Uchaguzi 2020 Mabeberu wameitikisa nchi, ajenda yao kuu ni kumuweka Tundu Lissu madarakani

Uchaguzi 2020 Mabeberu wameitikisa nchi, ajenda yao kuu ni kumuweka Tundu Lissu madarakani

Mna bidii kubwa ya kuokoteza vihoja baada ya hoja ya madaraja kushindwa.
Nyie mkiongozwa na shetani ndio mliyosabisha aende ughaibuni, kama dhambi ni yenu na mliyowashangilia kwa kutaka kumuua.
Mliivuna wenyewe.
Lissu ndie mzalendo wa kweli, Mungu amelinda uhai wake na amempa fursa ya kuja kulithibitisha kwa kuikomboa nchi yetu.
BADO kitambo kidogo tu hilo litatimia
AMEN
Mkuu, hakuna mzalendo pale, yule kibaraka hana lolote.
 
Jiwe kajenga kanisa Ikulu..huyu dikteta lazima aondolewe asichekewe kabisa
 
Ndugu Watanzania,

Kipekee napenda kumshukuru Mungu kwa kuniamsha salama.

Sasa naanza kuona kwa vitendo kitu ambacho nilitumia my mental image na kuona kuwa nchi fulani zitaingilia uchaguzi wetu huu na viashiria vimeanza kuonekana sasa. Kitendo cha nchi yetu kukaa kwa takribani mwezi mmoja na kitu au miwili kwenye uchumi wa kati, ni njama tu ya kuitikisa nchi yetu kuelekea kwenye uchaguzi mkuu. Samba mba na hilo, na hii imetokea tu baada ya kuanza kusikika kwa tetesi za kwamba, jina la Tundu Lissu linaelekea kukatwa na tume ya uchaguzi, na tumeiona barua ya mabeberu wanaoumtetea Tundu Lissu Amsterdam and Partners LLP.

Kama ulikuwa unamfuatilia Tundu Lissu tangu arudi nchini, amekuwa akitoa maneno ya kutisha na kuonyesha jeuri kubwa sana kwa serikali. Kwa mfano, kama TL ameweza kuwapata wadhamini kutoka Zanzibar bila ya kwenda kufanya mikutano ya hadhara visiwani kule, swali la kujiuliza hapa ni kwamba, mikutano aliyokuwa anaifanya huku Tanzania bara ilikuwa na lengo gani zaidi ya kuonyesha ubabe zidi ya NEC? Hii jeuri aliyonayo huyu ndugu inatoka kwa hawa mabeberu na si vinginevyo.

Aidha, kutikiswa huku kumeanza kuweka wazi wazi kuwa Tundu Lissu ni mgombea wa namna gani na mabeberu wanataka nini hasa kwenye uchaguzi huu. Naona mambo haya: (1) Tundu Lissu ni mgombea aliyeandaliwa na mabeberu ili aweze kumng’oa madarakani Mh. Magufuli; (2) hata kama Mh. Magufuli atashinda, Chadema hawatakubali, na mabeberu watawasaidia kwa namna yoyote ile ili kuleta taharuki baada ya uchaguzi mkuu.

Katika bara la Afrika, maraisi wa namna ya Mh. Magufuli ambao ni wazalendo kweli kweli katika nchi zao, na hufanya kila namna kulinda maliasili za nchi zidi ya uporaji wa mabeberu, huchukiwa sana na watu hawa. Tumeziona juhudi za Mh. Raisi kwa miaka hii mitano katika kuipigania nchi hii. Katika uchaguzi huu, jamaa hawa watafanya kila mbinu ili wamung’oe Mh. Raisi madarakani na kumuweka Tundu Lissu ili kuitumiza malengo yao. Ndugu watanzania wenzangu, nchi yetu imeanza kutikiswa, nawasihi tuiombee nchi yetu na Mh. Raisi pia ili Mungu ampe hekima na busura na nguvu ya kutuvusha salama dhidi ya mpango huu ovu. Kama Mungu alituvusha salama kwenye janga la Korona, naamini atatuvusha tena kwenye uchaguzi huu.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu.

Maneno Mengi ukiambiwa uwataje mabeberu hujui😂 kama unajua wataje maana mabeberu ni madume ya mbuzi na hii lugha ni ya miaka ya 1970’s. Ina maana Tanzania ni mbuzi jike?
 
Lissu ni jipandikizi remote iko Ulaya so tukimpa anachotaka tumeuza Taifa hili, but as long as bado kuna wazalendo wapambanaji Lissu tutapiga mahala pamoja tu na atatulia kimyaaa kabisa
 
Ndugu Watanzania,

Kipekee napenda kumshukuru Mungu kwa kuniamsha salama.

