Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Nawashangaa waafrika, mukiambizwa kutoka ugaibuni munayaamini kama Mungu. Hata ya JPM muliambiwa hivyo hivyo! COVID ipi unapata Jumapili then die Monday!π€π₯Ί. Jumamosi Nkurunzisa was playing football!Hata machinga wa Kirundi waliofurika Nairobi wanajua kilochomuua Nkurunzisa, ISIPOKUWA BONGO LALA ZA KUAMBIWA π€Nkurunzinza alitaka kuondoka na kama haya 70 ila covid ikafanya yake...
Mabeyo anapesa,kuna siku nilikua nasali dodoma,nikasikia wanasema! Tumepokea mchango wa Tshs 15,000,000 kutoka kwa mkuu wa majeshi,yeye pamoja na marafiki zake! Pia tumepokea 5M kutoka kwa AG Prof Kilangi!Ni kawaida hiyo Jeshini kwa wakubwa kupewa magari, isitoshe kwa Cheo chake na aliyopitia hilo gari siyo big deal, ila akaunti yake Benki ndo mambo yote!
Mabeyo anapesa,kuna siku nilikua nasali dodoma,nikasikia wanasema! Tumepokea mchango wa Tshs 15,000,000 kutoka kwa mkuu wa majeshi,yeye pamoja na marafiki zake! Pia tumepokea 5M kutoka kwa AG Prof Kilangi!
Ukiweka na kodi linafika kama 450 milKabla ya kodi ni
GX $89,000
GXL $101,000
VX $113,000
SAHARA $131,000
Mabayo kapewa vx
Ila pamejibana ndo maana walimpeleka Kawe BeachJirani yangu huyo ana nyumba yake huku segerea sheli na jina la barabara kapewa akiwa anaigia na kutoka utaskia ving'ora tu mtaa mzima
Usiku unapishana na wajeda tu wamebeba mitutu wanapiga doria huku usalama wa kutosha karibu mkuu uvizie lifti
Sent using Jamii Forums mobile app