Mabere Nyaucho Marando yupo wapi?

Mabere Nyaucho Marando yupo wapi?

Kwa kuwa wananchi wengi wamejiweka mbali na siasa imekuwa rahisi kwa ccm kuanzisha vyama na kupandikiza watu wao ndani ya vingine!
Huyo Marando pamoja na mzee wa Kiraracha na Masumbuko Lamwai walikuwa ni sehemu ya task force ya CCM kuua upinzani na vizazi vijavyo vya upinzani.

Hao watatu wangeamua kula yamini na kuuimarisha upinzani CCM isingekuwa madarakani kwa kipindi fulani.

Ila tayari walikuwa wameishakunywa maji ya bendera ya CCM na kula kile kiapo maalum cha utii kwa taifa.
 
NCCR kilianzishzwa na Marandu mwenyewe. Atakuwaje pandikizi kwenye chama alichoanzisha yeye mwenyewe? Nina bahati ya kuwa mmoja wa waliohudhuria mkutano wa NCCR wa kwanza kabla hakijawa chama cha NCCR-Mageuzi
Mkutano mkuu wa kwanza wa kampeni wa NCCR walifanya Mbeya na mimi nilikuwapo pale napita naelekea Tunduma.

Mkutano ulifanyika uwanja wa Sokoine.

Kwa jinsi maandalizi, matayarisho na mkutano wenyewe ulivyokuwa umeratibiwa ( na Mwang’onda alikuwa kule) niliishabaini kuwa hawa watatu Mrema, Lamwai na Marando ni special branch.

Hawa wote watatu walikuwepo na walikuwa na kitu twasema “very commanding performance”
 
NCCR kilianzishzwa na Marandu mwenyewe. Atakuwaje pandikizi kwenye chama alichoanzisha yeye mwenyewe? Nina bahati ya kuwa mmoja wa waliohudhuria mkutano wa NCCR wa kwanza kabla hakijawa chama cha NCCR-Mageuzi
Kukaa karibu na Mahakama siyo kujua sheria.Marando na Mrema walikuwa watu wa system kudhoofisha upinzani!!
 
Mkutano mkuu wa kwanza wa kampeni wa NCCR walifanya Mbeya na mimi nilikuwapo pale napita naelekea Tunduma.

Mkutano ulifanyika uwanja wa Sokoine.

Kwa jinsi maandalizi, matayarisho na mkutano wenyewe ulivyokuwa umeratibiwa ( na Mwang’onda alikuwa kule) niliishabaini kuwa hawa watatu Mrema, Lamwai na Marando ni special branch.

Hawa wote watatu walikuwepo na walikuwa na kitu twasema “very commanding performance”
Umesahau kusema pia wewe ulikuwa ni junior officer .

Ulikuwa upo kazini pia hizo lugha zenu [kupita/nilikuwepo] wengine tunazijua maana pia tulikuwepo kuwepo pia.
 
Umesahau kusema pia wewe ulikuwa ni junior officer .

Ulikuwa upo kazini pia hizo lugha zenu [kupita/nilikuwepo] wengine tunazijua maana pia tulikuwepo kuwepo pia.
Mkuu hapana wakati huo ndo nilikuwa nimeanza biashara ya mitumba naitoa Kariakoo napeleka Tunduma.

Pale Mbeya pana hoteli ya Mbeya ipo karibu na uwanja wa Sokoine, hivyo nikivyosikia pana mkutano nikaenda kushuhudia.

Mie mjasiriamali wa kawaida.
 
Huyu ni mmoja ya Miamba ya siasa kakamavu. Ni jasusi , ni msomi, ni mtu karba ya Tundu Lissu.

