Huyu wa kwangu anachizika na muuza butcher c mchezo
Anajua maana sijui ht km aliweza kuwaelezea ndugu zake kilichompata lkn mpk Leo sijaona dalili za kijana yyt kuja home kwangu, nilitoa somo kwa vijana mtaaniHehe ulimfanyaje dogo wa watu
Yaani hawa wadada wakishapata simu ni shida tupu .wanaongea kuliko customer care wa tigo.
Kuwapa simu inakuwa shida.
Tutawaachaje nyumbani na watoto bila simu Sasa?
Yaani hata ukimtafuta simu iko busy hapatikani.wanaongeaga na Nani jamani?
Hongera sana.. 1Unanionaje mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeMimi wangu ananiblock. Kuna kipindi kama 3 days nikimpigia yuko busy. Nikajua atakua busy kwenye kuongea kama kawaida yake. Kushika simu yake nitafute tatizo si ndo nikajua kaniblock. Nikatoa block Jana nampigia tena yuko busy. Nilikasirika ila sikua na namna maana haiwezekani aniblock bahati mbaya ni kwamba hataki simu zangu
Mimi wangu ananiblock. Kuna kipindi kama 3 days nikimpigia yuko busy. Nikajua atakua busy kwenye kuongea kama kawaida yake. Kushika simu yake nitafute tatizo si ndo nikajua kaniblock. Nikatoa block Jana nampigia tena yuko busy. Nilikasirika ila sikua na namna maana haiwezekani aniblock bahati mbaya ni kwamba hataki simu zangu
Yaani hawa wadada wakishapata simu ni shida tupu .wanaongea kuliko customer care wa tigo.
Kuwapa simu inakuwa shida.
Tutawaachaje nyumbani na watoto bila simu Sasa?
Yaani hata ukimtafuta simu iko busy hapatikani.wanaongeaga na Nani jamani?
[/QUOTEmtafutie laini ya titisii-elo........
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kwenye huu Uzi hata mtu anayeishi kwa shemeji yake atajifanya naye "home"kwake ana "mahousegirl "
Hahahaha ebu tudokezee kdgAnajua maana sijui ht km aliweza kuwaelezea ndugu zake kilichompata lkn mpk Leo sijaona dalili za kijana yyt kuja home kwangu, nilitoa somo kwa vijana mtaani
Mimi wangu ananiblock. Kuna kipindi kama 3 days nikimpigia yuko busy. Nikajua atakua busy kwenye kuongea kama kawaida yake. Kushika simu yake nitafute tatizo si ndo nikajua kaniblock. Nikatoa block Jana nampigia tena yuko busy. Nilikasirika ila sikua na namna maana haiwezekani aniblock bahati mbaya ni kwamba hataki simu zangu
[emoji3][emoji3][emoji3]Kwenye huu Uzi hata mtu anayeishi kwa shemeji yake atajifanya naye "home"kwake ana "mahousegirl "
Hata hilo jina kwenye avatar yako Beberu Mwitu unastahili Mkuu hongeraDawa ni moja tu, kwa yeyote yule alie mwanaume ukiweka mdada wa kazi anza kumgonga mwenyewe kabla hivi vinyoa viduku hawajaanza kumpelela sokoni maana hapo wakishaanza kumgonga tu ndio basi [emoji16][emoji16][emoji16]
Hahaaa...atajua mwenyewe muache aibiwe akipata mimba namrudisha kwao[emoji7] Watakaiba tu maana watu sio wema kwa kweli
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]jamani kaahBora huyo wako ataleta utumbo nyumbani mchemshe supu
Jamani kahurumie nenda kalete kabaya hako karudishe kabla mambo hayajawa mambo [emoji1787][emoji1787]Hahaaa...atajua mwenyewe muache aibiwe akipata mimba namrudisha kwao
yes ndio tufanye kazi kwa bidii na tuache kuajiri vitoto (12 - 17), tunavitumikisha balaa.......kuna taasisi ipo,,, just for hire wasaidizi...Wa majuu huwezi kumudu full time yaani mshahara wake ukimlipa na wako unaisha kabisa hakibaki kitu
Wao wamesomea hii kazi na kumuajiri kiwango chake bora uhangaike na wanao tu
Mkuu usitudharirishe wanyoa viduku,,,, tunakuwa na akil tukiwa na vijogoo kwa kichwa ujue,,Yani uyu wa kwangu alikuwa yupo free sana, sasa kuna vinyoa viduku havina mbele wala nyuma vinamdanganya