Uchaguzi 2020 Mabeberu wameitikisa nchi, ajenda yao kuu ni kumuweka Tundu Lissu madarakani

Lijuakali alielezea nani mwizi wa kura
 
1. Futa kesi....
Raisi aingilie mahakama ama mnaishauri mahakama?
Na kwa order gani labda ama utaratibu gani?

 
Mtanzania wa leo sio wa mwaka 1987 wengi wao wanajitambua! Ni yeye lissu tu
 
Mm kama itatokea hivyo nitamshukuru sana mungu itakuwa asante mungu nikikumbuka walivyo niacha masikini kupitia uvuvi mpaka leo engine zangu wameziteka walivyo kuja walituomba tuwaonyeshe nyavu zetu iliwazikague tulifanya walichotaka matokeo yake walizichoma bila kuzipima nakuteka engine wanadai tuwalipe pesa ndio tupate engine zetu kwenye vituambavyo tulisalimisha vipimwe huu uchomaji unatoka wapi bila kupima na kuteka engine zetu kwakweli ikitokea utawala kutolewa binafsi nitamshukuru mungu anaetupenda
 
1. Futa kesi....
Raisi aingilie mahakama ama mnaishauri mahakama?
Na kwa order gani labda ama utaratibu gani?


Uzi huu unajieliza vyema:

Pongezi Sirro, Mahakama na Tume ya Uchaguzi kazi kwenu.

Nani asiyejua uhuru wa vyombo vinavyosemekana kuwa ni huru unavyoingiliwa na mamlaka na hasa katika awamu hii?

Ndiyo maana ni kiu ya wengi kuona kuwa mgombea ajaye ni yule:



Na si huyu anayetumia dola kwa namna yoyote ile (zikiwamo janja janja na hata ghiliba) ili kubakia madarakani:



Safari hii tutabanana hapa hapa.

Sera ziko wapi kuhusu "uhuru wetu?"

Hapendwi mtu hapa!
 
Chorus: tumeibiwa kura...[emoji3][emoji3]
 
hakuna Cha mzalendo Wala nn tofauti yake kubwa na watangulizi wake ni kwamba yy anakula peke yake hataki wengine wale,tunazidi kurud nyuma kwa speed endelea kuwaita mabeberu wanaotusaidia mpk arv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…