Haha haha
Nmekulia mitaa jirani na ngano
Pinda anaishi hapo nyumba ya kona namuona
Nikaja kukaa jirani na kwa mzena baba Freddie na kwake nlikuwa natimba ada estates hadi lile 505 lake ashatuachia sana kupiga round
Haya akaja mzee mwangonda hadi anakuwa mkurugenzi kwake tumetimba maana watoto zake tulikuwa tunafahamiana
Mabere mbona kwenye stori za kawaida alikuwa fresh tu
Ova
Umeenda chaka, mdau anaulizia kapotelea wapi bwana Mabere wewe unaleta story nyingineMabere marando ni over rated hata lile tukio la tamimu hakulicheza yeye ulizieni mtabe mnyama mwitu aliyekuwa anaitwa Cornel Apson Mwangonda mtu wa mbozi mbeya ndio alikuwa mkuu wa operation hatari za teeth including hiyo ya tamimu.
Hahha wewe dogo huna adabuSidhani kama atahitaji chawa, yule ni high profile, mtafute faiza foxy mkasukume gurudumu la uchawa
HahaOk, kumbe ile kuzoeana ukaona poa tu, fresh tu, ila nakushauri uwe na masikio matatu na macho matatu na uogope, sbb kwa level za hao wakubwa wanajulikana, hivyo kaa chonjo uwe na masikio matatu na macho matatu, acha mazoea
Mbona mbowe ndio snitch no 1Huyu ni snitch aka grass
akafe mbele hana umuhimu wowote
Mbowe ndio nani?Mbona mbowe ndio snitch no 1
Siku mlikua ukweli mtajiona mlivyo pumbu za mbwa
Hii nchi mpinzani wa kweli alishakufa kwenye Premio
Kuna kipindi alikuwa ana sali pale kwa Nabii Suguye ,Matembele ya PiliAlipooza.Yaani anafanyiwa kila kitu.Analishwa,anaoshwa ,anavalishwa nguo,ananyolewa mpaka nywele za sehemu za siri.
Hapana, NCCR haikuanza kama chama cha bandia. NCCR ulikuwa mkutano tu wa wanasheria kudai mfumo wa vyama vingi. Baada ya vyama vingi kukubaliwa ndipo chama cha NCCR-Mageuzi kikaanzishwa na wale waliokuwa wahuhudhuriaji wa makomngamano hayo ya NCCR. Watu kama Masumbuko Lamwai, Profesa Baregu, Kasanga Tumbo,James Maparara na Chief Fundikira, hawakuwa mapandikizi wa CCMMzee Kichuguu inawezekana kwa kujua au kutokujua,kwa urafiki au mapenzi yako kwake.
Sitaki kuamini kuwa wewe haujui kuwa mifumo ya kijamaa huruhusu siasa za upinzani bandia.
Natumai unajua kabisa Marando alikuwa na kazi maalumu Nccr mageuzi na sijui kwanini umeandika hivyo,sawa ni uhuru wako.
Mkuu, nimezungumzia mkutano wa kampeni 1995.Mkutano wa kwanza wa NCCR uolikuwa umehusisha zaidi wanasheria na wanazuoni ulifanyika IFM siyo Mbeya. Mkutano wenyewe ndio ulioitwa NCCR - yaani the National Convention for Construction and Reform. Ajenda mojawapo kubwa ya mkutano huo ilikuwa ni kutaka mfumo wa siasa nchi ugeuzwe a kutoka ule wa chama kimoja kuwa wa vyama vingi vyenye itikadi mbalimbali kwa vile nchi haikuwa ya itikadi ya ujamaa tena baada ya Azimio la Zanzibar. Mkutano huu ulifanyika mwaka 1990 kabla vyma vingi havijaruhusiwa Tanzania,
😄 nmemsahau mzee gama aka baba Joseph (rip)Ok, kumbe ile kuzoeana ukaona poa tu, fresh tu, ila nakushauri uwe na masikio matatu na macho matatu na uogope, sbb kwa level za hao wakubwa wanajulikana, hivyo kaa chonjo uwe na masikio matatu na macho matatu, acha mazoea
sawaMkuu, nimezungumzia mkutano wa kampeni 1995.
Upo sahihi sana juu ya uanzaji wa NCCR bila neno mageuzi isipokuwa kirefu halisi kilikuwa ni National Convention for CONSTITUTION Reform- Mkutano wa Kitaifa Kwa ajili ya Mabadiliko ya Katiba. Wakitaka Katiba Ibadilike ili tuingie kwenye mfumo wa Vyama Vingi.Mkutano wa kwanza wa NCCR uolikuwa umehusisha zaidi wanasheria na wanazuoni ulifanyika IFM siyo Mbeya. Mkutano wenyewe ndio ulioitwa NCCR - yaani the National Convention for Construction and Reform. Ajenda mojawapo kubwa ya mkutano huo ilikuwa ni kutaka mfumo wa siasa nchi ugeuzwe a kutoka ule wa chama kimoja kuwa wa vyama vingi vyenye itikadi mbalimbali kwa vile nchi haikuwa ya itikadi ya ujamaa tena baada ya Azimio la Zanzibar. Mkutano huu ulifanyika mwaka 1990 kabla vyma vingi havijaruhusiwa Tanzania,
Mkuu, Asante kwa kutambua uwepo wetu.tangu lowassa alivyoitwa chadema wenye akili waliondoka
Ni kweli kwamba ni mtu wa Kyela, lakini alihamia Mbozi kijumla ndo maana hata alipofariki dunia alizikwa Mbozi.Apson ni mtu kyela mnyakyusa huyo, Hata hivyo Mabere ndio alipiga hio shoo ya Tamimu