Mabenki ya kitanzania, madirisha 5 ya kutoa huduma, Wahudumu Wawili tu, mmoja yupo muda wote mwengine anaingia na kutoka muda wote

Mabenki ya kitanzania, madirisha 5 ya kutoa huduma, Wahudumu Wawili tu, mmoja yupo muda wote mwengine anaingia na kutoka muda wote

kuna benki zina madirisha hadi 8 ila hali ipo hivi hivi

Yaani kwenye mabenki yetu haya uje kukuta madirisha yote yana tellers ni kama muujiza hivi, Nakumbuka zamani nikiwa chuoni nimetumiwa ada usiku niende kulipia asubuhi niliponea chupu chupu nisifanye mtihani isingekuwa huruma ya waliopanga foleni kuniruhusu nilipie ada niende kufanya pepa.

Hapa bongo watu wanakwepa sana uwajibikaji wa kukamilisha majukumu yao ya kwenye mikataba ya ajira, wengi wapo kusubiria mishahara tu na kuzuga zuga ofisini waonekane wapo, ukiwakuta wanawajibika basi kuna chances kubwa kwamba kuna mwanya wa upigaji hususani rushwa ama kuibia wateja pesa.

Ni bure kabisa hata elimu wanayosomea vyuoni haina msaada, Kwenye masomo kama operations research / Quantitative methods kuna somo la queuing linahusu haya mambo lakini unabaki kushangaa tu kanakwamba somo hilo ni kama pambo kwenye vyeti.
Umeandika ukweli mtupu.
 
Hayo matatu moja ni kwa ajili ya cheque tu labda muwe mnafahamiana.
Yaani kwenda bank ni hadi uage kwani unaweza kuishia kutumia karibia nusu siku
Nahisi kuna viongozi kule Bank wana vyeo ila hawajui maana yake; kwa nini wasiwe wanaongeze Cashier madirishaji watu wakiongezeka na kupunguza watu wakipungua?
Ushauri: Badala ya kulipa overtime inayosababishwa na kucheleweshwa kwa huduma, wangetumia hiyo overtime allowance kuajiri wafanyakazi wengine hasa cashiers
 
  • Thanks
Reactions: EEX
kuna benki zina madirisha hadi 8 ila hali ipo hivi hivi

Yaani kwenye mabenki yetu haya uje kukuta madirisha yote yana tellers ni kama muujiza hivi, Nakumbuka zamani nikiwa chuoni nimetumiwa ada usiku niende kulipia asubuhi niliponea chupu chupu nisifanye mtihani isingekuwa huruma ya waliopanga foleni kuniruhusu nilipie ada niende kufanya pepa.

Hapa bongo watu wanakwepa sana uwajibikaji wa kukamilisha majukumu yao ya kwenye mikataba ya ajira, wengi wapo kusubiria mishahara tu na kuzuga zuga ofisini waonekane wapo, ukiwakuta wanawajibika basi kuna chances kubwa kwamba kuna mwanya wa upigaji hususani rushwa ama kuibia wateja pesa.

Ni bure kabisa hata elimu wanayosomea vyuoni haina msaada, Kwenye masomo kama operations research / Quantitative methods kuna somo la queuing linahusu haya mambo lakini unabaki kushangaa tu kanakwamba somo hilo ni kama pambo kwenye vyeti.
Peleka malalamiko haya vilevile kwa meneja husika wa branch. Hii ingesaidia kushughulikia malalamiko yako kwa haraka zaidi
 
Akili za kipumbavu, unawaza mameneja wote wanaume Malaya na tellers wote ni wanawake Malaya.
Yaani hakuna meneja mwanamke wala teller mwanaume.
Wewe ndio utakua mpumbavu kama ni mwanaume wew shoga kama mwanamke basi wew malaya... Huna exposure unajitia ujuaji
 
Back
Top Bottom