Mabere Nyaucho Marando yupo wapi?

Sahihi,Nyaucho ni pandikizi,sukrani.
 
"karba" ndiyo nini?

Au ulitaka kuandika Kingereza "caliber"?
 
UMD ilishughulikiwa haraka Sana,sidhani hata ilifika kwenye uchaguzi 1995,maana mapalala Alianza kuwazungukia machifu wenzie wa kinyamwezi na kisukuma,hayo makabila mawili yenye lugha moja Yana watu nyomi
 
aliugua ndio sababu hakuwa ameonekana kwa muda mrefu. Sifahamu kwa sasa anaendeleaje. Mzee Marando muda wote alikuwa anatabasamu ukimuona kwenye media.
 
MKUTANO MKUU, 1997 RASKAZONE HOTEL TANGA
UMEME KUZIMIKA
MREMA vs. MARANDO
MWENYEKITI vs. KATIBU MKUU


(Kwahiyo sikushangaa sana issue ya MBATIA na SELASINI)
Kivipi?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…