Vitengo vya elimu vya mabenki,watoe elimu ya kutosha kwa wananchi ili wale wateja ambao hawana ulazima wa kuingia ndani ya benki,waende kwa mawakala mbalimbali,wahudumiwe huko.
Kutokua na elimu ya haya mambo,ndiyo kunafanya muda mwingine,mtu ana laki tano,laki,elfu hamsini,amepanga foleni sawa na wale wenye bulk cash,wakati angeondoa jam,kwa kwenda kwa mawakala ambao wanaongezeka kila kukicha.Mengine ya uzembe,nadhani ni nature yetu,hasahasa pale mwajiri anapofanya gender balance,analazimika kuajiri wadada,na HR hapo anaajiri wenye makalio makubwamakubwa,ambao baadhi yao,kama yeye ni mwanaume,anaanza kuwamega,mwisho wa siku,uwajibikaji unaathirika.Samahani,kwa uzoefu wangu,wadada wenye mashepu,maranyingi hutingwa na kazi nyingi,na wanajua hilo,kila mtu anamtaka,tako ndiyo kinga.