Sasa naanza kuona kwa vitendo kitu ambacho nilitumia my mental image na kuona kuwa nchi fulani zitaingilia uchaguzi wetu huu na viashiria vimeanza kuonekana sasa. Kitendo cha nchi yetu kukaa kwa takribani mwezi mmoja na kitu au miwili kwenye uchumi wa kati, ni njama tu ya kuitikisa nchi yetu kuelekea kwenye uchaguzi mkuu. Samba mba na hilo, na hii imetokea tu baada ya kuanza kusikika kwa tetesi za kwamba, jina la Tundu Lissu linaelekea kukatwa na tume ya uchaguzi, na tumeiona barua ya mabeberu wanaoumtetea Tundu Lissu Amsterdam and Partners LLP.

Kama ulikuwa unamfuatilia Tundu Lissu tangu arudi nchini, amekuwa akitoa maneno ya kutisha na kuonyesha jeuri kubwa sana kwa serikali. Kwa mfano, kama TL ameweza kuwapata wadhamini kutoka Zanzibar bila ya kwenda kufanya mikutano ya hadhara visiwani kule, swali la kujiuliza hapa ni kwamba, mikutano aliyokuwa anaifanya huku Tanzania bara ilikuwa na lengo gani zaidi ya kuonyesha ubabe zidi ya NEC? Hii jeuri aliyonayo huyu ndugu inatoka kwa hawa mabeberu na si vinginevyo.

Aidha, kutikiswa huku kumeanza kuweka wazi wazi kuwa Tundu Lissu ni mgombea wa namna gani na mabeberu wanataka nini hasa kwenye uchaguzi huu. Naona mambo haya: (1) Tundu Lissu ni mgombea aliyeandaliwa na mabeberu ili aweze kumng’oa madarakani Mh. Magufuli; (2) hata kama Mh. Magufuli atashinda, Chadema hawatakubali, na mabeberu watawasaidia kwa namna yoyote ile ili kuleta taharuki baada ya uchaguzi mkuu.

Katika bara la Afrika, maraisi wa namna ya Mh. Magufuli ambao ni wazalendo kweli kweli katika nchi zao, na hufanya kila namna kulinda maliasili za nchi zidi ya uporaji wa mabeberu, huchukiwa sana na watu hawa. Tumeziona juhudi za Mh. Raisi kwa miaka hii mitano katika kuipigania nchi hii. Katika uchaguzi huu, jamaa hawa watafanya kila mbinu ili wamung’oe Mh. Raisi madarakani na kumuweka Tundu Lissu ili kuitumiza malengo yao. Ndugu watanzania wenzangu, nchi yetu imeanza kutikiswa, nawasihi tuiombee nchi yetu na Mh. Raisi pia ili Mungu ampe hekima na busura na nguvu ya kutuvusha salama dhidi ya mpango huu ovu. Kama Mungu alituvusha salama kwenye janga la Korona, naamini atatuvusha tena kwenye uchaguzi huu.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu.
Hawa mabeberu wafanye haraka kutuondolea huyu kifaruhande!
 
Misaada ? Unajua maana ya msaada?
Misaada ni ile huombwa na CCM kwa wazungu na kuwaita wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu wa CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike
 
Ndugu Watanzania,

Kipekee napenda kumshukuru Mungu kwa kuniamsha salama.

Sasa naanza kuona kwa vitendo kitu ambacho nilitumia my mental image na kuona kuwa nchi fulani zitaingilia uchaguzi wetu huu na viashiria vimeanza kuonekana sasa. Kitendo cha nchi yetu kukaa kwa takribani mwezi mmoja na kitu au miwili kwenye uchumi wa kati, ni njama tu ya kuitikisa nchi yetu kuelekea kwenye uchaguzi mkuu. Samba mba na hilo, na hii imetokea tu baada ya kuanza kusikika kwa tetesi za kwamba, jina la Tundu Lissu linaelekea kukatwa na tume ya uchaguzi, na tumeiona barua ya mabeberu wanaoumtetea Tundu Lissu Amsterdam and Partners LLP.

Kama ulikuwa unamfuatilia Tundu Lissu tangu arudi nchini, amekuwa akitoa maneno ya kutisha na kuonyesha jeuri kubwa sana kwa serikali. Kwa mfano, kama TL ameweza kuwapata wadhamini kutoka Zanzibar bila ya kwenda kufanya mikutano ya hadhara visiwani kule, swali la kujiuliza hapa ni kwamba, mikutano aliyokuwa anaifanya huku Tanzania bara ilikuwa na lengo gani zaidi ya kuonyesha ubabe zidi ya NEC? Hii jeuri aliyonayo huyu ndugu inatoka kwa hawa mabeberu na si vinginevyo.