Inasikitisha hatupo naye tena kwenye Siasa. Najiuliza alipatwa na nini? Amechoka? Yu mgonjwa? Ni hasara sana kwa Taifa kupoteza watu kama hawa halafu kuwa na akina Nape, Januari na .... .
Jasusi ni jasusi tu
Kazi yake alishaikamilisha
 
Kisukari kilimpiga sana
Nakumbuka kuna wakati
Nlikuwa nakutana naye sana
Kwenye garage fulani,tukiwa tunafanya service Nissan patrol
Zetu..yeye alikuwa na Nissan patrol short chasses kama mimi na wote tulikuwa wapenzi wa magari hayo,basi hapo ndipo tukawa washkaji

Ova


Wewe mdogo sana dunia hii, unafanya ushikaji na shushushu..!! Jiangalie
 
Mabere marando ni over rated hata lile tukio la tamimu hakulicheza yeye ulizieni mtabe mnyama mwitu aliyekuwa anaitwa Cornel Apson Mwangonda mtu wa mbozi mbeya ndio alikuwa mkuu wa operation hatari za teeth including hiyo ya tamimu.
Wewe ndio unachanganya madesa kabisa. Marando ni wakili msomi. Siasa za mwanzo za vyama vingi yeye na dr Lamwai ndio waliokuwa wagonga nyundonkama ilicyo kwa Lissu na Mwabukusi kwa sasa.
Hizo issu za mapinduzi marando hausiki.
 
Mkutano mkuu wa kwanza wa kampeni wa NCCR walifanya Mbeya na mimi nilikuwapo pale napita naelekea Tunduma.

Mkutano ulifanyika uwanja wa Sokoine.

Kwa jinsi maandalizi, matayarisho na mkutano wenyewe ulivyokuwa umeratibiwa ( na Mwang’onda alikuwa kule) niliishabaini kuwa hawa watatu Mrema, Lamwai na Marando ni special branch.

Hawa wote watatu walikuwepo na walikuwa na kitu twasema “very commanding performance”
Mkutano wa kwanza wa NCCR uolikuwa umehusisha zaidi wanasheria na wanazuoni ulifanyika IFM siyo Mbeya. Mkutano wenyewe ndio ulioitwa NCCR - yaani the National Convention for Construction and Reform. Ajenda mojawapo kubwa ya mkutano huo ilikuwa ni kutaka mfumo wa siasa nchi ugeuzwe a kutoka ule wa chama kimoja kuwa wa vyama vingi vyenye itikadi mbalimbali kwa vile nchi haikuwa ya itikadi ya ujamaa tena baada ya Azimio la Zanzibar. Mkutano huu ulifanyika mwaka 1990 kabla vyma vingi havijaruhusiwa Tanzania,
 
Wewe ndio unachanganya madesa kabisa. Marando ni wakili msomi. Siasa za mwanzo za vyama vingi yeye na dr Lamwai ndio waliokuwa wagonga nyundonkama ilicyo kwa Lissu na Mwabukusi kwa sasa.
Hizo issu za mapinduzi marando hausiki.
Tukio la command Tamim ,Marando alikuwa mmoja wa watu wa walioenda kumkamata na kipigo walicheza kabla ya kumuua
 
NCCR kilianzishzwa na Marandu mwenyewe. Atakuwaje pandikizi kwenye chama alichoanzisha yeye mwenyewe? Nina bahati ya kuwa mmoja wa waliohudhuria mkutano wa NCCR wa kwanza kabla hakijawa chama cha NCCR-Mageuzi
Mzee Kichuguu inawezekana kwa kujua au kutokujua,kwa urafiki au mapenzi yako kwake.
Sitaki kuamini kuwa wewe haujui kuwa mifumo ya kijamaa huruhusu siasa za upinzani bandia.
Natumai unajua kabisa Marando alikuwa na kazi maalumu Nccr mageuzi na sijui kwanini umeandika hivyo,sawa ni uhuru wako.
 
Wewe mdogo sana dunia hii, unafanya ushikaji na shushushu..!! Jiangalie
Haha haha
Nmekulia mitaa jirani na ngano
Pinda anaishi hapo nyumba ya kona namuona
Nikaja kukaa jirani na kwa mzena baba Freddie na kwake nlikuwa natimba ada estates hadi lile 505 lake ashatuachia sana kupiga round
Haya akaja mzee mwangonda hadi anakuwa mkurugenzi kwake tumetimba maana watoto zake tulikuwa tunafahamiana
Mabere mbona kwenye stori za kawaida alikuwa fresh tu

Ova
 
Back
Top Bottom