Mabere Nyaucho Marando yupo wapi?


Ok, kumbe ile kuzoeana ukaona poa tu, fresh tu, ila nakushauri uwe na masikio matatu na macho matatu na uogope, sbb kwa level za hao wakubwa wanajulikana, hivyo kaa chonjo uwe na masikio matatu na macho matatu, acha mazoea
 
Mabere marando ni over rated hata lile tukio la tamimu hakulicheza yeye ulizieni mtabe mnyama mwitu aliyekuwa anaitwa Cornel Apson Mwangonda mtu wa mbozi mbeya ndio alikuwa mkuu wa operation hatari za teeth including hiyo ya tamimu.
Umeenda chaka, mdau anaulizia kapotelea wapi bwana Mabere wewe unaleta story nyingine
 
Mbona mbowe ndio snitch no 1

Siku mlikua ukweli mtajiona mlivyo pumbu za mbwa

Hii nchi mpinzani wa kweli alishakufa kwenye Premio
Mbowe ndio nani?
Hata huyo aliyefia kwenye premio alikuwa snitch tu
Mtu kesi zaidi ya mia kila siku anashinda yeye tu
Jaribu wewe pumbu za mbuzi uone kama hujanyea debe au wakuokote katavi
 
Hapana, NCCR haikuanza kama chama cha bandia. NCCR ulikuwa mkutano tu wa wanasheria kudai mfumo wa vyama vingi. Baada ya vyama vingi kukubaliwa ndipo chama cha NCCR-Mageuzi kikaanzishwa na wale waliokuwa wahuhudhuriaji wa makomngamano hayo ya NCCR. Watu kama Masumbuko Lamwai, Profesa Baregu, Kasanga Tumbo,James Maparara na Chief Fundikira, hawakuwa mapandikizi wa CCM
 
Mkuu, nimezungumzia mkutano wa kampeni 1995.
 
Ok, kumbe ile kuzoeana ukaona poa tu, fresh tu, ila nakushauri uwe na masikio matatu na macho matatu na uogope, sbb kwa level za hao wakubwa wanajulikana, hivyo kaa chonjo uwe na masikio matatu na macho matatu, acha mazoea
😄 nmemsahau mzee gama aka baba Joseph (rip)
Kdg mzee gama alikuwa kauzu

Ova
 
Upo sahihi sana juu ya uanzaji wa NCCR bila neno mageuzi isipokuwa kirefu halisi kilikuwa ni National Convention for CONSTITUTION Reform- Mkutano wa Kitaifa Kwa ajili ya Mabadiliko ya Katiba. Wakitaka Katiba Ibadilike ili tuingie kwenye mfumo wa Vyama Vingi.

Baadaye vuguvugu hilo likawa maarufu ijapokuwa along the way Mzee Mapalala akajitoa kwenda kuanzisha CCW ( Chama Cha Wananchi), Mzee Fundikira akaenda kuanzisha UMD ( Union for Multiparty Democracy) huku Kina Maalim Seif wakiwa na Taasisi Yao waiitayo KAMAHURU. Nadhani UMD ndio kilikuwa Chama Cha kwanza kusajiliwa nchini. NCCR ni baadaye walipokuja kuamua kubadili lile vuguvugu la kudai Katiba na kulifanya Chama Cha Siasa na Sasa wakaitwa National Convention for Construction and Reform ambapo Reform ni MAGEUZI.
 
Mbadala wa Marando SS tisi wameleta zzk, Kaeni Ki Master
 
Ukitka kumjua Mabere Marando kama mwanasiasa muulize mzee Chifu Fundikira. Siasa zetu zimetoka mbali na zina tabia ya kujirudia rudia. Tabia na mienendo ya wanasiasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…