Aidha, kutikiswa huku kumeanza kuweka wazi wazi kuwa Tundu Lissu ni mgombea wa namna gani na mabeberu wanataka nini hasa kwenye uchaguzi huu. Naona mambo haya: (1) Tundu Lissu ni mgombea aliyeandaliwa na mabeberu ili aweze kumng’oa madarakani Mh. Magufuli; (2) hata kama Mh. Magufuli atashinda, Chadema hawatakubali, na mabeberu watawasaidia kwa namna yoyote ile ili kuleta taharuki baada ya uchaguzi mkuu.

Katika bara la Afrika, maraisi wa namna ya Mh. Magufuli ambao ni wazalendo kweli kweli katika nchi zao, na hufanya kila namna kulinda maliasili za nchi zidi ya uporaji wa mabeberu, huchukiwa sana na watu hawa. Tumeziona juhudi za Mh. Raisi kwa miaka hii mitano katika kuipigania nchi hii. Katika uchaguzi huu, jamaa hawa watafanya kila mbinu ili wamung’oe Mh. Raisi madarakani na kumuweka Tundu Lissu ili kuitumiza malengo yao. Ndugu watanzania wenzangu, nchi yetu imeanza kutikiswa, nawasihi tuiombee nchi yetu na Mh. Raisi pia ili Mungu ampe hekima na busura na nguvu ya kutuvusha salama dhidi ya mpango huu ovu. Kama Mungu alituvusha salama kwenye janga la Korona, naamini atatuvusha tena kwenye uchaguzi huu.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu.

Utakuwa umewaza na kufikiri vibaya, tundu na mabeberu wake hawawezi fanya chochote.
Kula bata mkuu, kupigwa anapigwa na maisha yataenderea!
Nakwataarifa yko yy ameshaanza kampeni tayari na wananchi tayari hawatakuwa na ham naye tena maana walitaka kumuona tu nasera zake nikueleza alivyopugwa lisasi2 hana sera!!
Kifupi hyo saivi ni chizi.
 
Pesa inayotumika kuwahujumu kuwadhoofisha chadema ni pesa nyingi sana na endapo CCM wangekuwa waneitumia kuleta maendeleo mda huu Tanzania ingekuwa ni mbali sana kimaendeleo
 
Utakuwa umewaza na kufikiri vibaya, tundu na mabeberu wake hawawezi fanya chochote.
Kula bata mkuu, kupigwa anapigwa na maisha yataenderea!
Nakwataarifa yko yy ameshaanza kampeni tayari na wananchi tayari hawatakuwa na ham naye tena maana walitaka kumuona tu nasera zake nikueleza alivyopugwa lisasi2 hana sera!!
Kifupi hyo saivi ni chizi.
CCM wameanza kampeni tokea mwaka2016 magufuli mtukufu amekuwa akigawa pesa vyeo na kufanya mikutano licha ya kuvipiga marufuku vyama vingine kufanya mikutano ya siasa, juzi juzi mtukufu akiwa Rufiji alifanya kampeni kwa kununua jogoo kwa tshs laki moja na kumpa Rushwa mzee ya kumuoa mama yake mzazi, CCM mkienda kuomba omba misaada ulaya huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu wenu CCM mnageuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike.
 
CCM acheni kuwaita wanaume wenzenu mabeberu kwani nyinyi CCM ni mbuzi jike?
 
Heri hata kutawaliwa na mabeberu tukajua tuko kwenye ukoloni. Tujiulize wanasiasa wangapi walikufa Tanganyika wakipigania uhuru kutoka kwa mwingereza na wanasiasa wangapi wamekufa Tanzania wakipigania democrasia 2016 -2020!
 
Tunamtaka Tundu Lissu, hatutaki kusikia kitu kingine. Tumewachoka hawa kijani.. Watanzania walidhaniwa kuwa ni wajinga, hawaoni, wanaweza kupelekwa kama mang’ombe tu.. sasa aibu imewapata Jiwe na watu wake. Watu walidhani miaka 5 ni mingi.. kikowapi?! Sisi ndio tunawaweka, na sisi tunawang’oa. Sasa ni Lissu tu, kwa miaka 10 ijayo. Historia inaenda kuandikwa Tanzania.
 
Back
Top Bottom