo, na kuiendesha sisi wenyewe!!
Sasa kama tutashindwa kuiendesha bandari kibiashara na hivyo kushindwa kulipa, si tunaweza kulazimika kumtafuta mwekezaji anayeweza kuiendesha profitably?! Hapo ndipo anapoweza kuingia Mchina, na kuamua kuiendesha Bagamoyo Port!
2. Military Bases... hii ndo hoja nyingine inayotumia na USA kwamba, lengo la Mchina kuwekeza kwenye bandari, na kuita hatua hiyo ni strictly business ni janja janja tu ya Mchina lakini lengo lake hasa ni kuweka military bases kwenye nchi husika at security risk!!
Kwa maana nyingine, anatuambia Mchina akijenga bandari pale Bagamoyo, halafu akawa anaiendesha yeye, hiyo ni one step ahead toward establishing military bases!!!
Sasa basi, kwangu hizo naziita propaganda tu kwa sababu, kimsingi wanachohofia US ni Mchina kusambaza ushawishi wake duniani! Ni kichekesho kusema Mchina anataka kuweka military bases wakati US wenyewe ndo wanaongoza kwa kuwa na military bases outside the United States!!
Si kwamba Mchina HANA nia ya kuweka hizo military bases... HELL NO!! Pale Djboouti kaweka military base pua na mdomo na military bases za US na France... sasa hiki ndicho wasichokitaka US na Washirika wake!!
Sasa njia pekee wanayoitumia US ni kutumia lugha itakayopendeza masikioni mwetu.... lugha kama "...hiyo mikopo ni debt trap" au "be careful, hiyo mikopo itahatarisha usalama wa nchi zenu" wakati US hao hao ndio wanaoongoza kudukua mawasiliano ya mataifa mengine, including mataifa ambayo ni washirika wake!
HOWEVER, hivi sasa ukifuatilia tayari wamegundua "threat card" imeshindwa kusaidia kwa sababu mataifa mengi zaidi yanaingia kwenye BRI. Ni kutokana na hilo, ndo maana nchi kama Ufaransa imeamua kutaka kurudisha mpira kwa kipa kama ilivyoandikwa kwenye website ya TV Station inayomilikiwa na serikali, yaani
France24 kwamba:-
Hiyo ni kauli ya serikali, iliyoandikwa na media ya serikali husika; serikali hiyo hiyo "inayotutetea" dhidi ya Mchina!!!
Sasa, ni kweli wanatutahadhalisha dhidi ya China, au wanatutahadhalisha ili tutekeleze ajenda yao ya kupambana na na influence ya Mchina?
What about the United States?
Mchambuzi mmoja wa Kimarekani anaandika kwenye
Jarida la Fortune kwamba:-
Kisha anaendelea:-
Nimemfuatilia huyo Mchambuzi, ana makala kwenye magazeti yote makubwa ya ughaibuni unayoyafahamu, lakini hapo kwenye RED anazungumza wazi ni namna gani Trump Administration imetumia miaka 4 kututahadhalisha ni namna BRI ilivyo Zimwi kwenye ngozi ya kondoo... na hapo ametumia neno SULLY!
Mchambuzi huyo anaendelea:-
Kisha anakumbusha kauli mbalimbali za viongozi wa Marekani katika kampeni yao ya ku-discredit BRI, kwamba:-
Nadhani jana niligusia suala la mataifa ya magharibi kuanza kuisaliti US kwenye kampeni zake dhidi ya BRI, na hapo juu Italy unaiona!! And it's a matter of time kabla washirika wake wengine hawajamsaliti kwa sababu ukweli mchungu ni kwamba, katika dunia ya leo unaweza kumkwepa Mmarekani lakini sio Mchina!!
Hapa chini jamaa anapigilia msumari:-
Sasa unaweza kuhoji tena in relation to Bandari ya Bagamoyo!!! Jibu la hilo lipo kwenye ufunguzi wa thread yangu kwamba:-
Kwamba, kwavile USA wanaiona BRI Threat kwa upande wao, basi tutarajie mengi mabaya yatasemwa yatakayotokana na miradi ya BRI!! Mengine ni ya kweli na mengine ni proganda!!
Wapiga propaganda wa magharibi wataandika hili na lile, na kisha miongoni mwetu tutayadaka bila kuyafanyia uchunguzi na kudadisi undani wake!!!
Na ukweli mchungu ni kwamba, ukaribu wa Tanzania na Uchina unaweza kuitisha zaidi US pengine kuliko possible investment ya nchi yoyote!!!
So, the question is: Kama kuna wapuuzi wanaosema watu aina yangu tumenunuliwa na Mchina, au tuna maslahu binafsi; what kama ni wao wenyewe ndio wamenunuliwa na hao Mabeberu ili kutishia watu wauogope mradi?!
And REMEMBER... hapa wala simaanishi kwamba ile framework agreement (sio MKATABA, ingawaje watu wanazugumzia mkataba) ni bora... LA HASHA, na ndo maana kwenye thread yangu nimeacha sehemu kwa ajili ya RECOMMENDATION!!
Binafsi, nina mengi ya kueleza kwenye financial aspects ya mradi kama vile jinsi ya ku-handle masuala ya kodi, na mambo mengine yenye maslahi kwetu, including muda wa ku-operate (from Build Operate Transfer Scheme)!!!
Hivi sasa naifanyia personal research Islamic Build Operate Transfer Scheme!!!