CCM MKAMBARANI
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 2,031
- 1,514
Sahihi,Nyaucho ni pandikizi,sukrani.Hapana, NCCR haikuanza kama chama cha bandia. NCCR ulikuwa mkutano tu wa wanasheria kudai mfumo wa vyama vingi. Baada ya vyama vingi kukubaliwa ndipo chama cha NCCR-Mageuzi kikaanzishwa na wale waliokuwa wahuhudhuriaji wa makomngamano hayo ya NCCR. Watu kama Masumbuko Lamwai, Profesa Baregu, Kasanga Tumbo,James Maparara na Chief Fundikira, hawakuwa mapandikizi wa CCM