Mabilioni yaliyofichwa na Hayati Magufuli kwake Chato, serikali ilikaa kimya!

Mabilioni yaliyofichwa na Hayati Magufuli kwake Chato, serikali ilikaa kimya!

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Lissu amewahi kumueweka Lowasa katika Listi ya mafisadi iliyosomwa MwembeYanga halafu baadae akawa miongoni mwa cheerleaders waliompigia kampeni ili awe rais.

Sidhani kama Lissu ana moral authority ya kutosha kupiga vita ufisadi kama yuko tayari kumpokea, na kumpigia kampeni fisadi ili awe rais wa nchi!
 
Tunakumbusha sio kwa ubaya.

Tundu Lissu aliwahi kufumua uozo wa kufichwa kwa mabilioni huko nyumbani kwa Magufuli. Hakuna mtu aliwahi kukana

Lakini mpaka leo serikali haijatoa tamko kama inachunguza au ilitaifisha. Ni muhimu sana kudeal na ufisadi wa kutisha badala ya kukomaa na tudagaa huko Halmashauri..

Vita ya ufisadi haitakiwi kuwa na macho
kudeal na hisia za watu kazi sana kuhusu jambo Fulani ni changamoto mno, wengine wanahisi vitu vingine kabisa dah. hata hivyo ni kupoteza muda kwa kitu ambacho hakipo 🐒

heshima kwa faragha za mawazo na matendo ya watu ni jambo muhimu sana 🐒
 
Tunakumbusha sio kwa ubaya.

Tundu Lissu aliwahi kufumua uozo wa kufichwa kwa mabilioni huko nyumbani kwa Magufuli. Hakuna mtu aliwahi kukana

Lakini mpaka leo serikali haijatoa tamko kama inachunguza au ilitaifisha. Ni muhimu sana kudeal na ufisadi wa kutisha badala ya kukomaa na tudagaa huko Halmashauri..

Vita ya ufisadi haitakiwi kuwa na macho
Mambo mengine ni ya kuachana nayo tu. Kabisa ulitegemea serikali iliongelee hilo?
 
Baadae huyo huyo Tundu Lisu akaenda na Kardinali kuweka mauwa Kaburini 😂😂😂

Chadema ina Wajinga wengi
Hahaha usiseme chadema malizia chama mfu chadema kichaoongozwa na binaadamu wasiokuwa na akili. Maana mbowe alilamba bil kazaa za lowasa akaja na inaonekana bil kazaa za CCM aunge juhudi
 
Tunakumbusha sio kwa ubaya.

Tundu Lissu aliwahi kufumua uozo wa kufichwa kwa mabilioni huko nyumbani kwa Magufuli. Hakuna mtu aliwahi kukana

Lakini mpaka leo serikali haijatoa tamko kama inachunguza au ilitaifisha. Ni muhimu sana kudeal na ufisadi wa kutisha badala ya kukomaa na tudagaa huko Halmashauri..

Vita ya ufisadi haitakiwi kuwa na macho.

Pia soma Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki
Acha propaganda mbaya wewe. Kwa hiyo unataka kusema ni kweli magufuli alificha mabilioni chato? Chato imekua benki? Mjinga sana wewe.
 
Tunakumbusha sio kwa ubaya.

Tundu Lissu aliwahi kufumua uozo wa kufichwa kwa mabilioni huko nyumbani kwa Magufuli. Hakuna mtu aliwahi kukana

Lakini mpaka leo serikali haijatoa tamko kama inachunguza au ilitaifisha. Ni muhimu sana kudeal na ufisadi wa kutisha badala ya kukomaa na tudagaa huko Halmashauri..

Vita ya ufisadi haitakiwi kuwa na macho.

Pia soma Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki
Nchi ukiwa kiongozi ni rahisi kupata misukure yako ya kuaminisha kila kitu nayo ikaamini!
 
Tunakumbusha sio kwa ubaya.

Tundu Lissu aliwahi kufumua uozo wa kufichwa kwa mabilioni huko nyumbani kwa Magufuli. Hakuna mtu aliwahi kukana

Lakini mpaka leo serikali haijatoa tamko kama inachunguza au ilitaifisha. Ni muhimu sana kudeal na ufisadi wa kutisha badala ya kukomaa na tudagaa huko Halmashauri..

Vita ya ufisadi haitakiwi kuwa na macho.

Pia soma Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki
Wajinga ndo watakuelewa .
 
Back
Top Bottom